Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

Hii katuni inasemaje vile!
IMG_20210430_144915.jpg
 
JK mitano tena yeye ndio mpiga zumari ...soon ataanza u vasco da gama kuomba misaada miradi yote pending upya
 
Ila kiukweli Mangula kakosea sana
Hapana, kapatia Sana big up kwake, kwa maneno ya kipuuzi puuzi yanayoendelea ya kumchafua jk ni vema kumnyima maiki mzee kikwete ili kupunguza maneno kidogo.
 
Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na kalamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.

Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.

Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.

Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Tulijua utaandika haya kwa hulka zako za uzushi na uzandiki
 
Wanafiki na wajinga wakubwa tu nyie wakati wa kikwete mambo yote yalienda sawa kila sekta pamoja na huo uchuuzi mna lalamika nao,

Sasa huyo limbukeni wenu aliye amini katika kuwachukia matajiri matokeo yake akakwama akaona bora pesa za watumishi na wakulima na wafanya biashara azinyang'anye na kapeleka kwenye miradi ya kutaka sifa halafu anajificha kwenye mgongo wa kuita watu wanyonge na akaona haitoshi akawa hataki hata kukaguliwa matumizi yake ya hovyo ya pesa za umma ,

hana maana na sera zake za kikoloni zilizo chagizwa na ushamba na tamaa ya madaraka, ashukuriwe mungu kwa kumpeleka kuzimu haraka kabla ya madhara kwa taifa na roho yake mbaya.

Nchi ikisha kuwa ya kibepari huwezi kujitenga na ubepari kamwe vinginevyo wananchi waishi kimaskini kama ilivyo kuwa kwa magufuli.
Wewe ni mpuuzi na Kikwete ni ****
 
Bado Mangula hajamsahau hajamsahau Mkwere. kwamba alimrudisha huyo mzee akalime machungwa kule chaugingi njombe,mpaka aliporudishwa kwa kazi maalumu kule Igunga,ndipo alipopandia.Vinginevyo alikuwa anakufa.

Na Ile sumu aliyolishwa hapa ya juzi juzi sijui ulikuwa ni mkono wa nani na kwa nini?
Kuhusu sumu muulize comrade Magoti nani alimtuma
 
Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na kalamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.

Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.

Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.

Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Ni bora imekuwa hivyo maana watu wana maneno maneno, ati Kikwete kampa urais Mama Samia.
 
Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na kalamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.

Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.

Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.

Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Sijui kwanini Jakaya anawatesa sana mataga... Na bado ndo kwanza kazi imeanza
 
Muhimu ni kwamba Samia kipenzi cha Jakaya Kachaguliwa kwa kishindo hayo mengine ni kelele tu za nguruwe kumzuia mchinjani.
Wewe mbona unapotosha??

Mh Rais yupo hapo Kwa takwa la kikatiba na sivyo unavyataka watu waamini,
 
Hivi Mangula nguvu za kuongea jana kule kikaoni kazitoa wapi. Ndo kusema kila mtu alikuwa anamwogopa mwendazake
 
Back
Top Bottom