Sozo_
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 776
- 1,132
Mbaya sana🙆Washafanya udwanzi huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya sana🙆Washafanya udwanzi huku
Mwenyezi Mungu hakai mifukoni mwenu...[emoji1787][emoji1787]Mkuu dawa saiv ni kupiga dua kali na maombi Nchi nzima ili kutuondolea wasio na nia njema ya maslahi kwa Taifa!!
Mpaka TICTS waondoke kabisa ndiyo tutajuwa swameanza, sasa hivi kama wapo basi wanatazama namna ya kujipanga tu (trouble shooting).Mbona walishaanza kitambo ?
Kwa hiyo mnataka kuipindua serikali halali ya wananchi ?!![emoji1787][emoji1787]Mzee kwa hii stage ni bora tufanye revolution tuongozwe na watu baki sio lazima chama tena tufanye hata leo sio lazima kusubiria 2025
Chaliii....[emoji1787][emoji1787]Angalieni michango, wanaokubali bandari iuzwe tuwashtaki kwa wapiga kura wao.
Kodi ni suala la TRA, au TRA nayo wanapewa?Safii. Sasa nategemea kuona unafuu wa kodi na sisi tumiliki magari [emoji3059]
Thubutu !Safii. Sasa nategemea kuona unafuu wa kodi na sisi tumiliki magari [emoji3059]
Kwa meno yale na anapotokea, siwezi kumkatalia.Mwl Nyerere aliwahi kusema huko nyuma kwamba , nanukuu "ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI" Mwisho wa kunukuu , kwa tafsiri pana maana ya usemi huu wa Nyerere ni kama ile methali ya wahenga iliyosema MAZOEA HUJENGA TABIA
Kwamba ukizoea kufanya jambo fulani basi utaendelea tu kulifanya hata kama ni baya , ili mradi wewe binafsi au familia yako inafaidika .
Bandari zetu wamepewa Waarabu kibwege kabisa kwa vile tu wenye mamlaka wameamua kuigawa ili wao wafaidike , nakuhakikishieni kwamba hakuta kuwa na ufanisi wowote ule , NIPO HAPA JF NIMEKAA , Yaani tunauza mali zetu kwa ajili ya uvivu tu wa kazi na fikra , yaani tunaamini tu kwamba hatuwezi , ila wanaoweza ni waarabu ! Poor Tanzania !
Tumesahau ya NET GROUP , ATCL , TRL , TTCL na hata RICHMOND , tulitumia nguvu kubwa kushawishi na kudanganya umma kwamba kutakuwa na Tija , leo kiko wapi ?
Haya mmeuza Bandari kwa watu wenu ni Shirika lipi lingine mnafuatia kuliuza ili tujiandae ?
Nakulilia Tanzania .
View attachment 2652644
CIA ndio rejea ya usalama wa kila nchi duniani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]Kwahyo USA na CIA yao waliwakataa DP World kwa sababu za kiusalama ila Tanzania hatuna tatizo na hilo sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado kuna maushuru ya hovyo pale bandarini.Kodi ni suala la TRA, au TRA nayo wanapewa?
Tafsiri yake ni kuwa CCM huwezi kuipunguzia kura zake zilizo nyingi humo sandukuni......"Serikali ya ccm haiwezi kuondolewa kwa sanduku la kura". Samia suluhu 2020 akiwa makamu wa rais.
Kwanini?Thubutu !
[emoji7]Ni Raisi wangu ndio hilo halina mjadala kaupiga mwingi.
Bandari haihusiani na kodi, kodi ni TRA.Safii. Sasa nategemea kuona unafuu wa kodi na sisi tumiliki magari 🥰
Kila akikataacho mmarekani ni lazima wengine wote wakikatae?!!!Mchaga kaongelea DP kukataliwa marekani, ila hapa ndo tuukubaliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mtu ukiwa CCM akili inahama?? Khaaaah
Hapana, rejea ni TISS, hata hao CIA wanajifunzaga kutoka kwa TISSCIA ndio rejea ya usalama wa kila nchi duniani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Hivi shule mnakwenda kusomea UJINGA?!!![emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sawa ila kuna kaunafuu katakuwepo japo kwenye ushuru wa bandariBandari haihusiani na kodi, kodi ni TRA.
Sasa hivi tegemea mizigo yako kuja hraka na kutolewa bandarini haraka, ukiritimba utapigwa msasa.