Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
- Thread starter
- #221
Utaratibu unatakiwa kuwa mzuri na vigezo viwe vya kuridhisha. Miji iwe na miundombinu bora kabla haijapandishwa hadhi. Isiwe suala la kisiasa.On my own sizani kama kipimo ni kuangalia kwa macho tuu na kufanya evaluation mkuu
Nenda kanye sheria ya uanzishwaji majiji.
Vilevile sheria inampa Raisi wa nchi kufanya miji yoyote kuwa majiji