Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Msiwaonee wivu wanakuja vizuri wameanza na mipango miji dodoma mitaa yote inapendeza funzo kwetu arusha, mwanza na hata mbeya
Kila siku Dodoma kuna mradi mpya unatangazwa na haitaishia hapa kila bajeti utaskia kuna jambo jipya Dodoma
Na Dodoma haikuwekwa mji mkuu na Magufuli ni tangu enzi za Nyerere huko
Magufuli sio mtu wa dodoma kwamba anafaidika napo
Alichokifanya nikutekeleza jambo lililopaswa kufanyika miaka 50 iliyopita akalifanya yeye na sio kuamia Dodoma tu hata Bwawa la Mwalimu Nyerere la umeme mpango ulikuwepo kwa miongo mingi ila yeye akatekeleza kwahiyo mwamba alikua mtekelezaji mzuri asiyependa mambo kucheleweshwa kwa hilo nampa kongole
Na kuamia Dodoma ni faida kubwa sana kwa nchi hamjui tu
NB: Shida moja tu ninayoiona ni serikali kurudia makosa yaleyale ya Daresalaam kulundika kila kitu Dodoma pamoja na kuwa Dodoma ni makao makuu unajengaje km220 barabara zisizo hata na mahitaji zingeweza kusubiri wakati miji mingine wanashida na km20 tu, Arusha tuna barabara inahitajika kupanuliwa ya km9 tu kuelekea airport tangu kipind cha kikwete ni danadana tu sasa hiv mipango miji wote ni Dodoma tu
Rai yangu tusiue miji mingine ili Dodoma ionekane inastawi miji mingine inaweza ikaboreshwa na Dodoma ikastawi vile vile

View: https://x.com/dailynewstz/status/1871088101524689315?t=GXkY3Vj5xQ7Sche2djeMoA&s=19
 
Kwanin wewe jamaa Huwa unamponda magufuli na ndie aliyefanya Dodoma angalau ikangaa
Magu ndio alipitisha azimio la Dom kuwa HQ?

Yeye ndio alianza kujenga? Udom ,Bunge ,Chimwaga ,nk alijenga yeye?

Hata sasa kwani yeye ndio anajenga Dom? Mwendazake alifanya acceration tuu at the expenses of other regions development especially Mbeya.

Tulieni NSSF & TCRA wawatandike na vitu vizito hapo Dom HQ
 
SGR ikifika Arusha sjui mtaongea nn tena na mjue hyo SGR ya Arusha itakua 200kmh 😄
Wangejenga Sgr kutoka Mbeya-Dom-Arusha ingekuwa nzuri sana pia.

View: https://x.com/dailynewstz/status/1882322422214672550?t=YZduoZ8p12a561nl2GFuJQ&s=19
 

Ingeanzia Tunduma kabisa ije mbeya, iringa, Dodoma , Arusha hii ingefanya mtu anayeenda mbeya kutolea dar akifka Dom anaunga mbeya, pia mtu angeweza kutoka mwanza kwenda mbeya, Arusha & moshi kwenda mwanza, Arusha kwenda mbeya, mbeya kwenda kigoma, Arusha & moshi kwenda tabora, kigoma n.k hapo biashara ya mabasi ingekua imekufa kifo Cha mende ila sijui kwanini hawawazi hiv sjaskia sgr ya kwenda mbeya popote pale nmeskia kusini tu sasa na hii tazara ambayo wachina wameichukua nadhan watatarget mizigo tu
 
Ingeanzia Tunduma kabisa ije mbeya, iringa, Dodoma , Arusha hii ingefanya mtu anayeenda mbeya kutolea dar akifka Dom anaunga mbeya, pia mtu angeweza kutoka mwanza kwenda mbeya, Arusha & moshi kwenda mwanza, Arusha kwenda mbeya, mbeya kwenda kigoma, Arusha & moshi kwenda tabora, kigoma n.k hapo biashara ya mabasi ingekua imekufa kifo Cha mende ila sijui kwanini hawawazi hiv sjaskia sgr ya kwenda mbeya popote pale nmeskia kusini tu sasa na hii tazara ambayo wachina wameichukua nadhan watatarget mizigo tu
Dom inaendelea Kupeleka vilio Kwa Arusha & kama yake aliyezeeka Mwanza is Slum 🤣 🤣 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DFe_3tqtccH/?igsh=cmJzM2Z2MXN2ajI4
 
The paradise dodoma ni jangwani
20250106_105831.jpg
 
Back
Top Bottom