Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Ndio.. hadhi ya nyumba nyingi mkoani bado ni hafifu sana.
Mkuu hakuna sehemu iliyojitosheleza kwa Kila kitu, japo Dar unaisifia lakini ni sehemu chache sana zenye mpangilio na ustaarabu, sehemu kubwa ni uswazi tu,Jiji linanuka nya sehemu kubwa, uchafu umekithiri miundo mbinu ya kishenzi , na nadhani ndio sehemu inayoongoza kwa magonjwa ya mlipuko
 
Mkuu hakuna sehemu iliyojitosheleza kwa Kila kitu, japo Dar unaisifia lakini ni sehemu chache sana zenye mpangilio na ustaarabu, sehemu kubwa ni uswazi tu,Jiji linanuka nya sehemu kubwa, uchafu umekithiri miundo mbinu ya kishenzi , na nadhani ndio sehemu inayoongoza kwa magonjwa ya mlipuko
Maeneo mengi yaliyokuwa mabaya kama manzese, buguruni, tandale, mwananyamala, kigogo, msasani, mikocheni A, magomeni, kinondoni hasa moscow nk yanazidi kubadilika maana watu wenye pesa wanawahamisha wale wakazi wa zamani.

Ni suala la muda tu huko kote kutakuwa safi sana ingawa maeneo mabaya hayawezi kuisha kabisa.
 
Maeneo mengi yaliyokuwa mabaya kama manzese, buguruni, tandale, mwananyamala, kigogo, msasani, mikocheni A, magomeni, kinondoni hasa moscow nk yanazidi kubadilika maana watu wenye pesa wanawahamisha wale wakazi wa zamani.

Ni suala la muda tu huko kote kutakuwa safi sana ingawa maeneo mabaya hayawezi kuisha kabisa.
Vivyo hivyo hata kwa maeneo mengine, maana Mwanza /Mbeya ya miaka ya 2000 ni tofauti na ya sasa, labda kama umeanza kuijua jiografia juzi
 
Nyie ndio huwa mnahesabu idadi ya maghorofa kwenye miji.

Vigezo vya mji kuwa jiji ni idadi ya watu pamoja na mapato yanayopatikana, sio mpangilio wa nyumba wala usafi wa mazingira.
Lakini kama ni mapato mbona dodoma mapato yake madogo? Hata kwenye kumi bora haipo. Au yenyewe ilifanywa kuwa Jiji kwa kigezo kingine?
 
Tanga jiji ni Wilaya ya Tanga tu,sio Mkoa mzima wa Tanga,kwenye wilaya 7,Yeye atakuwa amefika katika wilaya nyingine,ambazo sio jiji,akafikiri ndio jiji lenyewe.
Ndiooo! Saza one, luika, patamela, kama utakuwa umenisoma KWA code @ mkwajuni!?
 
Nimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.

Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.

Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Kwani vigezo vya manispaa kupewa hadhi ya jiji ni vipi?
 
[emoji1787]

Kuna mswahili alienda USA halafu alivyorudi Dar. Akasema anasikia kama Dar ina harufu fulani mbaya anaisikia kila anakopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo halina ubishi,Dar inanuka.
 
Mbeya ni kakijiji kalikochangamka,

Kupo hovyooo,
 
Kwani vigezo vya manispaa kupewa hadhi ya jiji ni vipi?
Iwe na watu laki 5
Iwe na uwezo wa kujitegemea kimapato asilimia 95
iwe na makao makuu ya mkoa
Iwe na miundombinu ya kutosha
Na wakazi wake wasiwe wanaotegemea kilimo kama shughuli ya kiuchumi
 
Unapaswa kwanza utambue vigezo vinavyoangaliwa kupandisha from the scratch- halmashauri - kuwa manispaa,- manispaa kuwa mji- mji kuwa jiji... Usifikiri wanakurupuka tu kupandisha hadhi kama ulivyokurupuka! Kuja kuandika hapa! kwa vigezo vya majengo. Hivi ni baadhi tu ya vigezo, 1, population growth... Wengine watajazia
Afrika kila kitu kinawezekana ndugu...hii ni Africa
 
Kuna rafiki yangu alisafiri kwenda S.A alipofika kule siku ya kwanza kuoga akakutana na "shower gel" Basi akaoga alivyomaliza kuangalia chini akakuta mabaki kabaao ya taka kwenye tiles[emoji16][emoji16]alitoka huku bongo alijiona msaaaaaafi mwenyewe na alikuwa maji ya kunde Fulani ya kung'aa.

Alikaa S.A week mbili halfu akaenda USA huko sasa alikaa Miaka miwili aliporudi bongo alifurahi sana ila alikuwa mweupe mnoo,yaani kaivaaa[emoji16]..Aliniambia wewe utarudi mzungu ukienda huko[emoji16][emoji16]ila hakuacha kunisimulia miyeyusho ya watu weupe yaani[emoji21][emoji21]

Ulaya ni ulaya TU ila HOME SWEET HOME..huyo rafiki yangu alikubali kuwa Tanzania NI kuzuri na kutamu mno ukiwa na mkwanja,anatafuta pesa huko anakuja kutumia bongo na investment zake anafanyia huku ili siku moja arudi kwao aishi kwa furaha na amani,LAKINI KWANZA PESA,TUTAFUTE PESA VIJANA WENZANGU NCHI TAMU HII[emoji16]
Hii ni kweli kabisa
 
Nimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.

Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.

Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Mimi najua Tanzania ina Majiji 3 tuu nayo ni Dar is Slum,Arusha na Dodoma..

Huko kwingine ni mifano ya Majiji..
 
Mtu Yeyote akienda sehemu nzuri lazima uone sehemu uliyoizoea ni mbaya. Mfano ukikaa Dar ukija mkoani unapaona pabaya na pamechoka. Ukisafiri kwenda Dubai, kisha ukija Dar utaiona Dar ni mbaya. Ukisafiri kwenda Ulaya na Marekani unaona Uarabuni ni pabaya na Dar ni kama jalala.
Pamoja na maisha yenu ya huko Dar kamwe siwezi ishi sehemu kama hiyo maana robo tatu ya watu wanaishi kwenye slums,Mji unanuka,watu ni wengi hatari na ufirauni wa kuzidi..

Mikoani hayo mambo ya hovyo hayapo.
 
Mbeya the only issue ni Money circulation na hiyo haizuii kuwa jiji. Laumu investments na ndio ujue why watu wanalalama Serikali kuhamia Dom. Wewe umetembelea na hujaishi. Kaishi ndo urudi hapa Mwana Dar.
Money circulation imefanyaje? Kwamba haipo au? Au unataka iringane na Dar? Haiwezekani Mzee
 
Back
Top Bottom