Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Rais wa kwanza kuleta mikataba ijadiliwe hadharani [emoji123][emoji123][emoji123][emoji7][emoji7]Mwita Chacha anapendekeza Raisi apewe heshima ya kuitwa mama wa taifa rasmi na kikatiba. Ndo raisi wa kwanza kuleta mkataba kujadiliwa bungeni na hadharani hata Nyerere hakulifanya, mimi na muunga mkono. Mama apewe heshima
Akumbukwe gani na yeye alituharibia bunge! Hebu aende zake huko!“SIKU MOJA MTANIKUMBUKA” Kauli ya mwisho ya Rais Magufuli, kabla ya kifo chake!
Kabla ya bandari wangeanza na TANESCO.
Mh.Rais SSH anakua rais wa kwanza kuruhusu mikataba ijadiliwe hadharani [emoji123]Liwaitara lijinga sana. Big chawa
Bunge nalo liuzwe tu limeshindwa kujiendeshaMwl Nyerere aliwahi kusema huko nyuma kwamba , nanukuu "ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI" Mwisho wa kunukuu , kwa tafsiri pana maana ya usemi huu wa Nyerere ni kama ile methali ya wahenga iliyosema MAZOEA HUJENGA TABIA
Kwamba ukizoea kufanya jambo fulani basi utaendelea tu kulifanya hata kama ni baya , ili mradi wewe binafsi au familia yako inafaidika .
Bandari zetu wamepewa Waarabu kibwege kabisa kwa vile tu wenye mamlaka wameamua kuigawa ili wao wafaidike , nakuhakikishieni kwamba hakuta kuwa na ufanisi wowote ule , NIPO HAPA JF NIMEKAA , Yaani tunauza mali zetu kwa ajili ya uvivu tu wa kazi na fikra , yaani tunaamini tu kwamba hatuwezi , ila wanaoweza ni waarabu ! Poor Tanzania !
Tumesahau ya NET GROUP , ATCL , TRL , TTCL na hata RICHMOND , tulitumia nguvu kubwa kushawishi na kudanganya umma kwamba kutakuwa na Tija , leo kiko wapi ?
Haya mmeuza Bandari kwa watu wenu ni Shirika lipi lingine mnafuatia kuliuza ili tujiandae ?
Nakulilia Tanzania .
View attachment 2652644
Mh.Rais SSH anakua wa kwanza kuruhusu mikataba kujadiliwa hadharani [emoji123]Waitara badala ya kuzungumza hoja iliyopo mezani anaanza kuwashwa, hawa wabunge sidhani kama ni watanzania ahse
Polisi1. Mwendokasi
2. Reli ya SGR
Hana elimu unategemea nini?!!![emoji23]Kelele za Aikaeli hazikusaidia kitu na sasa mzee waatukio sijui atarukia nini?
Mh.Rais SSH anakua wa kwanza kuruhusu mjadala wa mikataba bungeni.....Tatizo ndio liko hapo. WAMESHINDWA (hawa wavivu wa kufikiria)! lakini hawataki kutoka.
Sasa kwakua WAMESHINDWA, wanataka kutumaminisha kwamba NCHI imeshindwa
Jiulize, kama wameshindwa kuisimamia na kuiendsha Bandari kwa ufanisi wa kiwango cha juu?
Wataweza: Kusimamia na kuendesha SGR kwa ufanisi hata wa wastani? - hiyvo watakodisha?
Wataweza: Kusimamia na kuendesha TTCL, ATC, TANESCO etc kufikia kupata faida? - hivyo watakodisha?
etc
Sasa lile nalo ni BMh.Rais SSH anakua wa kwanza kuruhusu mjadala wa mikataba bungeni.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hayo maandamano mtayaanzia wapi ?!!! [emoji1787][emoji1787]Hao wabunge naona wanatuoa watz wore hatuna akíli. Sijaona hoja nyeti inayojadiliwa .
Tunasubiri kuingia barabarani Hadi kieleweke
Hili bunge ni sehemu ya legacy yakeHadi Magufuli V2.0 apatikane nchi itakuwa imebaki na raslimali magofu tu. Sidhani kama tatizo hili ni kwa sababu ya Samia, bali tatizo linatoka kwa shadow president na cabinet yake.
[emoji1787][emoji1787]Naona Waitara Kaitikiwa vizuri sana na Spika na Wabunge wa CCM.
Nchi hii bora tubaki na Chama Kimoja tu.
Huu ulikuwa upigwe juu kwa juu. Kelele zimesaidia but sio kesi unapigwa huku unaona mchana kweupeMh.Rais SSH anakua rais wa kwanza kuruhusu mikataba ijadiliwe hadharani [emoji123]
#MamaKaja[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa kama UPINZANI ni dhaifu bungeni unategemea nini ?!!!Kwa hizi kauli zake hapa mwisho basi hili bunge ni takataka tu.
Eti bunge ni la CCM na hakuna mbunge anaeweza kupinga hoja ya mama samia?
Hili bunge ni takataka kabisa.
Huo mkataba umeuona?Mh.Rais SSH anakua wa kwanza kuruhusu mikataba kujadiliwa hadharani [emoji123]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Duhh..hii laana mbona kali sana.Wabunge wote wataugua kansa ya tumbo wasile walichotudhulumu.