Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango ashiriki ibada Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska

Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango ashiriki ibada Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska

Mitandao ni mizuri ila wengine Wanaitumia Vibaya. Tuitumie kwa Kumuogopa MUNGU. Waliokuwa wanatuma picha yangu na Mshumaa pembeni, Wengine wanasema Mzee amekata moto, Kazi ambayo MUNGU amenituma kuifanya sijaimaliza. Wakati Utakapofika nitarejea kwa Muumba wangu” Philip Mpango.
 
17 I will not die but live, and will proclaim what the LORD has done.
Zabuti ya 118.
Badala ya kupunguza maswali nukuu kama hii inaongeza maswali.
Kazi maalum. Toka lini kiongozi akaenda kufanya kazi maalim kimya kimya? Kwani yeye TISS?
Pia ametuondoa wasiwasi kwamba yenye siyo robotoid.
Mtu ametoweka,hataki kusema kusema alikwenda wapi,lakini sasa anatuondoa wasiwasi kwamba yeye siyo robotoid.
Utajuaje kama sio TISS!?....
 
Amesharudi kutoka nje ya nchi kikazi?😁😁😁.hivi makalu wa rais uwa hapokewi kiserikali kama rais anaporudi kutoka safari.yaani anakuwa kama mjumbe wa nyumba kumi tu.
 
Mlokua mnamzushia kifo mna hali gani?Mlokua mnatangaza na kujiapiza kwamba akionekana mtafuta page zenu mshafuta?Mlokua mnapiga ngoma ya nchimbi na kuanza kumpost mpo wapi?Huwezi kushindana na Mungu hata kidogo!! Kwa mara nyingine wahuni na genge lenu mmefail again!!

Kama mnadhani mtafanikiwa kama mlivyofanikiwa kipindi kile basi safari hii mmechemka Mungu wetu hawezi kuruhusu hilo liwe labda atake yeye

Hii tabia ya kuzushia watu vifo siyo nzuri hata kidogo!! Na ingekua ni busara hawa wahuni washughulikiwe humo humo ndani ya chama na mtandao wao!!Lakini inakua ni vigumu maana wana mizizi kila mahali.

=======

Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Mapadre mara baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili ktk Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma leo tarehe 10 Desemba 2023.

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege mkoani Dodoma katika Ibada ya Jumapili leo Desemba 10, 2023. Ibada hiyo imeongozwa na Padre Dionis Paskal Safari.

Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa ibada hiyo, Dk Mpango amewaasa Watanzania kutumia vema mitandao ya kijamii.

Amesema matumizi yasiofaa ya mitandao ya kijamii yamekuwa yakiumiza watu wengi hivyo yampasa kila mmoja kutumia vema pamoja na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu.

Makamu wa Rais amewashukuru waumini hao kwa kuendelea kumuombea ili aweze kutekeleza vema majukumu yake.
View attachment 2838329
Wenye gubu hawaachi maneno. Watasema hii picha ya mwaka jana!
 
Haya sasa tuendelee na mengine, maana kwa sasa tayari Dr. Philip Mpango ameshajibu kuhusu kimya chake, kwa kutokeza hadharani.

Haya twendeni tukajenge nchi, huu mjadala umeshafungwa rasmi na hakuna tena kilichobaki nyuma kwenye mjadala wa kimya chake.

Ila katika hili, tujifunze kuwa na kiasi kwa kile tunachosema mitandaoni jata kama tunaona tuna uhuru wa kusema chochote kilicho kichwani.

Ova
 
Mlokua mnamzushia kifo mna hali gani?Mlokua mnatangaza na kujiapiza kwamba akionekana mtafuta page zenu mshafuta?Mlokua mnapiga ngoma ya nchimbi na kuanza kumpost mpo wapi?Huwezi kushindana na Mungu hata kidogo!! Kwa mara nyingine wahuni na genge lenu mmefail again!!

Kama mnadhani mtafanikiwa kama mlivyofanikiwa kipindi kile basi safari hii mmechemka Mungu wetu hawezi kuruhusu hilo liwe labda atake yeye

Hii tabia ya kuzushia watu vifo siyo nzuri hata kidogo!! Na ingekua ni busara hawa wahuni washughulikiwe humo humo ndani ya chama na mtandao wao!!Lakini inakua ni vigumu maana wana mizizi kila mahali.

=======

Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Mapadre mara baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili ktk Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma leo tarehe 10 Desemba 2023.

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege mkoani Dodoma katika Ibada ya Jumapili leo Desemba 10, 2023. Ibada hiyo imeongozwa na Padre Dionis Paskal Safari.

Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa ibada hiyo, Dk Mpango amewaasa Watanzania kutumia vema mitandao ya kijamii.

Amesema matumizi yasiofaa ya mitandao ya kijamii yamekuwa yakiumiza watu wengi hivyo yampasa kila mmoja kutumia vema pamoja na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu.

Makamu wa Rais amewashukuru waumini hao kwa kuendelea kumuombea ili aweze kutekeleza vema majukumu yake.
View attachment 2838329
Ni yeye kweli au ni mambo ya AI
 


Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amewashukuru Watanzania kwa kumuombea huku akibainisha kuwa alikuwa nje ya nchi kwa shughuli maalumu takribani mwezi mmoja.

“Asanteni sana kwa kuniombea, yamesemwa mengi si ndio? Na wengine bado wanasema mimi ni mzuka..

“Muwe na amani nipo salama nilikwenda nje kufanya shughuli malum takribani mwezi mmoja sijapungua hata kidogo si ndio?... Wapo wengi walioumizwa na maneno ambayo hayana msingi, wale waliokuwa wanatuma picha yangu na mshumaa pembeni…. wengine walisema mzee amekata moto…muda wangu bado,”amesema Dk Mpango.

Dk Mpango ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege mkoani Dodoma katika Ibada ya Jumapili leo Desemba 10, 2023. Ibada hiyo imeongozwa na Padre Dionis Paskal Safari.
 
View attachment 2838437

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amewashukuru Watanzania kwa kumuombea huku akibainisha kuwa alikuwa nje ya nchi kwa shughuli maalumu takribani mwezi mmoja.

“Asanteni sana kwa kuniombea, yamesemwa mengi si ndio? Na wengine bado wanasema mimi ni mzuka..

“Muwe na amani nipo salama nilikwenda nje kufanya shughuli malum takribani mwezi mmoja sijapungua hata kidogo si ndio?... Wapo wengi walioumizwa na maneno ambayo hayana msingi, wale waliokuwa wanatuma picha yangu na mshumaa pembeni…. wengine walisema mzee amekata moto…muda wangu bado,”amesema Dk Mpango.

Dk Mpango ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege mkoani Dodoma katika Ibada ya Jumapili leo Desemba 10, 2023. Ibada hiyo imeongozwa na Padre Dionis Paskal Safari.
Tundu Lissu anahisikiaje aisee?
 
Anyamaze, dunia ya sasa haina nafasi ya uongo.
Anaweza kutajiwa hosp. Alipokuwa anatibiwa, ugonjwa hata daktari wake.

Mambo mengine kama kiongozi unayanyamazia tu.

Ameahau corona ilivyomdhalilisha?
Yaani nyie mmzushie wee, halafu eti yeye anyamaze tu. Mbona nyie hamkunyamaza. Yamewashuka kabisa, mnakuja na makasiriko. Evil people, shame on you.
 
Back
Top Bottom