ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
Mshana Jr kwa ukubwa wa CCM ikiyumba mambo mengi yataenda ndivyo sivyo,Hivi kwanini mnajiaminisha kwamba bila ccm nchi itayumba?
SIO TU CCM hata AZAM na MO,GSM wakiyumba tutayumba pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana Jr kwa ukubwa wa CCM ikiyumba mambo mengi yataenda ndivyo sivyo,Hivi kwanini mnajiaminisha kwamba bila ccm nchi itayumba?
Kipendacho roho dawa take it from meHivi mnakuwa serious au ni utani tu??
Sukuma gaung itakuua WeweGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Naipenda sana CCM tuache utaniHivi mnakuwa serious au ni utani tu??
CHADEMA vinara wa ushogamashoga mnajibiana wenyewe
CCM NDIO CHAMA HAWA WENGINE NI TAKATAKA TU
TANZANIA CHAMA NI KIMOJA TU CCM
Hivi nyie mna shida gani kwani? Kwann msitulie tu jamenNaipenda CCM Mpaka naumwa, Mungu ibariki CCM Chama kinacholeta amani ni Utulivu Tanzania
mkuu Wewe si wakuandika hayamashoga mnajibiana wenyewe
Acha watu waeleze hisia zao,Hivi nyie mna shida gani kwani? Kwann msitulie tu jamen
AminaNaipenda CCM Mpaka naumwa, Mungu ibariki CCM Chama kinacholeta amani ni Utulivu Tanzania
Nyie CHADEMA mtateseka mno, Vijana Tafuteni kazi ya kufanyaKwahiyo mijizi ya kura mtakutana kuanzia tarehe.
Nyie CHADEMA mtateseka mno, Vijana Tafuteni kazi ya kufanya
Ni Sawa kwani Wazee sio Binadamu?Ni kweli acha vijana tutafute kazi za kufanya maana vyeo wanapewa wazee wa CCM.
Ni Sawa kwani Wazee sio Binadamu?
Nani kasema kwenye Siasa Kuna kustaafu?Kwahiyo kustaafu ni kosa?
Wewe ndiye takataka kabisa bora dingi yako angetumia ndomCCM NDIO CHAMA HAWA WENGINE NI TAKATAKA TU
Ila Wewe Jamaa unapenda sana matusi,Wewe ndiye takataka kabisa bora dingi yako angetumia ndom
Tatizo huwezi kujua ya kwamba upo kwenye mahaba na chizi!Naipenda CCM Mpaka naumwa, Mungu ibariki CCM Chama kinacholeta amani ni Utulivu Tanzania