Hata mjinga huwacheka wajinga wenzie siyo tu kwasababu ya kufurahisha nafisi yake Bali kwa kutojua kiasi Cha ujinga wake yeye mwenyewe.Nimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.
Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Wewe nae unatafutiza tu, sasa ukitoka Isanga vijiji vya milimani huko kuelekea chunya unavihesabia? Mbeya ni pazuri sana, mzunguko wa hela upo, system ya usafiri wa uma ni nzuri,Ukitoka isanga unaenda iganzo njia ya chunya.
No way .wew unataka tu battle na uchokozi Kwa mwanza...Hilo unalojua then maoni yako binafsi usilazimishe wengine waamini kama wewMimi nimeishi miaka 16 mbeya, miaka 6 mkoa wa pwani, miaka 14 dar, mwezi mmoja songea, dodoma, manyara, mwanza, arusha na kilimanjaro na maeneo mengine nimekaa angalau wiki kama tabora, lindi, mtwara, morogoro, unguja, pemba, Tanga, singida etc na miaka kadhaa nchi nyingine kama tatu.
Hivyo arusha sio makazi yangu ila nilipokaa niliona ina hadhi bora kuliko sehemu zingine za tz.
Michael Jackson kwa hadhi yake hata waziri haruhusiwi kumpokea. Unashangaa kupokewa na raisi, uingereza alipokelewa na malkia.Yaani msanii anapokelewa na raisi jamani duu yaani nchi za kiafrika
Achana nae aendelee kulegeza mbupu huko na joto la kuzidiWewe nae unatafutiza tu, sasa ukitoka Isanga vijiji vya milimani huko kuelekea chunya unavihesabia? Mbeya ni pazuri sana, mzunguko wa hela upo, system ya usafiri wa uma ni nzuri,
population kubwa kuna toto kali za kinyakusya black beauty halafu zina mizigo, mazao bei chee mahindi mengi na mchele wenye ubora na viazi vya kutosha, ndizi na maparachichi ni kama ya bure tu, hali ya hewa nzuri ya baridi safi kabisa.
Ukitaka kufaidi maisha kaishi Mbeya, huku Dsm mnateseka tu!
Au nasema uwongo Beesmom ?
Iganzo ni ndani ya mnachoita jiji na kuna watu wengi kama mchanga. Gharama za maisha ni kweli ziko chini sana lakini mbeya hakuna hadhi yoyote, maeneo mengi ni makazi holela.Wewe nae unatafutiza tu, sasa ukitoka Isanga vijiji vya milimani huko kuelekea chunya unavihesabia? Mbeya ni pazuri sana, mzunguko wa hela upo, system ya usafiri wa uma ni nzuri,
population kubwa kuna toto kali za kinyakusya black beauty halafu zina mizigo, mazao bei chee mahindi mengi na mchele wenye ubora na viazi vya kutosha, ndizi na maparachichi ni kama ya bure tu, hali ya hewa nzuri ya baridi safi kabisa.
Ukitaka kufaidi maisha kaishi Mbeya, huku Dsm mnateseka tu!
Au nasema uwongo Beesmom ?
Hamna anayelazimishwa kuamini mkuu.No way .wew unataka tu battle na uchokozi Kwa mwanza...Hilo unalojua then maoni yako binafsi usilazimishe wengine waamini kama wew
ni kweli mkuu siku bby wangu alirudi akakuta imejengwa flyover alicheka sana akasema siyo flyover nnayoijua,umeongea ukweliMtu Yeyote akienda sehemu nzuri lazima uone sehemu uliyoizoea ni mbaya. Mfano ukikaa Dar ukija mkoani unapaona pabaya na pamechoka. Ukisafiri kwenda Dubai, kisha ukija Dar utaiona Dar ni mbaya. Ukisafiri kwenda Ulaya na Marekani unaona Uarabuni ni pabaya na Dar ni kama jalala.
na wala hakuwa anadanganya[emoji1787]
Kuna mswahili alienda USA halafu alivyorudi Dar. Akasema anasikia kama Dar ina harufu fulani mbaya anaisikia kila anakopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo kubwa la dar na miji mingi ya Tanzania Hamna public park, pedestrian walk watu wanashare na boda boda hivi hao watu wa ardhi ni kazi ipi wanafanya na kwanin wanalipwa mshaharaSasa wew unaona Dar ni jiji kweli...
Angalia posta barabara zilivyo mbovu, miwaya ya umeme kila mahali, hakuna side walks, kariakoo chemba zinatema muda wote, machinga kila mahali, hakuna recreation parks, maghorofa mengi machakavu nk nk
Yaan Bado tunasafari ndefu kama nchi...tofauti ya dar na mwanza labda maghorofa tu na ukubwa wa mji lakin mengine yote yale yale
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
nami nakazia kwa vigezo vyake basi hatuna jiji hata moja Tanzania ya Tozo,Kama vigezo vyako ni nyumba kutapakaa kama takataka na miundombinu hatarishi, basi hatuna jiji hata moja Tanzania
Squatter kila mahai unategemea ninna wala hakuwa anadanganya
Mbeya kuna foleni ya kijinga sana kuanzia ilomba mpaka mafiati.. yaani main road ya kuingia kwenye hicho kitu mnaita jiji ni single lane.. kilometer karibu tano ni foleni tupu.hata kama una usafiri binafsi foleni za magari unakaa hadi unasinzia,
Bajaji zilizopo mbeya ni uchafu mtupu, kelele na kukosekana kwa utaratibu. Kila mahali ni hatari maana bajaji zinafanya ghasia.ya kwenda sijui gongo la mboto mnajazana kama keng
Wapi kuna makanisa uchwara mengi kati ya dar na mbeya?Ukienda Kawe jumapili hupati daladala, zote zimejaa watu wa Mwamposa wameenda kutafuta miujiza kwa sababu ya maisha magumu..
Sasa si hapo tu, utalinganisha na dar kila kona foleni?Mbeya kuna foleni ya kijinga sana kuanzia ilomba mpaka mafiati.. yaani main road ya kuingia kwenye hicho kitu mnaita jiji ni single lane.. kilometer karibu tano ni foleni tupu.
Jamaa yangu alikaa Bangkok miaka mitatu. Aliporudi bongo ndani ya dk 20 za kwanza akasema, "Kaka, mimi hapa ni nyumbani ila Michael Jackson hakukosea, tulimuona ana nyodo na mbwembwe ila kiuhalisia home pana harufu flani hivi, hewa flani nzito sana."Mtu Yeyote akienda sehemu nzuri lazima uone sehemu uliyoizoea ni mbaya. Mfano ukikaa Dar ukija mkoani unapaona pabaya na pamechoka. Ukisafiri kwenda Dubai, kisha ukija Dar utaiona Dar ni mbaya. Ukisafiri kwenda Ulaya na Marekani unaona Uarabuni ni pabaya na Dar ni kama jalala.
Bangkok Thailand hawana cha kujivunia maana hata wao kuna harufu fulani ipo kila mahali nadhani inachangiwa na vyakula vyao. Nimekaa pale 2014 na nikagundua ile nchi imewekeza sana kwenye sekta ya misosi maana hata malls zao unakuta floor nne kati ya kumi ni biashara ya misosi. Ila ofcourse miundombinu yao ni next level. Kuna mpaka red tarmac roads ukiwa unatokea Suvarnabhumi airport na treni na boat kibao za mjini.Mtoa mada ameshindwa kutofautisha vitu flani vichache. Kwa mawazo aliyonayo, akiishi mahali kama Tokyo, Paris and the alikes, hakuna nchi Afrika ataona ina hadhi ya kua na jiji hata moja
Sasa mbeya barabara kuu ipo moja tu unategemea foleni iwe wapi kwingine?Sasa si hapo tu, utalinganisha na dar kila kona foleni?
Ndio uzuri wa mji sasa huo, foleni kipande cha km 5 tu, huku kwingine oya oya tu..Sasa mbeya barabara kuu ipo moja tu unategemea foleni iwe wapi kwingine?