welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Anao Zaid ya kumi atamjua Ni yup Sasa!Aliyemuua atakuwa mmoja wa hao hao watu wake.
Huruma
mbona habari haitaji muhusika wa mauaji..kwahiyo ni bodaboda ndie aliyemuua huyo mtoto au.?Hatujui, tunachojua ni kwamba mama kaacha mtoto na bodaboda akaenda kula maisha mpaka saa 1 asubuhi.
Umejuaje huyo mwanamke hana uwezo wa kutunza mtoto?Ustawi wa jamii na mahakama huwa wanampa mtoto mzazi anayeweza kumtunza. Baba wa mtoto alifanya jitihada gani kupewa mtoto kisheria aishi naye yeye??
Huyo mama ukimuangalia tu anaonekana ni slayqeenUnaacha mtoto wa miaka sita na dereve bodaboda? Uliyemjua tu kwakuwa anakubeba? Hapana, ifike wakati na sisi wanaume tuangalie sana sehemu tunapoweka mbegu zetu.
Slayqeen huyo tuHuyu mwanamke alikosa ndugu wa kukaa na mwanae hata kama housegirl wanazingua?Ni mjinga kabsa pumzika salama baby boy.
Chief Godlove ndio Baba wa mtotoBaba wa kumzaa huyo mtoto alikuwa wapi?
Mwanamke ni kiumbe dhaifu.Asilaumiwe mwanamke anayeacha mtoto wa miaka sita na bodaboda? Hasa kipindi hiki ambacho hata wababa wanabaka watoto wao? Unatetea nini mkuu?
🤭🤭🤭🤭Mwanamke akigeuka mbwa ni hatari sana!
Mkuu inawezekana jamaa godlove alizalisha tu akakimbia. sasa ikiwa hivyo mwanamke si anaweza kumuita mtoto kwa majina ya upande wake?Aisee.
Mtoto anaitwa Greyson Kanyenye Mabuya na huyo mchizi anajiita Godlove.
Hpn ni kajiita mleziChief Godlove ndio Baba wa mtoto
Baba mtoto hajajulikanaChief Godlove ndio Baba wa mtoto
Hajajulikana badoBaba wa kumzaa huyo mtoto alikuwa wapi?
Yes, hapo sawa.. baba hazai ila anazalisha.. anamfanya/anamtia mimba mwanamke ili mwanamke ndo azae.Baba huwa hazai, acha ushoga wewe chawa.