Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Arusha bado ipo juu sana hayo majengo uliyopiga picha nadhani yote ni ya Serekali Arusha majengo mengi ni wananchi huwezi kufananisha Arusha na Dodoma
Mwanangu hebu watajie hawa walugaluga majengo ya private yaliyoko arusha ukianzia na naura springs, Hugo plaza, arusha trading center etc yote haya 10+ floors
 
Kumbe Kitombile unachunguliaga battle letu la dom vs chuga๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ sasa hapa uko Tim gani mkuu au shida yako wote tupotee
Wote muuane tu, hakuna ninayetaka apande juu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sasa unazan kati ya arusha na mwanza ipi inauliwa na dom
Mwanza haitoweza kuuliwa na vimji chipukizi kama dadoma, lakini nyie arusha muda wowote dodoma anawakalisha na sasa ameanza kuwakalisha kwenye mambo mengi tu ukitoa sector ya utalii.
 
Mwanza haitoweza kuuliwa na vimji chipukizi kama dadoma, lakini nyie arusha muda wowote dodoma anawakalisha na sasa ameanza kuwakalisha kwenye mambo mengi tu ukitoa sector ya utalii.
Pole sana Kwa kujipa moyo na kujifariji ingawaje ukweli unaujua ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
 
Tunasubiri uwanja wenu ukamilike na nyie tuwaone kwenye list kama hizi isiwe tumetengeneza gofu
 
Best of Dodoma ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C_TZ_yrMt9l/?igsh=M2FjaWczd2RqaGUw
View: https://youtu.be/-LGtpePVjsI?si=DsT9gfKGXLY5yUiR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ