Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Sasa hivi wazanzibar wapo kimya kwasababu wanaiba pesa za Tanganyika na kuzihamishia uarabuni

Wanajimilikisha ardhi ya Tanzania

Wanalamba uteuzi Tanganyika
 
Kwa kauli ya Mama wa watu kwamba serikali isifanye biashara nafikiri mashirika yote.
 
Mimi na Samia ni mwendo wa "Mahaba niue" huwezi kunifosi nimchukie au nimtukane ili nikufurahishe wewe abadan asilani.
 
Hawawezi maana yake hawana upeo wala weledi,tatizo wanavyo vyote hivyo
Ni asili ya mwafrika akiacha ubinafsi ndipo ataanza kuendelea.
Umeshawahi ona mtawala au gavana wa kikoloni amewahi fanya ufisadi.
Sheria zetu zinawaogopa mafisadi jela ni kwa ajili ya watu masikini.
Bongo kesi ni biashara ya kukaa mezani.
 
Inasikitisha kwa kweli.
 
Kikubwa Watanzania jifunzeni kuongea kwa research, sio kwa mihemko na ushabiki.
Fuatilia kwa umakini ujue, elewa na ufahamu kwanza.

Elimu duni ni mzigoo
Nina uhakika mama akistaafu atatunga kitabu,one of the content itakuwa kujuta kuprivatize bandari!!
Haya yalimkuta juliasi kwenye sisal
Mkapa kwenye privatization
Kikwete kwenye kuwa mislead na subordinates wake!!
Hata JPM asingekufa Kuna issue hasa ya democracy angejutia!?
NB : muda ni mwalimu mzuri Sana tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…