Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Huyu anaitwa Abu Bakar Amir bin Samia😎😎😎
FyKO6s9X0AAw_dK.jpeg
 
Mwl Nyerere aliwahi kusema huko nyuma kwamba , nanukuu "ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI" Mwisho wa kunukuu , kwa tafsiri pana maana ya usemi huu wa Nyerere ni kama ile methali ya wahenga iliyosema MAZOEA HUJENGA TABIA

Kwamba ukizoea kufanya jambo fulani basi utaendelea tu kulifanya hata kama ni baya , ili mradi wewe binafsi au familia yako inafaidika .

Bandari zetu wamepewa Waarabu kibwege kabisa kwa vile tu wenye mamlaka wameamua kuigawa ili wao wafaidike , nakuhakikishieni kwamba hakuta kuwa na ufanisi wowote ule , NIPO HAPA JF NIMEKAA , Yaani tunauza mali zetu kwa ajili ya uvivu tu wa kazi na fikra , yaani tunaamini tu kwamba hatuwezi , ila wanaoweza ni waarabu ! Poor Tanzania !

Tumesahau ya NET GROUP , ATCL , TRL , TTCL na hata RICHMOND , tulitumia nguvu kubwa kushawishi na kudanganya umma kwamba kutakuwa na Tija , leo kiko wapi ?

Haya mmeuza Bandari kwa watu wenu ni Shirika lipi lingine mnafuatia kuliuza ili tujiandae ?

Nakulilia Tanzania .

View attachment 2652644
Safi sana.

Sasa tutaelewa. Kwanini Dubai ni kituo cha biashara cha kimataifa.


Lini DP World wanaanza kutuhudumia bandarini?
 
Dunia ya serikali kufanya biashara inazidi kuwa NYEMBAMBA.....
Binafsi naamini Tanganyika haijafika huko, hata hivyo Kuna mbadala, unaweza kufanyika na kuhakikisha Taifa halipotezi.

Maamuzi ya kubadili wajibu wa serikali kutoka kufanya biashara (katika baadhi ya sekta) kwenda kwenye kuachan na biashara kabisa, na kubaki na upangaji wa sera na regulation ufanyika kitaifa ili kujua wapi tunafanya nini NA nani tunamruhusu atoe huduma ipi.
 
Hatimaye......tusubiri mkeka wa DP world tuanze kuapply kazi hakuna kingine tena 😬😬
 
Baada ya Bandari yetu
nashauri
Kituo kinachofuata
sasa iwe IKULU
kwa kweli tunahitaji mwekezaji ili kuleta ufanisi pia
 
Ukweli ni kuwa bandarini juna mlolongo wa matatizo, kuanzia TRA mpaka Bandari yenyewe, mpaka custom officers, mpaka polisi wa bandarini, mpaka walinda usalama wetu.

Lakini msingi ni namna bandari zetu zinavyiendeshwa sasa hivi, bandari ikiwekwa sawa mianya mengine yitr utaobekana kiurahusi sana.

Kwa sababu linashikiliwa sana suala la mifumo.
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom