Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
TANZANIA CHAMA NI KIMOJA TU CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana haziwezifika mkuu wangu Etwege ,CCM ni Chama makini sana na chenye Nidhamu kubwa ya fedha,Gharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Nakuona una mahaba sana, nilikuwa zaidi ya hivo kule Kigoma...Naipenda CCM Mpaka naumwa, Mungu ibariki CCM Chama kinacholeta amani ni Utulivu Tanzania
Hivi kwanini mnajiaminisha kwamba bila ccm nchi itayumba?
Tumeiona amani tena kipindi cha malaika MagufuliNaipenda CCM Mpaka naumwa, Mungu ibariki CCM Chama kinacholeta amani ni Utulivu Tanzania
Ambacho kiko tayari kuvunja katiba ili kuzuia vyama vingine vya siasa visifanye siasa.
si zao waache, mbona zenu manatumia kuweka mapicha na mtusi kwenye mitandao ya kijamiiGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Pimbi mwenzako wa ccm huyo tena masalia ya yule dhalim au hamfahamiani?si zao waache, mbona zenu manatumia kuweka mapicha na mtusi kwenye mitandao ya kijamii
WANAIBA CHAGUZI
Mama anaupiga mwingi,Machadema acheni wivuGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Mku ukisema wapinzani hawaelewi wafanyeje kumbuka mkutano ulioitishwa ni kwa ajili ya kuja kujibu hoja za wapinzani na Chadema kimeshasema mwisho wa maridhiano ni mwezi huu ujanja wa kuridhiana hatuna ila ujanjaujanja na wao wameshakuwa wajanja.Kiukweli CCM Ni chama Bora kuwahi kutokea hapa Duniani. Wapinzania hawaelewi wafanyaje na hiki chama kinachokubalika na kila mtanzania mwenye akili Timamu
NDIO MAANA KINAOGOPA UPINZANI
TANZANIA CHAMA NI KIMOJA TU CCM
vipi ndege yenu na mamayenu yule dokita mpya wa mchongo iko katika hali gani kule uholanz au bado huamin kuwa miga imewakomesha wenye ubishi wa kijinga huko lumumba.Gharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
akili timamu ndege ingekamatwa kule uholanz,akili timamu umeme ungewa wa mgao kila siku, akili timamu mngepora uchaguz, akili timamu kungewa na mgao wa maji miaka zaid ya 60 toka uhuru, akili timamu mngevalisha wajinga wenzenu tshirts za chadema kule lindi, akili timamu mngekopa kwa mabeberu kila siku wakati haohao mabeberu hamuwataki ila hela zao, akili timamu mngezuia mikutano ya hadhara kwa nguvu na kutumia polis wasiojielewa.Kifupi ccm ni genge la kiharifu na wapumbavu kuliko magenge yote dunian.Kiukweli CCM Ni chama Bora kuwahi kutokea hapa Duniani. Wapinzania hawaelewi wafanyaje na hiki chama kinachokubalika na kila mtanzania mwenye akili Timamu