Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Wimbo: Post ya kwanza hapa: Tanzania nchi yenye udongo wenye dhambi-Pongezi RomaNchi yenye udongo wenye dhambi?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wimbo: Post ya kwanza hapa: Tanzania nchi yenye udongo wenye dhambi-Pongezi RomaNchi yenye udongo wenye dhambi?.
Mloganzira kufanya nn mwambie aende milembeHata wewe hujui hiyo picha ilitakiwa atumiwe nani kati ya wizara,mbunge au waziri halafu unauliza kwamba dunia inawezaje kutatua....Wahi hospital kiongozi tena mloganzila hapo
"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Freedom of speech. Mwaga madini bwana.
Kuwa na mtu kama wewe ni bora kufuga mbuzi utamchinja Siku ya sikukuu na kunywa supu kuliko mzigo kama wewe. Unaelekea kusema hakuna haja ya magazeti na radio kuripoti chochote maana watasoma dunia nzima."Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hawajamkamata, wangehakikisha kwanza maji yanatoka ili wampe shtaka la uchochezi! Katumwa na Trump huyu!Mambo ya ajabu sana kwahiyo wakimshika ndio maji yatatoka au inakuaje, uhuru wa kutoa maoni uko wapi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii kitu ilikuwa viral sanayale-yale ya picha za expansion joint
Yana mwisho haya....
Polisi amepewa maelekezo,tena yawezekana na mkubwa wao,yeye(polisi) afanyaje?Serikali ya kidicteta uangalia mambo positive katika njia negative!
Huyu dogo katoa kama tahadhari ili kama mwanafunzi ana uwezo wa kuja na maji kutoka nje ya chun aje nayo yaweze kumsaidia iyo taarifa ukiiangalia upande huo utaona ni taarifa postive.
Elimu elimu elimu police wetu wamefeli shule siwezi kuwahukumu!
Unamtukanaje polisi?Nimesikia Polisi wamemkamata dogo aliepiga hii picha , ana kosa gani ? Hii nchi ya kifala sana tumekuja kugeuzwa wapuuzi wote. Polisi mna mambo mengi ya kufanya ya maana kuliko hili acheni UPUMBAVU
View attachment 1330799
Unajua ukimuita mwenzio beberu ina maana wewe ni jike....yaani yeye ni kidume! sasa kwa mfumo dume ulipo kwa saa ina maana wewe unapandwa!! CCM wanapandwa.....Watasema huyo mwanafunzi katumwa na mabeberu
Sio RAIATusubiri uchunguzi na taarifa ya jeshi la polisi huenda anahusika kutakatisha fedha na mengineyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Watasema huyo mwanafunzi katumwa na mabeberu
Shida ni viongozi kufanya kazi kwa kulamba miguu ya wenye mamlakaWanamuonea. Kwani ni uongo hiyo shida haipo ? Halafu UDOM walitoa gawio eti. Huku hata visima vya maji tu hawawezi chimba.
Duh mama katiri?Mama katiri Ndalichako anasubiriwa amnyongelee mbali kimasomo