Upandishaji wa majiji uliwekewa vigezo, ila vigezo vya kisiasa pia vilikuwepo ila havikuwekwa wazi ulikuwa under the capet. Usishangae unachokiona kwenye majiji hayo uliyoyataja kwani hii ni TZ. Makazi ya watu zamezidi uwezo wa serikali kupanga and kuwaletea wananchi huduma stahiki kwa wakazi wa majiji hayo. Mikoa ilipigania miji yao kuwa majiji kwani mgao wa keki ya Tiafa ni kubwa kuliko kwa halmashauri na manispaa. But, kiini cha yote haya ni Serikali kuu kukumbatia kila kitu na kutokuwapa nguvu mikoa/miji kujiendeleza bila kuingiliwa na serikali kuu. Serikali kuu imeingilia mapato yote ya miji yote na kuyakusanyia mfuko mmoja ambao kwa sasa huitwa mfuko wa Rais alie madarakani, kuanza kugawa kwa hisani na sio kufuata budget ilivyopangwa na basically on political grounds/personal.