Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Kule Twitter wanasema Ni mke wa MTU na wanaishi maeneo ya UDOM. inaweza kua Ni mwanafunzi wa chuo pia.
Alikua anamrudisha UDOM baada ya kumchakata. Inasemekana waziri alikua tilalila.
Basi ndio maana alikimbia ukute mume wa huyo dada na mkewe walijipanga mweshimiwa akaogopa marinda yake [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Amerika na ulaya kashfa za kimapenzi zinaweza kukuondolea sifa ya kuwa kiongozi wa umma. Kule hakuna utetezi wa hayo ni mambo binafsi ya faragha. Tena wanaweza kufuatilia nyendo zako za kimapenzi hata kabla hujawa kiongozi uliishije na mahusiano hayo. Huku kwetu jitu lina michepuko isiyohesabika na watoto lukuku likigombea uongozi linapata na linaendelea na tabia yake ya kuchepuka
This is Tanzania. Tena usipoangalia 2030 anaweza akachaguliwa kua waziri mkuu. Huku kwetu mwanasiasa kuchepuka Ni Kama wewe kujifuta baada ya kuoga.
Festo umetisha, ya mkeo unawaachia kina nani wakati wewe unahangaika na Malaya??
 
Ila kati ya wanaume waoga duniani Mh. Naibu Waziri naye ni mmoja wao; anaweza kushika rekodi ya juu sana. Ya nini umkimbie mtu tena mkeo kwa style ya kuhatarisha maisha namna hii, utafikiri amekuwa RADI?
Timbwili la mke wake analijua, sio ajabu mke ndio alilipa mahari ndio maana anamuogopa.
Sidhani Kama mkurya aliyetoa ng'ombe arobaini Kama mahari anaweza kumuogopa mke wake kindezi ndezi bila kujali maisha yake.
 
Amerika na ulaya kashfa za kimapenzi zinaweza kukuondolea sifa ya kuwa kiongozi wa umma. Kule hakuna utetezi wa hayo ni mambo binafsi ya faragha. Tena wanaweza kufuatilia nyendo zako za kimapenzi hata kabla hujawa kiongozi uliishije na mahusiano hayo. Huku kwetu jitu lina michepuko isiyohesabika na watoto lukuku likigombea uongozi linapata na linaendelea na tabia yake ya kuchepuka
Nawaza jinsi anakula kiapo mbele ya Mh.Rais alivyokuwa mnyenyekevu,saa hizi kasha haribu,bora Mungu alivyoamua moyo kuuweka ndani,maana wengine Ikulu wangekuwa wanaishia getini..
 
Wanaume tuacheni unafiki wa kumlaumu Naibu Waziri kwa kuchepuka. Wengi wetu tunayo michepuko tena siyo mmoja wengine ni jopo la.michepuko. Hiyo ni ajali kazini tu,mimi namlaumu kwa woga kumuogopa mkewe hadi kusababisha kifo.

issue kutumia mali ya umma kwenye ujinga.
issue kuchepuka kindezi kwa level yake ya Uwaziri, mpaka anakimbiakimbia hovyo mabarabarani hii ni tafsiri inaonyesha hana muda wa kutafakari ya nchi na mwajiri wake ( wananchi)..

Ni aibu kwa kiongozi kufanya aina hii ya uzinzi aka uchepukaji.

Kuna hotels nyingi pale Dom from 3 stars, kuna ubber,taxi, bodaboda nk kuna simu nk.... Kwa alichofanya inaonyesha hata uwezo wa kufikiri kwenye kazi yake ni mdogo mno..
 
Wanaume tuacheni unafiki wa kumlaumu Naibu Waziri kwa kuchepuka. Wengi wetu tunayo michepuko tena siyo mmoja wengine ni jopo la.michepuko. Hiyo ni ajali kazini tu,mimi namlaumu kwa woga kumuogopa mkewe hadi kusababisha kifo.
Hapo ndipo kazingua big time unamkimbiaje mke, halafu mkewe naye mbona anafanya fumanizi kizaman sana siku hizi mambo yapo digital zaidi angemfumnia vizuri kabisa na ushahidi juu. Haya mambo ya kufukuzana ka wanyama ya kizamani sana. Matokeo yake ndiyo haya if jamaa kavuta anabaki mjane na aibu juu na hasira juu za kutoka kwa wakwe zake na wazaz wake pia if wana watoto ndo washakuwa yatima kizembezembe. Ndo maana kwenye biblia Yusuf baada ya kumuona mariam ana ujazito akaamua kumuacha kisailensa.
 
issue kutumia mali ya umma kwenye ujinga.
issue kuchepuka kindezi kwa level yake ya Uwaziri, mpaka anakimbiakimbia hovyo mabarabarani hii ni tafsiri inaonyesha hana muda wa kutafakari ya nchi na mwajiri wake ( wananchi)..

Ni aibu kwa kiongozi kufanya aina hii ya uzinzi aka uchepukaji.

Kuna hotels nyingi pale Dom from 3 stars, kuna ubber,taxi, bodaboda nk kuna simu nk.... Kwa alichofanya inaonyesha hata uwezo wa kufikiri kwenye kazi yake ni mdogo mno..
Ndio mawaziri wenyewe hao.
Halafu unategemea katibu tarafa awe na maadili mema.
 
Basi ndio maana alikimbia ukute mume wa huyo dada na mkewe walijipanga mweshimiwa akaogopa marinda yake [emoji2][emoji2][emoji2]
duh! Kama huyo mwanamke ni mke wa mtu mbona ni sheshe juu ya sheshe? Wote wamesaliti wenza wao. Mume wa huyo mwanamke atasemaje ukweni? Tushike adabu na wake za watu. Na wanawake nao washike adabu na waume za watu
 
Hao malaya wanaoenda dodoma kuwinda wabunge wakware ni wazuri, wamekamilika kila idara na ni wasomi, wengine wanajua mpaka kifaransa. Huwezi kuwalinganisha na machangudoa wa mitaani ambao hata kwa buku wanachukua. Wale wanaoenda dodoma ni super scale na ni high class v.i.p affordable
 
Hao malaya wanaoenda dodoma kuwinda wabunge wakware ni wazuri, wamekamilika kila idara na ni wasomi, wengine wanajua mpaka kifaransa. Huwezi kuwalinganisha na machangudoa wa mitaani ambao hata kwa buku wanachukua. Wale wanaoenda dodoma ni super scale na ni high class v.i.p affordable
Dhambi ni ile ile na kuathirika ni kule kule, uwe umefanyia kwenye hotel nyota 5 au vichakani!
 
Back
Top Bottom