Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaha kimejua kutufokea kipunguani hiki.Hiki kimama kinamfokea nani labda?
Wananchi wake wakipige chini
Ma-engineer hatuwezi kuwa na akili kama hizo, hawa ndio wale wa kununua majina kama yule aliyeko Ikulu.Hiki kimama kinamfokea nani labda?
Wananchi wake wakipige chini
Kumbe mambo yooooote ni tangu 2008!.Msoga oyee.Prof yoyote wa Zanzibar Elimu yake ni sawa Form 4 Bara. TEHAMA ni sababu za kutafta mwekezaji???
Anabinua hadi midomo kama vile anachambana na mke mwenzie, duuuuh!!hahahahaha kimejua kutufokea kipunguani hiki.
hahahahahaha aisee leo tumesuuzwa sana na hawa majuhaMwanaisha anatuchamba Watanzania hatujui kusoma [emoji23] na tukome kujilinganisha na Malaysia, Singapore na South Korea
Hakuna mkataba unaojadiliwa, kinachidaliwa ni maridhiano ya ushirikiano kimaendeleo wa nchi mbili.Wabunge wa la 7 b wanajadili mikataba ya kimataifa.
Inabidi ile threshold ya elimu kwa wabunge iongezwe mpaka atleast degree 1
Na wao wamekubaliana kuwa wao ni wanasheria wanatoa ElimuKazi ipo leo
Na wakati bandari zao haimoMbona wazanzibar wengi wanachangia
Mlamba asali na buyu lake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msaliti na msaka tonge. On air
JPM ali vunja mikataba yote. Alipo kuja huyo Mswahili Mzanzibari kasaini mikataba 32 ndani ya siku 1 kuuza Bara utadhani ni sifa.Kumbe mambo yooooote ni tangu 2008!.Msoga oyee.
We Acha tu. Leo wanatuoma hamnazo.Wabunge wameota mapembe, wanaona maboss wao ambao ni wananchi hawajielewi na hawajasoma.