Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyewapa sumu Mkapa,Mahiga,Kijazi na Magufuli ndo alimpa sumu MangulaBado Mangula hajamsahau hajamsahau Mkwere. kwamba alimrudisha huyo mzee akalime machungwa kule chaugingi njombe,mpaka aliporudishwa kwa kazi maalumu kule Igunga,ndipo alipopandia.Vinginevyo alikuwa anakufa.
Na Ile sumu aliyolishwa hapa ya juzi juzi sijui ulikuwa ni mkono wa nani na kwa nini?
KWANGU MIMI SALA YANGU KUU NI MAMA AIONDOE TANZANIA KUTOKA NCHI YA 8 YA MWISHO YA NCHI ZISIZO NA FURAHA DUNIANI KUJA KWENYE NCHI YA KWANZA YENYE FURAHA DUNIANI. MUNGU MSAIDIE.Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na kalamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.
Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.
Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.
Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Ni kwel,hata mama hakupata 100%Kuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?
Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.
Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Mkuu hilo genge ni la wahutu ila walijivika Usukuma ili wapate uungwaji mkono na wengi kwa vile Wasukuma ni kabila lenye idadi kubwa ya watu. Ni genge hatari sana likifadhiliwa na askofu Chidi. Walianza kitambo tu hizi mishe zao.Lakini tunawaonea tu wasukuma, watu wapole na wakarimu.
Nao wametumika vibaya na kiongozi ambaye nahisi wala si msukuma na hana tabia za kisukuma.
Hayo ni maono yako tu,huwajui ccm weweHakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
Hao wengine walifyekwa na Corona ila Mzee Mangula alilishwa sumu na aliyetutangazia ni Kamanda Mambosasa.Aliyewapa sumu Mkapa,Mahiga,Kijazi na Magufuli ndo alimpa sumu Mangula
Utawala wa mama Samia is like the reborn of JKM's Regime!utaamini hili after few years to come
Kama maneno yako yangekuwa kweli basi hivi leo matakwa ya Kikwete kuwa NCHIMBI awe makamu wa Rais yangetimia!!! Msidanganye watu kuwa CHONGOLO kuwa katibu mkuu wa ccm ni chaguo la Kikwete, sio kweli!
Kusema Nchimbi ni mtu wa Kikwete hizo ni porojo za Kigogo
Nchinbi alikuwa Team Lowassa na ndio ali cordinate Mapinduzi ya Uenyekiti ndani ya Chama siku ile alivyokatwa Lowassa, na Mpango huo ulipangwa na watu wa 3, mmoja sitomtaja kwa sababu maalum
1.Hayati Kingunge
2.Nchimbi
3...........
Lakin Ikachezeshwa picha kali la Mapesa ya Yusuph Manji mpango ukafia pale pale Ukumbi wa St Gasper
Nchimbi alikuwa viunga vya Dar. toka Brazil wakati huo anatafutwa makamu wa Rais; Kikwete alionekana kuwa na heka heka kubwa iliyozimwa!!
Rudia ili akuelewe au nimwambie jiulize nchimbi amelelewa na kikwete ila tulimfahamu waziwazi..Dr mpango hatukujua tulio wengi kua alilelewa na kikwete mwanzo mwisho kwamdomo wake Dr mpango alikili....kikwete kweli wa mjini..haaaahaaaNakukumbusha
Jakaya ndio Mtanzania pekee aliepania kuwa Rais akapigania kwa nguvu na Maarifa na akaupata
Wengine wote 'walipewa'
Halaf nakukumbusha Jk ndio Rais Pekee aliekuwa Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na pia ndio Rais pekee alietokea 'Kijitonyama' aliefuzu mbinu za medani nchini China 1984
Pia nakukumbusha ndio Rais pekee ambae ni Mtoto wa mjini kweli kweli
Na ule ujinga uliokithiri watu wanaingia na kutoka kama gesti vipi?Tumeshachoka na huu ujinga unaoitwa CCM.
Pia nakukumbusha ndio Rais pekee ambae ni Mtoto wa mjini kweli kweli
Mkuu, wewe umenena vyema kabisa. Kwani bila FURAHA maisha ni ya mateso tu.KWANGU MIMI SALA YANGU KUU NI MAMA AIONDOE TANZANIA KUTOKA NCHI YA 8 YA MWISHO YA NCHI ZISIZO NA FURAHA DUNIANI KUJA KWENYE NCHI YA KWANZA YENYE FURAHA DUNIANI. MUNGU MSAIDIE.
Kakaaaaaa!Kusema Nchimbi ni mtu wa Kikwete hizo ni porojo za Kigogo
Nchinbi alikuwa Team Lowassa na ndio ali cordinate Mapinduzi ya Uenyekiti ndani ya Chama siku ile alivyokatwa Lowassa, na Mpango huo ulipangwa na watu wa 3, mmoja sitomtaja kwa sababu maalum
1.Hayati Kingunge
2.Nchimbi
3...........
Lakin Ikachezeshwa picha kali la Mapesa ya Yusuph Manji mpango ukafia pale pale Ukumbi wa St Gasper