Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Nchi inaongozwa na Mapaka
Your browser is not able to display this video.
 
Taarifa za bandari ya Dar kuipiku ya Mombasa kwa ufanisi hadi Gerson Msigwa aliishadadia.

Leo tunaambiwa Dar nanga siku 5 Mombasa 1.3!

Muwe mnakanusha na mnapopewa maua yasiyo yenu!
 
Kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
1. Mwendokasi
2. Reli ya SGR
 
Wabunge wanaongea kwa tumia HAMASA na kufukuzia TEUZI badala ya kutumia WELEDI
Huku mitaani kuna WASOMI wa kila aina kuliko huko bungeni hivyo lazima wajue kuwa kila wanachoongea na kuchambua watu huku mitaani wanafanyia PERFORMANCE APPRAISAL kwa maslahi mapana ya Tanganyika.
 
Professor Makame Mnyaa Mbalawa
Waziri Wa Ujenzi Na Uchukuzi Wa JMT
 
Yote Tuwape wenye uwezo wa kuendesha miradi Sio kosa ndio walichofanya waarabu wamewapa wazungu thus wakaendelea.
Hatuwezi jiongoza
 
Na mambo yaliyojadiliwa leo bungeni ni yale yale ambayo yamo kwenye IGA ambayo imeenea mtandaoni.

Ninachojiuliza ni kwa nini wanataka wananchi watoe maoni yao kuhusu hiyo IGA lakini hawataki waione!

Wametoa ufafanuzi wa kifungu kwa kifungu lakini wako kimya kuhusu kifungu kinachohusu kuvinjika kwa Agreement. Kuwa piga ua Agreement haiwezi kuvunjwa!
Amandla...
 
BAADA YA AZIMIO KUHISU BANDARI

Kwa vile wanaojiita wawakilishi wa wananchi wanawakilisha matumbo yao na familia zao na wamewatosa wananchi huku wakitumbua kodi zao sasa wananchi waazimie kwa pamoja yafuatayo maana hawana lingine wawezalo kwa jatiba hii ya sasa.
1. Kuwazomea wabunge kokote wapitapo na magari yao hadi wapate SONONA.
2. Kuwasusia mambo yao ya kijamii kama vile harusi, hitma, kipaimara nk labda kifo tuu kwenda kuzika maana mtu wao akioza atatunukia.
3. Kuwasemanga wake zao saloon na sokoni na wale wakike waume zao tukikutana kwenye ulabu tuwachunie hadi wajione kama nguchiro tuu.
4. Kifupi tuwatenge kama ngedere hadi wafe tuu kwaasononeko.
AZIMIO HILI LIUNGWE MKONO.
 
Wabunge wanaongea kwa tumia HAMASA na kufukuzia TEUZI badala ya kutumia WELEDI
Huku mitaani kuna WASOMI wa kila aina kuliko huko bungeni hivyo lazima wajue kuwa kila wanachoongea na kuchambua watu huku mitaani wanafanyia PERFORMANCE APPRAISAL kwa maslahi mapana ya Tanganyika.
 

Hakuna sehemu nimekuzuia kumpenda na kumuimbia mama yako SHH mapambio ndiomaana nilichagua kukupuuza badala ya kujadili chochote na wewe tena.

Nimekuupuza , sijakuzuia kutoa hoja zako kwasababu yapo mabumunda menzio ambayo yatakubaliana ma wewe. HATUWEZI KUFANANA kimawazo.

Kila la kheri.
 
Imeshakamilika Kazi Ya Ccm Na DP World Wanafanya Homecoming Party Hapa Tanzania
Ahsante mama Samia, umetufanya Tanzania sasa tufanye kazi na ma giants duniani.

Mabafiliko sasa tutayashuhudia, siyo longolongo za wapiga madili.

Natamani DP world waanze kazi hata leo, wafumue fumue vichaka vya wapigaji bandarini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…