Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Huyu anaitwa Abu Bakar Amir bin Samia😎😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo havina shida wala thamani kama ile ya Bandari.1. Mwendokasi
2. Reli ya SGR
DpWorld wapo Magerwa.Kagame hoyee.
Wabarakat na Banda riAsalam aleikum
Safi sana.Mwl Nyerere aliwahi kusema huko nyuma kwamba , nanukuu "ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI" Mwisho wa kunukuu , kwa tafsiri pana maana ya usemi huu wa Nyerere ni kama ile methali ya wahenga iliyosema MAZOEA HUJENGA TABIA
Kwamba ukizoea kufanya jambo fulani basi utaendelea tu kulifanya hata kama ni baya , ili mradi wewe binafsi au familia yako inafaidika .
Bandari zetu wamepewa Waarabu kibwege kabisa kwa vile tu wenye mamlaka wameamua kuigawa ili wao wafaidike , nakuhakikishieni kwamba hakuta kuwa na ufanisi wowote ule , NIPO HAPA JF NIMEKAA , Yaani tunauza mali zetu kwa ajili ya uvivu tu wa kazi na fikra , yaani tunaamini tu kwamba hatuwezi , ila wanaoweza ni waarabu ! Poor Tanzania !
Tumesahau ya NET GROUP , ATCL , TRL , TTCL na hata RICHMOND , tulitumia nguvu kubwa kushawishi na kudanganya umma kwamba kutakuwa na Tija , leo kiko wapi ?
Haya mmeuza Bandari kwa watu wenu ni Shirika lipi lingine mnafuatia kuliuza ili tujiandae ?
Nakulilia Tanzania .
View attachment 2652644
Tatizo ni serikali ya CCM wala siyo Watanzania.Sio kwamba miradi haiwezi kuendeshwa, tatizo Wala rushwa na wazembe hawawajibishwi kwenye kitu chochote kinachomilikiwa na serikali
Nilishamzika na he is not part of this nonsense! Acha upumbavu wakoAta dingi yako ni CCM
Ma shaa Allah kapendeza, ananukia pesa.
Binafsi naamini Tanganyika haijafika huko, hata hivyo Kuna mbadala, unaweza kufanyika na kuhakikisha Taifa halipotezi.Dunia ya serikali kufanya biashara inazidi kuwa NYEMBAMBA.....
Umeamuaje kama mtanzaniaBunge la watu wajinga na wapumbavu wasiojitambua linapitisha pitisha kila kitu bila logic
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23]Fedha ya nyoko.Yule ni capitalist. Hapo kaona faida.
[emoji7]Ukweli ni kuwa bandarini juna mlolongo wa matatizo, kuanzia TRA mpaka Bandari yenyewe, mpaka custom officers, mpaka polisi wa bandarini, mpaka walinda usalama wetu.
Lakini msingi ni namna bandari zetu zinavyiendeshwa sasa hivi, bandari ikiwekwa sawa mianya mengine yitr utaobekana kiurahusi sana.
Kwa sababu linashikiliwa sana suala la mifumo.
Karibu babu utuchape mijeledi kila siku.Huyu anaitwa Abu Bakar Umar bin Samia😎😎😎View attachment 2652662