Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Wewe ni Kengemaji
[emoji23][emoji23]Kumbe wewe ni mgonjwa
Tulia wewe lazima huu upuuzi wenu tukemee kwa nguvu zoteMjinga ni wewe unayeabudu mlewa konyagi Dj mwenyekiti wa milele unayedhani ipo siku atakutoa kwenye lindi la umasikini ulionao
Kwaiyo ndio kashika remote controller?Ni busara kumwacha kando JK kwa yanayosemekana kuwa dereva wa Mama.
Wanafiki na wajinga wakubwa tu nyie wakati wa kikwete mambo yote yalienda sawa kila sekta pamoja na huo uchuuzi mna lalamika nao,Na ndivyo itakavyokua ,asipo. jitenga nae,nchi itageuka ya wachuuzi
Wewe jamaa una akili sana.....Eti ushindi wa 100%. Hata kura zenyewe hawajahangaika hata kuhesabu ndio maana walijichanganya idadi ya wapiga kura teh teh teh kwa Mwenyekiti jumla ya wapiga kura walikuwa 1862, kwa wajumbe wa NEC jumla ya wapiga kura 1839 toa 16 zilizoharibika kura halali zikawa 1823.Kuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?
Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.
Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Tulia we Mfipa.Mangula hajawahi kuniangusha.... Philip Mangula...
Haka kajamaa kamekaa kisanii sanaa
Watu Jf wanaongea ujinga mtupu, mzee huyohuyo alinusuriwa kifo na jk.Kuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?
Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.
Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Ilipangwa iwe hivyo...Kila mtu anaweza kutafsiri kitu kwa namna anavyoona yeye ni sahihi
Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na karamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.
Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.
Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.
Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Bado Mangula hajamsahau hajamsahau Mkwere. kwamba alimrudisha huyo mzee akalime machungwa kule chaugingi njombe,mpaka aliporudishwa kwa kazi maalumu kule Igunga,ndipo alipopandia.Vinginevyo alikuwa anakufa.Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na karamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.
Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.
Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.
Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Final JK kawekaHakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na karamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.
Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.
Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.
Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Sasa jamaa anatuelezea mambo yao ya kipuuzi wanaofanyiana kwenye vikao ili iweje?! Lichama limejaa fitna, uzandiki,chuki, majungu,uchawi nk. Ndio maana mpaka leo zaidi ya miaka 60 hamna kitu cha maana kilichofanyikaKila mtu aongelee nafsi yake, itapendeza zaidi.
Samia kawa raisi yeye amehusika kwa kiasi kikubwa,hapendi kujionesha.