Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Hata Nyerere nae alisaini mikataba kama Mangungo tu...

No difference
 
Kwa meno yale na anapotokea, siwezi kumkatalia.
 
Mchaga kaongelea DP kukataliwa marekani, ila hapa ndo tuukubaliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi mtu ukiwa CCM akili inahama?? Khaaaah
Kila akikataacho mmarekani ni lazima wengine wote wakikatae?!!!

Hivi unajua kuna "ujasusi wa kiuchumi"?!!!

Huu unaweza kumchafua "mfanyabiashara" yeyote yule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mjadala ulikuwa wa wazi kweli ni kitu kizuri, ila mjadala hakuwa fair kwa wanao ujadili hasa waliokuwa na hoja kinzani na mkataba hawakupewa mda wa kuwasilisha hoja zao ,zaidi ya kukatishwa katishwa kila mara,mfano Mdee alitolewa kwenye reli kabisa,yaani mdee kachangia dk 2 tu,dk zilizobaki ni spika kugeuka kuwa wakili upande wa mkataba na baadhi ya wabunge wenzake kumkatisha.

Hata ile maana ya uhuru wa kutoa maoni,bila kujali upo upande gani,naona kama imepotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…