Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

Dodoma: Mzee Mangula ulichomfanyia Dkt. Kikwete, Mungu anakuona

JK alisha maliza kazi ya Kampeni "aliposema sitarajii kama CCM ita tenganisha kofis ya U Rais na M/Kiti CCM. Akikwepa lawama ki aina. Humjui msanii JK ww.
 
Bado Mangula hajamsahau hajamsahau Mkwere. kwamba alimrudisha huyo mzee akalime machungwa kule chaugingi njombe,mpaka aliporudishwa kwa kazi maalumu kule Igunga,ndipo alipopandia.Vinginevyo alikuwa anakufa.

Na Ile sumu aliyolishwa hapa ya juzi juzi sijui ulikuwa ni mkono wa nani na kwa nini?
Aliyewapa sumu Mkapa,Mahiga,Kijazi na Magufuli ndo alimpa sumu Mangula
 
Hakika huyu mzee wa Cardinal rules ni kiboko. Ameendesha kikao kibabe sana. Wakati Jakaya Kikwete akiwa na kalamu na karatasi akiandaa nondo za kutema kwenye mkutano huo akiamini atapewa nafasi, hakuipata.

Kilichotokea ni kuitwa Mizengo Pinda, tena bila ya Mangula kugeuka nyuma akisema kuna mtu hapa nyuma ana neno, akaita Mizengo. Baada ya Mizengo kumuombea kura Samia kilichofuata ni kuanza kupiga kura.

Naona aliona huyu ataanza kujitetea na maneno kibao huku akiomba maji ya kunywa kama ilivyokuwa kwenye mazishi ya Magufuli Chato.

Hakika siasa ni mchezo mtamu tena wenye timing nyingi sana. Leo mla timing (Jakaya) kaliwa timing kwelikweli.
KWANGU MIMI SALA YANGU KUU NI MAMA AIONDOE TANZANIA KUTOKA NCHI YA 8 YA MWISHO YA NCHI ZISIZO NA FURAHA DUNIANI KUJA KWENYE NCHI YA KWANZA YENYE FURAHA DUNIANI. MUNGU MSAIDIE.
 
Kuna watu akili hata hamna, hivi unadhani anayesimamia show yote ni nani? Wakina JK si ndio walimpeleka SA Mangula kutibiwa baada ya kupewa Sumu kwa msimamo wa kutaka haki itendeke kwa Membe?

Angalia teuzi za Mama na Hata hizi za Chama. Angalia hata walinzi wa Mama, kuna dada mpya hapo unajua alikuwa wapi kabla.

Unafikiri CCM wanakurupuka hapo hapo mkutanoni yani hawakupanga nani aongee? Hata Pinda mwenyewe aliyoongea amepewa aongee au unadhani kweli Mama kapata 100%.
Ni kwel,hata mama hakupata 100%
 
Lakini tunawaonea tu wasukuma, watu wapole na wakarimu.
Nao wametumika vibaya na kiongozi ambaye nahisi wala si msukuma na hana tabia za kisukuma.
Mkuu hilo genge ni la wahutu ila walijivika Usukuma ili wapate uungwaji mkono na wengi kwa vile Wasukuma ni kabila lenye idadi kubwa ya watu. Ni genge hatari sana likifadhiliwa na askofu Chidi. Walianza kitambo tu hizi mishe zao.
FB_IMG_1618549208269.jpg
 
Utawala wa mama Samia is like the reborn of JKM's Regime!utaamini hili after few years to come

Kama maneno yako yangekuwa kweli basi hivi leo matakwa ya Kikwete kuwa NCHIMBI awe makamu wa Rais yangetimia!!! Msidanganye watu kuwa CHONGOLO kuwa katibu mkuu wa ccm ni chaguo la Kikwete, sio kweli!
 
Kusema Nchimbi ni mtu wa Kikwete hizo ni porojo za Kigogo

Nchinbi alikuwa Team Lowassa na ndio ali cordinate Mapinduzi ya Uenyekiti ndani ya Chama siku ile alivyokatwa Lowassa, na Mpango huo ulipangwa na watu wa 3, mmoja sitomtaja kwa sababu maalum

1.Hayati Kingunge
2.Nchimbi
3...........

Lakin Ikachezeshwa picha kali la Mapesa ya Yusuph Manji mpango ukafia pale pale Ukumbi wa St Gasper
Kama maneno yako yangekuwa kweli basi hivi leo matakwa ya Kikwete kuwa NCHIMBI awe makamu wa Rais yangetimia!!! Msidanganye watu kuwa CHONGOLO kuwa katibu mkuu wa ccm ni chaguo la Kikwete, sio kweli!
 
CCM inatakiwa kufutika kabisa hapa Tanzania, tofauti na hapo tutaendelea kusoteshwa na remote za Msoga.
 
Kusema Nchimbi ni mtu wa Kikwete hizo ni porojo za Kigogo

Nchinbi alikuwa Team Lowassa na ndio ali cordinate Mapinduzi ya Uenyekiti ndani ya Chama siku ile alivyokatwa Lowassa, na Mpango huo ulipangwa na watu wa 3, mmoja sitomtaja kwa sababu maalum

1.Hayati Kingunge
2.Nchimbi
3...........

Lakin Ikachezeshwa picha kali la Mapesa ya Yusuph Manji mpango ukafia pale pale Ukumbi wa St Gasper

Nchimbi alikuwa viunga vya Dar. toka Brazil wakati huo anatafutwa makamu wa Rais; Kikwete alionekana kuwa na heka heka kubwa iliyozimwa!!

Ilikuwaje Nchimbi a cordinate Mapinduzi ya Uenyekiti Ndani ya chama halafu mtu wake Lowassa akatwe? Taja tu huyo wa tatu hizi ni zama mpya hakuna kudukuana!!
 
Wewe mleta mada ndo huna akili umeleta bila kuangalia kwann ifanyike vile,mangula nikikwete,kikwete ni pinda..umekwepeshwa mtego uliokua unataman uone....polesana ndomana hata makamo alikua alilelewa na nakikwete....kwakua unajua kutumia JF basi unafanya utakalo....mama amesema tuehuru natujaribu kumlisha mambo yakujenga huzuiwi kuandika wazo lako ila nawewe uliangalie kwanza
 
Nakukumbusha

Jakaya ndio Mtanzania pekee aliepania kuwa Rais akapigania kwa nguvu na Maarifa na akaupata

Wengine wote 'walipewa'

Halaf nakukumbusha Jk ndio Rais Pekee aliekuwa Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na pia ndio Rais pekee alietokea 'Kijitonyama' aliefuzu mbinu za medani nchini China 1984

Pia nakukumbusha ndio Rais pekee ambae ni Mtoto wa mjini kweli kweli

Nchimbi alikuwa viunga vya Dar. toka Brazil wakati huo anatafutwa makamu wa Rais; Kikwete alionekana kuwa na heka heka kubwa iliyozimwa!!
 
Nakukumbusha

Jakaya ndio Mtanzania pekee aliepania kuwa Rais akapigania kwa nguvu na Maarifa na akaupata

Wengine wote 'walipewa'

Halaf nakukumbusha Jk ndio Rais Pekee aliekuwa Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na pia ndio Rais pekee alietokea 'Kijitonyama' aliefuzu mbinu za medani nchini China 1984

Pia nakukumbusha ndio Rais pekee ambae ni Mtoto wa mjini kweli kweli
Rudia ili akuelewe au nimwambie jiulize nchimbi amelelewa na kikwete ila tulimfahamu waziwazi..Dr mpango hatukujua tulio wengi kua alilelewa na kikwete mwanzo mwisho kwamdomo wake Dr mpango alikili....kikwete kweli wa mjini..haaaahaaa
 
Pia nakukumbusha ndio Rais pekee ambae ni Mtoto wa mjini kweli kweli

Hii sio sifa nzuri kwa kiongozi!! Utoto wa mjini wake ndio umewaumiza wakina Rugemalila na Kitilya wanaozea jela yeye anakula bata na pia enzi zake wauza madawa ya kulevya walilindwa sana wakati huo huo vijana na nguvu zao waliangamia kwa kuyatumia!! Utoto wa mjini wake akae nao Msoga asimuambukize Mama Samia.
 
KWANGU MIMI SALA YANGU KUU NI MAMA AIONDOE TANZANIA KUTOKA NCHI YA 8 YA MWISHO YA NCHI ZISIZO NA FURAHA DUNIANI KUJA KWENYE NCHI YA KWANZA YENYE FURAHA DUNIANI. MUNGU MSAIDIE.
Mkuu, wewe umenena vyema kabisa. Kwani bila FURAHA maisha ni ya mateso tu.
 
Kusema Nchimbi ni mtu wa Kikwete hizo ni porojo za Kigogo

Nchinbi alikuwa Team Lowassa na ndio ali cordinate Mapinduzi ya Uenyekiti ndani ya Chama siku ile alivyokatwa Lowassa, na Mpango huo ulipangwa na watu wa 3, mmoja sitomtaja kwa sababu maalum

1.Hayati Kingunge
2.Nchimbi
3...........

Lakin Ikachezeshwa picha kali la Mapesa ya Yusuph Manji mpango ukafia pale pale Ukumbi wa St Gasper
Kakaaaaaa!
Sio wewe ulituambia humu kuwa mtu pekee kiuhalisia aliyekuwa kwenye team EL ni Bashe pekee?wengine walikuwa zuga tu na walikuwa team JK?
Uwe na kumbukumbu hata kama wewe ni Mkwere mwenyewe
 
Back
Top Bottom