ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Siku narudi bongo ndio nilijua why M Jackson miguu yote hakukanyaga chini bongo mmoja ulikatalia kwa ndege akarudi USA akaakataa huku sio kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku narudi bongo ndio nilijua why M Jackson miguu yote hakukanyaga chini bongo mmoja ulikatalia kwa ndege akarudi USA akaakataa huku sio kabisa
Jiji lenye barabara kubwa moja tu.🤣Ndio uzuri wa mji sasa huo, foleni kipande cha km 5 tu, huku kwingine oya oya tu..
Mj alikuja Tanzania na akapokelewa na mzee Mwinyi pale ikulu magogoni. Sasa hawa watoto wa mwaka 2000, wanaleta hadithi za vijiweni wakati wanavuta cannabis [emoji1787]...Achana na Stori za Vijiweni zisizo na Ukweli za Kujidhalilisha Nchi Yako!
Hii ñi Stori ya Kijiweni.
Nani alikuambia MJ aliwahi kuja hapa na akakatalia ndani ya Ndege??
Punguza kukaa Vijiweni!
Na dar unasrmaje mkuu, mNA DSR NDO JIJI CHAFU na halijapangws kuliko majiji yote ukitaka kuona dsr ni kama kichska shuka kwa ndegeNimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.
Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Nyie ndio huwa mnahesabu idadi ya maghorofa kwenye miji.
Vigezo vya mji kuwa jiji ni idadi ya watu pamoja na mapato yanayopatikana, sio mpangilio wa nyumba wala usafi wa mazingira.
Wingi wa barabara siyo kigezo cha kuwa jiji.Jiji lenye barabara kubwa moja tu.🤣
Idadi ya watu pekee haikidhi. Kiukweli bado kuna majiji yamewaushwa tu. Kwa baadhi ya nchi majiji kama Mbeya, Dodoma na Tanga kiukweli ni Manispaa tu. Na pia kuna manispaa bado zilipaswa ziji upgrade taratibu kufikia Manispaa kwa mfano Lindi.
Ila kwa utaratibu tuliojiwekea
Unatakiwa useme ni kigezo gani kinachotakiwa, sio kushia tu kwamba idadi ya watu pekee haikidhi, otherwise huna hoja.Idadi ya watu pekee haikidhi. Kiukweli bado kuna majiji yamewaushwa tu. Kwa baadhi ya nchi majiji kama Mbeya, Dodoma na Tanga kiukweli ni Manispaa tu. Na pia kuna manispaa bado zilipaswa ziji upgrade taratibu kufikia Manispaa kwa mfano Lindi.
Ila kwa utaratibu tuliojiwekea ni majiji
Ndio maana alisema vigezo viboreshwe iko kutoa uhalisia. Ni sawa na kusema atakayepata alama 30% hiyo ni AUnapaswa kwanza utambue vigezo vinavyoangaliwa kupandisha from the scratch- halmashauri - kuwa manispaa,- manispaa kuwa mji- mji kuwa jiji... Usifikiri wanakurupuka tu kupandisha hadhi kama ulivyokurupuka! Kuja kuandika hapa! kwa vigezo vya majengo. Hivi ni baadhi tu ya vigezo, 1, population growth... Wengine watajazia
Nyie wapenda maghorofa marefu mtatusumbua sana.Ndio maana alisema vigezo viboreshwe iko kutoa uhalisia. Ni sawa na kusema atakayepata alama 30% hiyo ni A
Tupe vigezo muzee.Siyo small No?
Ninachokwazika kwenye huu uzi, watu mnaochangia hamuelewi hata vigezo vinavyotakiwa mnapuyanga hovyo tu, kama hujui kitu ni bora kuuliza, siyo kuandika vingereza vya kinanilii eti big no!
Ukiwa juu ya ndege ni kweli maeneo mengi yanaonekana ni mabaya. Ila pata fursa ya kutembea maeneo ya mbweni, osterbay, masaki, mbezi beach.. etcNa dar unasrmaje mkuu, mNA DSR NDO JIJI CHAFU na halijapangws kuliko majiji yote ukitaka kuona dsr ni kama kichska shuka kwa ndege
Haya mkuu, sawasawa.Wingi wa barabara siyo kigezo cha kuwa jiji.
Kapigwe bomba urudi kwenye akili zako timamu kama unazoUkiwa juu ya ndege ni kweli maeneo mengi yanaonekana ni mabaya. Ila pata fursa ya kutembea maeneo ya mbweni, osterbay, masaki, mbezi beach.. etc
Kama hii komenti umeiandika ukiwa ndio level yako ya juu kabisa ya utimamu basi wewe ni janga la taifa. Omba watu wakuwahishe mirembe kijana kabla hujafanya upumbavu zaidi.Kapigwe bomba urudi kwenye akili zako timamu kama unazo
Tatizo kubwa LA mashoga huwa mnajiona MNA akili sana na hamtaki kabisa kuambiwa ukweli.Kama hii komenti umeiandika ukiwa ndio level yako ya juu kabisa ya utimamu basi wewe ni janga la taifa. Omba watu wakuwahishe mirembe kijana kabla hujafanya upumbavu zaidi.
Nimeshakupa tahadhari uwahishwe mirembe na hapa naona upumbavu unaendelea kumwagika.Tatizo kubwa LA mashoga huwa mnajiona MNA akili sana na hamtaki kabisa kuambiwa ukweli.
Kwa Mwanza Umekosea SANANimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.
Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Narudia tena mashoga kubalini mnapoambiwa ukweliNimeshakupa tahadhari uwahishwe mirembe na hapa naona upumbavu unaendelea kumwagika.
Swadakta mkuu hiyo dar inayoitwa jiji la nchi ni kituko kika kona.Sasa wew unaona Dar ni jiji kweli...
Angalia posta barabara zilivyo mbovu, miwaya ya umeme kila mahali, hakuna side walks, kariakoo chemba zinatema muda wote, machinga kila mahali, hakuna recreation parks, maghorofa mengi machakavu nk nk
Yaan Bado tunasafari ndefu kama nchi...tofauti ya dar na mwanza labda maghorofa tu na ukubwa wa mji lakin mengine yote yale yale
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ngoja sasa nikuache maana naona unajitangaza hapa biashara yako. Pengine utapata wateja na kuijaza kuzimu.Narudia tena mashoga kubalini mnapoambiwa ukweli