Watuwekee picha za tukio lao na sisi kina USSR tuweke zetu ili tujue mbivu na mbovu
USSR mbona unawaandama tena kwa hasira ndugu zako,ni baada ya fungu la pambio kufutwa au😂
 
Duh, yaani gari limeharibika vibaya hivyo sbb ya kukwepa boda eti na kugonga ukingo? Kweli? 🕵🕵🤔🤔🤔🤔🤔😏😏 Mmmhhh..!! ubongo, moyo, roho na macho yangu, vyote vimekataa, basi sawa..!!
 
Wewe ndiye mume wewe huyo mwanamke mnayesema amefariki ama mna undugu naye?

Kama ndio tuambue msiba uko wapi!
 
Hujawahi kumiliki gari. Ukimiliki utagundua kuwa yale ni makaratasi tu
Duh, yaani gari limeharibika vibaya hivyo sbb ya kukwepa boda eti na kugonga ukingo? Kweli? 🕵🕵🤔🤔🤔🤔🤔😏😏 Mmmhhh..!! ubongo, moyo, roho na macho yangu, vyote vimekataa, basi sawa..!!
 
Na huyo mwanamke aliyekua nae ambapo inasemekana kafariki, vipi mbna hawatoi taarifa kumuhusu??
 
"Wenzie" wameshamsafisha!
Subiri wanaandaa singeli nyingine: "aliyepata ajali sio yeye ni mtu anaefanana nae" chezea ccm weye!
 
wapumbavu na wajinga sana wengi wao!!!!! pia hawana hofu kabisa PM mwenyewe ndiyo hivyo tena , ulimbukeni na ushamba unachangia pia
Tumewaachia Wanasiasa watuongoze, kila jambo wanatanguliza Siasa na kujuana.

Angalia trend za viongozi wetu unakuta majina ni yale yale yanajirudia tu.
 
Ndiyo maana Siri nyingi za Nchi zinakuwa wazi kwa kwa kuwategea Viongozi Wanawake pamoja na huko kwenye Masanga yao 🙌
 
Kakatwa au kavunjika kidole mbona kuna mkanganyiko tena

mtoa mada unaandika kwa haraka unawahiw wap?
 
Hakuna taarifa yoyote watakayoitoa watu wakaamini nchi hii wanasiasa wanaamua kila kitu hata wataalam wanashindwa kusimamia taaluma zao bali kutekeleza matakwa ya wanasiasa kitu ambacho kinawashushia heshima.
 
Pole sana Naibu Waziri, hongera sana kwa Jeshi la Polisi kwa kumsafisha Dkt. Dugange
 

Kwani hata yule mwamba SI tuliambiwa alikuwa busy ofisini akichapa kazi kweli kweli? Huu ulokole wa kusema kweli kumbe wameupata kuanzia lini?
 
Ehh.. povu lote lile kweli!?? 🤣🤣😔😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…