Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Uponyaji na uzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
666
Reaction score
1,255
Nimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.

Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.

Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
 
Unapaswa kwanza utambue vigezo vinavyoangaliwa kupandisha from the scratch- halmashauri - kuwa manispaa,- manispaa kuwa mji- mji kuwa jiji.

Usifikiri wanakurupuka tu kupandisha hadhi kama ulivyokurupuka! Kuja kuandika hapa! kwa vigezo vya majengo. Hivi ni baadhi tu ya vigezo, 1, population growth. Wengine watajazia
 
Mtu Yeyote akienda sehemu nzuri lazima uone sehemu uliyoizoea ni mbaya. Mfano ukikaa Dar ukija mkoani unapaona pabaya na pamechoka. Ukisafiri kwenda Dubai, kisha ukija Dar utaiona Dar ni mbaya. Ukisafiri kwenda Ulaya na Marekani unaona Uarabuni ni pabaya na Dar ni kama jalala.
 
Mtu Yeyote akienda sehemu nzuri lazima uone sehemu uliyoizoea ni mbaya. Mfano ukikaa Dar ukija mkoani unapaona pabaya na pamechoka. Ukisafiri kwenda Dubai, kisha ukija Dar utaiona Dar ni mbaya. Ukisafiri kwenda Ulaya na Marekani unaona Uarabuni ni pabaya na Dar ni kama jalala.
Siku narudi bongo ndio nilijua why M Jackson miguu yote hakukanyaga chini Bongo mmoja ulikatalia kwa ndege akarudi USA akaakataa huku sio kabisa.
 
Siku narudi bongo ndio nilijua why M Jackson miguu yote hakukanyaga chini bongo mmoja ulikatalia kwa ndege akarudi USA akaakataa huku sio kabisa
HV Ni kweli alikataa kata kushuka au uzushi kumbe Tanzania hatujaanza kuwashobokea wasanii wa nje leo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wee Ni mtu wa AR chuga ila kweli mbeya hpn jamani ile ni Kijiji kubwa siyo jiji kbsa lile ddm na Arusha na dar ziwe majiji ova

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama serikali ikibaki na msimamo wa Dodoma kuwa jiji. Basi huko mbeleni Dodoma utakuwa mji mzuri na wenye nguvu. Shida ya Dodoma ni MAJI!
 
hahahh wapi huko sema mikoani hakuna uchangamfu kama ilivyo Dar
Mkoa mmoja wa nyanda za juu Kusini mkuu.

Nilirudi Dar fasta maana yale mazingira sikuwahi kuyazoe hata kidogo na hayazoeleki.
 
Back
Top Bottom