Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Mdee hoja anazo wa mwachee aongee mpaka mwisho, bunge sio mahakama maana naona kama mawakili wawili wanabishana na sio Spika na Mbunge.

Kama hawataki achangie wa mwambie akae chini basi.

Mbona kipindi cha Spika Sitta watu walikuwa wanafunguka kwenye Richmond.
Hapana mdee hajajipanga ki hoja hop kapoteza tu mda eti ana speculate vya mbele, yule kapangwa ili aonekane mpinzani ila haja leta point hata moja anaongelea vitu vilio njee ya azimio
 
Spika hiyo phd ni ya ujinga aisee ubongo wake umejaa wadudu tu.

Anatetea nafasi yake kwa kuuza nchi.

Hata Yuda ana nafuu maana alirudisha pesa baada ya kumsaliti Yesu.

Ila hawa wanakula Rushwa wazi wazi.
 
Spika hiyo phd ni ya ujinga aisee ubongo wake umejaa wadudu tu.

Anatetea nafasi yake kwa kuuza nchi.

Hata Yuda ana nafuu maana alirudisha pesa baada ya kumsaliti Yesu.

Ila hawa wanakula Rushwa wazi wazi.
Hivi ile ID yako ya Stateman uliidump.
 
Back
Top Bottom