Pre GE2025 Dodoma imejaa ikatapika: Kuna mtu kabaki Dar?! CCM yafunika, ni shangwe kila mahali kuelekea mkutano mkuu wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
. Dodoma ni pa chafu sana,


. Nimepita hapo, naona mabango yamejaa karibu barabara yote πŸ€’πŸ€’πŸ€’
 
Zuchu kipindi hiki sijui atakuwa na ndoto ya kumshika nani mkono ?

Nakumbuka kipindi Cha 2020 alisema ni ndoto yake kumshika mkono mwendazake
 
Huko kumebuma kilichowapeleka huko kingefanyika hata kwenye simu tu na laptop ikaisha
Wanasema wameenda kufanya uchaguzi wa makamu mwenyekiti! Lakini cha ajabu hawamjui wanayeenda kumchagua! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hivi CCM kipo kweli?
 
Muachage kufanya propaganda, nani ana interest kufuatilia mambo ya ccm huko dodoma? Kwanza huo uteuzi wa makamu mwenyekiti wao hauna impact, hauna vibe, hao wasanii wameenda huko kwa maslahi yao tu. Vibe liko dar kunako uchaguzi wa chadema, media zote all eyes on the chadema election
 
Halafu wengine wamefikia kwenye hii hotel mitaa ya hapa Kisasa, ni watu wa ajabu sana ati wanalazimisha kulala kwa nusu bei vile wapo kwenye sare
 
Hivi kazi ya hao wasanii ni nini kwenye mkutano? Mbona yapo mengi tu ya kujadili kama nchi? Halafu emb yatazame!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…