Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

Kama
mkuta wa mtaa tu una agenda ya wanoantautkumkHakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na kalamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.

Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.

Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.

Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Yaani pinda ni genius sana amepiga hesabu ya kiaka ya jpm na samia ...... we jamaa mkutano tu wa jumuiya ndogo hata mwongeaji anaandaliwa sembuse ule
 
Hao wanapanga nani aongee nini na wakati gani wanaijua siasa kuliko unavyodhania unakuja na hoja dhaifu kweli mshatoka kwa Mama sasa mmehamia kwa JK na Mangula mkitoka hapo ni safari ya chato hiyo kwa fuso...
 
Kuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?

Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.

Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Hata makamu wa mwenye nyumba kafika hapo sababu ya Msoga clan, siasa za bara mama kazijua sababu ya Msoga clan. Inatosha tu kusema kwa sasa jamaa kawa ndio Godfather wa siasa zetu baada ya kuondoka Jiwe na Chinga. Hivi unadhani aliyetorosha twiga wetu angerudi tena CCM enzi za jiwe, mnajua nani kamrudisha? ni muda tu kachero mbobezi nae atarudi na hutamsikia kusema atachukua fomu ikifika 2025.
 
Kuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?

Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.

Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.

Hili nalo neno 😂😂😂😂😂
 
Hao wanapanga nani aongee nini na wakati gani wanaijua siasa kuliko unavyodhania unakuja na hoja dhaifu kweli mshatoka kwa Mama sasa mmehamia kwa JK na Mangula mkitoka hapo ni safari ya chato hiyo kwa fuso...
Acha hasira,hasira ni hasara
 
Hii sio sifa nzuri kwa kiongozi!! Utoto wa mjini wake ndio umewaumiza wakina Rugemalila na Kitilya wanaozea jela yeye anakula bata na pia enzi zake wauza madawa ya kulevya walilindwa sana wakati huo huo vijana na nguvu zao waliangamia kwa kuyatumia!! Utoto wa mjini wake akae nao Msoga asimuambukize Mama Samia.
Umenena vyema sana,rejea nchi ilivyokuwa kabla ya Magufuli kuingia Ikulu,huyu akimdraivu mama Samia tunarudi kulekule tulipotoka
 
Vasco Dagama hapendi kujionesha? Unamfahamu au unasimuliwa? Kutompa nafasi ya kumuombea kura wamemuumiza sana kwani hiyo platform lazima alikuwa anaiwania!
Ukweli mchungu,ameumia sana
 
Hana huo uthubutu Mangula wa kumpotezea kikwete.Mwenyewe Mangula bila Kikwete asingefika hapo alipo.

Bila Mangula Kikwete asingemaliza second term, Chama alikifikisha pabaya!! We jiulize kwanini walikwenda kumchukua Mangulla shambani kwake aje kuwa Makamu wao?
 
Nashukuru Mungu , ccm imerudi ya wapiga dili.

Hakika tutamkumbuka Dr Magufuli..

Ujengwe mnara pale Mzena Hospital kwa kumbukumbu za Mh Rais
 
Hayo yako Mkuu na niko mbali kabisa na maandishi yako utayaelezea mwenyewe mambo hatari sitaki shida
Messi ndiye aliyepanga nafasii ya Mwendakwao na kumhitimisha kwa kuona msimu unakuwa mrefu?
 
Nashukuru Mungu , ccm imerudi ya wapiga dili.

Hakika tutamkumbuka Dr Magufuli..

Ujengwe mnara pale Mzena Hospital kwa kumbukumbu za Mh Rais
Hakika tutamkumbuka Magu- the evil men do lives after them.
 
Ni mpumbavu Pekee anayeamini kuwa Jk ana uwezo wa kupotezewa na Mangula ndani ya CCM.
Sisi tunaomfahamu mzee kikwete tunaamini kwa Sasa hakuna mwana Siasa mashuhuri aliyesalia ndani ya nchi Kama JKM,yote yaliyotokea mpaka Samia kawa raisi yeye amehusika kwa kiasi kikubwa,hapendi kujionesha.

Utawala wa mama Samia is like the reborn of JKM's Regime!utaamini hili after few years to come.

Ni kweli kabisa Mkuu maana utawala wa JK ndiyo ulianza ujenzi hata wa Daraja la Busisi ambalo JPM alikuja kusimamisha na sasa Samia ameamua kuendeleza alipoishia JK. Hakika ni “reborn ya JKM’s Regime” [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom