Kwa maelezo yao unaweza kuvunja, natamani wasome hivyo vifungu na waeleze unawezaje kuvunja.Kumbe mkataba unaweza kuvunjwa kama hakutakua na maelewano ya kiutekelezaji
Its open end agreement, ambao mwenye pesa ndo mwenye nguvu zaidi, huyu dubai world atakua ana ma negotiator wazuriKumbe mkataba unaweza kuvunjwa kama hakutakua na maelewano ya kiutekelezaji
Yes, waje tuKhe! Serikali ya Tz itawaambia Waarabu wa Dubai fursa zingine zilizopo nchini ili waje wawekeze zaidi [emoji2]
Hili ni ajabu lingine.Afrika kuna utahira wa kiwango cha PhD,sasa unadhiaje kitu ambacho kimesainiwa na watu wapo site?
Huu si upumbavu
Ni federal state ya uae wanauwezo wakuwekeza nxhi zingineHivi DUBAI ni serekali …… tunaingiaje mkataba na jimbo la UAE na kusema ni serekali ??? Hivi Dubai ni sorveign?
Mi sijaandaa wa kuniweka kwenye cheo milele ka lilivyofanya lile shetani lenu la Chato na sasa limetuachia msalaKwani wewe utaishi milele?
Ni federal state ya uae wanauwezo wakuwekeza nxhi zingine
Yaani unaona aibu mtu kushindwa kutamka neno la kiingereza kweli!!? Mzungu akishindwa kutamka neno la kiswahili pia utaona aibu? Basi tatizo lako ni SLAVERY MENTALITY. Akili yako inawalakini hujitambui.niliona aibu mpaka nikachange channel aisee hata economy kashindwa kuitamka vyema, ni aibu.
Shetani mama yako mbwa mkubwa!Mi sijaandaa wa kuniweka kwenye cheo milele ka lilivyofanya lile shetani lenu la Chato na sasa limetuachia msala
Wapi?Wamekata umeme [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni zaidi ya zazibar wenyewe wana mamlaka nyingi hata jeshi la kwao wanalo benki kuu ya kwao nk.Kuwekeza sawa lakini Je Wanaweza kutambulika kama TAIFA ???? Wana Kiti Umoja wa Mataifa au ni kama zanzibar …..
Mbona siku zote hizo hujaleta hiyo teknolojia na pesa!?Ujinga huu.
Ingekua hao Dp wanaleta teknolojia ambayo hatuwezi kuipata hapo sawa.
Ila pesa tunaweza pata na wataalam tunao.
Kwanini tunafanya mambo kama walemavu wa akili lakini??
Kifupi inalazimika kuwambia kwakuwa toka october 2022 waarabu ndio wamiliki wa hiyo bandari na ardhi za maziwa na mito tanganyikaKhe! Serikali ya Tz itawaambia Waarabu wa Dubai fursa zingine zilizopo nchini ili waje wawekeze zaidi [emoji2]