HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Tuwaombee kifo tu.Imeisha hiyooooo,
Kilichobaki ni Kazi iendeleeeeee
Hata wao wamepitisha ila moyoni wanaumia, maana wamejua watafanyiwa kama ilivyokuwa kwa Ndugai....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwaombee kifo tu.Imeisha hiyooooo,
Kilichobaki ni Kazi iendeleeeeee
We mwenyewe utakufa kabla ya 2030Lazima wananchi tuelewe nchi yetu imeingia makubaliano yepi.
Nimeziona fursa kibao, ngoja nizifanyie kazi.
1. MwendokasiMwl Nyerere aliwahi kusema huko nyuma kwamba , nanukuu "ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI" Mwisho wa kunukuu , kwa tafsiri pana maana ya usemi huu wa Nyerere ni kama ile methali ya wahenga iliyosema MAZOEA HUJENGA TABIA
Kwamba ukizoea kufanya jambo fulani basi utaendelea tu kulifanya hata kama ni baya , ili mradi wewe binafsi au familia yako inafaidika .
Bandari zetu wamepewa Waarabu kibwege kabisa kwa vile tu wenye mamlaka wameamua kuigawa ili wao wafaidike , nakuhakikishieni kwamba hakuta kuwa na ufanisi wowote ule , NIPO HAPA JF NIMEKAA , Yaani tunauza mali zetu kwa ajili ya uvivu tu wa kazi na fikra , yaani tunaamini tu kwamba hatuwezi , ila wanaweza ni waarabu ! Poor Tanzania !
Tumesahau ya NET GROUP , ATCL , TTCL na hata RICHMOND , tulitumia nguvu kubwa kushawishi na kudanganya umma kwamba kutakuwa na Tija , leo kiko wapi ?
Haya mmeuza Bandari kwa watu wenu ni Shirika lipi lingine mnafuatia kuliuza ili tujiandae ?
Nakulilia Tanzania .
View attachment 2652644
Professor Makame Mnyaa MbalawaWaziri: Meli itaweza kukaa masaa 24 tu badala ya siku 5(kwenye kuwasilisha hoja)
Waziri : Meli itaweza kaa kwa siku moja na nusu badala ya tano........then lately anasema meli itakaa sio zaidi ya siku mbili(kwenye kuhitimisha hoja)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ata dingi yako ni CCMCCM wote ni Mbwa
Tunawatakia kila la heri kwenye minada yao1. Mwendokasi
2. Reli ya SGR
CEO check PM [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu mkataba kama ungekuwa ni wa usafirishaji wa Watumwa ningeupinga.
Na mambo yaliyojadiliwa leo bungeni ni yale yale ambayo yamo kwenye IGA ambayo imeenea mtandaoni.Serikali inajichanganya sana katika hili.
Katika Clubhouse ya Msigwa, Msemaji wa serikali (Msigwa) ameikana. Hapo hapo alikuwa na CEO wa TPA, kila kifungu anachokisema na kukinukuu CEO kipo katika ile ya mtandaoni. Kifungu kwa kifungu.This was a contradiction.
Hata kama huu mkataba ni mzuri na una manufaa kwa umma na raia wengi sana wanaweza kuutetea, serikali inavyofanya usiri, usiri huo unatoa ishara kwamba kuna jambo baya.
Kwa nini mikataba hii haiwekwi wazi?
Nature abhors a vacuum, katika Information Theory tunafundishwa kwamba, usipoweka habari sahihi wazi, unaalika habari zisizo sahihi zisambae. This is PR 101, somo la awali kabisa katika PR. Kwa nini serikali inaendekeza usiri? Ni kwa sababu sisi ni washamba sana tunaendekeza usiri wa kizamani?
Au ni kweli usiri unatokana na ukweli kwamba serikali inajua kuwa mikataba ikiwekwa wazi na kukubaliwa na serikali kuwa hii ndiyo mikataba yenyewe, wananchi wataikosoa na kuonesha mapungufu?
So, huu ni ushamba, hadaa ya wezi au yote mawili pamoja?
Kama mkataba una manufaa sana kwa wananchi, kwa nini usiwekwe wazi?
Kwa nini uliwekwa kwenye tovuti ya bunge halafu ukatolewa? Bunge halijui kwamba wananchi wanaweza kuwasaidia sana wabunge kujadili mkataba?
Kwa nini Msigwa aliukataa Clubhouse? Kama huo alioukataa Msigwa si wenyewe, wenyewe uko wapi?
Wananchi wana haki ya kikatiba (ibara ya 18 (1) na (2) ) ya kujua jinsi nchi yao inavyoendeshwa. Serikali haioni kwamba inavunja katiba kwa kupitisha hii mikataba bila kuwaonesha wananchi mikataba inasemaje?
Ahaa...kwahiyo ulitaka tuwe na fikra moja kama wale Wanyamapori maarufu ambao mmoja wao akivuka Mto Mara woote wanamfuata hata kama yeye analiwa na Mamba? Sijui wanaitwaje wale.
Look Bro, mimi fikra zangu ni HURU huwa nayaangalia mambo kivyangu
Ningekuwa namtuka Samia ungenipa likes nyingi sana, huo ni utoto.
Ahsante mama Samia, umetufanya Tanzania sasa tufanye kazi na ma giants duniani.Imeshakamilika Kazi Ya Ccm Na DP World Wanafanya Homecoming Party Hapa Tanzania