Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na karamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.

Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.

Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.

Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Unakumbuka kikwete alimfanya nini mwaka 2005 Huyu mzee! Afadhali kalipiza kidogo
 
Kuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?

Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.

Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Kama kitu hujui, nyamaza
 
Ni mpumbavu Pekee anayeamini kuwa Jk ana uwezo wa kupotezewa na Mangula ndani ya CCM.
Sisi tunaomfahamu mzee kikwete tunaamini kwa Sasa hakuna mwana Siasa mashuhuri aliyesalia ndani ya nchi Kama JKM,yote yaliyotokea mpaka Samia kawa raisi yeye amehusika kwa kiasi kikubwa,hapendi kujionesha.

Utawala wa mama Samia is like the reborn of JKM's Regime!utaamini hili after few years to come.
Hii Upo sawa na nchi itazama kwa ufisadi, ila 2025 subiri muziki wake
 
Kikwete na Nyerere ndio wanasiasa pekee waliofanikiwa kujiweka madarakani kwa uwezo wao binafsi.
Najiuliza kule kupelekwa kusomea siasa nchini China kutoka Jeshini alipelekwa peke yake?
 
Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na karamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.

Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.

Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.

Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Hiyo ni tafsiri yako, na uwezekano mkubwa ni tafsiri potofu.

Matukio kama haya, mtu wa kuongea huwa anajulikana toka mapema.
 
Hapo sasa.
Ndiyo ujue watu walijifunza methali bila kujua maana yake ni nini?
Inasikitisha sana.

Wengine wanaweza kuona Kiranga kaandika "Mambo ya Ngoswe muachie Ngoswe mwenyewe" kwenye thread ya kumsimanga Irene Uwoya anavyolea mtoto wake wa kiume kuwa nyoronyoro (kitu ambacho nimefanya jana hapa, nimeiandika hiyo methali kwa muktadha huo), wanaiga hiyo methali kwenye thread ya CCM inavyoendesha nchi.

Muktadha tofauti, mustakabali tofauti.
 
Kuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?

Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.

Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Kwanini unatumia nguvu nyingi sana kumtetea?,wakati kiukweli kapaushwa?,haya si mahaba, ni ugonjwa huu
 
CCM ni chama tawala kinachokupangia maisha yako Mtanzania.

Usijidanganye kwamba mambo ya CCM hayakuhusu.
Sawa ila kwa hili la mleta mada mada hapo juu acha liwahusu wao wenyewe.
 
Sawa ila kwa hili la mleta mada mada hapo juu acha liwahusu wao wenyewe.
Hapa unaweza kulishwa matangopori yaliyojaa umbea kuliko facts vilevile.

Ukashangilia na kushabikia sinema za kupangwa, wakati watu walewale wanapiga miamala mirefu kwa sarakasi zilizotajwa na mshairi-mchekeshaji Juvenal wa Warumi wa kale.

juvenal.jpg
 
Back
Top Bottom