Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho mbaya tuChama cha Majambazi. Wachuuzi wa rasilimali zetu mtakutana Dodoma
TUKO NJIANI, TUNAKUJA DODOMA
Kuwa na Aibu mkuu kusema Ccm ni chama chenye nidhamu ya pesa. Nakwambia acha kabisa hii dhambi.Hapana haziwezifika mkuu wangu Etwege ,CCM ni Chama makini sana na chenye Nidhamu kubwa ya fedha,
Ni hii ikusaidie kugha'mua kwani CHADEMA pamoja na maruzuku yote hawakufanikiwa kujenga hata HQ yao
Mjinga wewe, acha kuomba laanaNaipenda CCM Mpaka naumwa, Mungu ibariki CCM Chama kinacholeta amani ni Utulivu Tanzania
Na wanavyotumia picha ya Nyerere huku walivyo watoa rushwa kwenye chaguzi, CCM yangu iko mikononi mwa wezi, bila hela hupatiki kuraGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Wewe ni mwiziKiukweli CCM Ni chama Bora kuwahi kutokea hapa Duniani. Wapinzania hawaelewi wafanyaje na hiki chama kinachokubalika na kila mtanzania mwenye akili Timamu
Zote zitatoka serikaliniGharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Imafikirisha sana kwamba hadi leo miaka 60 ya uhuru chini ya ccm hatuna maji wala umeme wa uhakika! Na kila siku wanatuimbia wimbo wa nchi itayumba, hivi itayumbishwa na nan?akili timamu ndege ingekamatwa kule uholanz,akili timamu umeme ungewa wa mgao kila siku, akili timamu mngepora uchaguz, akili timamu kungewa na mgao wa maji miaka zaid ya 60 toka uhuru, akili timamu mngevalisha wajinga wenzenu tshirts za chadema kule lindi, akili timamu mngekopa kwa mabeberu kila siku wakati haohao mabeberu hamuwataki ila hela zao, akili timamu mngezuia mikutano ya hadhara kwa nguvu na kutumia polis wasiojielewa.Kifupi ccm ni genge la kiharifu na wapumbavu kuliko magenge yote dunian.
unaweweseka wewe. leo ndiyo unajua gharama? mbona hukuhoji gharama za kununua wabunge na kurudia uchaguzi na kuwarudisha kwenye majimbo yaleyale?Gharama za kuandaa mkutano utaambiwa billion 30
Iyumbe mara ngapi wewe mla ngada?CCM ndio Chama kikiyumba nchi inayumba balaa
Hapana haziwezifika mkuu wangu Etwege ,CCM ni Chama makini sana na chenye Nidhamu kubwa ya fedha,
Ni hii ikusaidie kugha'mua kwani CHADEMA pamoja na maruzuku yote hawakufanikiwa kujenga hata HQ yao
Deni litalipwa bila tatizoAcha maneno mengi kalipeni deni la watu huko Netherlands.
Walikuwa wanafanya biashara gani?Wanatafuna pesa iliyokusanywa na kina Bashiru Ali
Si tumeshakubaliana asiitwe Dr.?
Mmeshakunaliana na Nani?Si tumeshakubaliana asiitwe Dr.?
Na wenye akili timamuMmeshakunaliana na Nani?