Dodoma: Nicodamus Maganga (Mbunge) adai Mishahara na Posho haiwatoshi Wabunge. Ashangiliwa...

Dodoma: Nicodamus Maganga (Mbunge) adai Mishahara na Posho haiwatoshi Wabunge. Ashangiliwa...

Tz bhana, eti mtu kama huyu ndiye anatarajiwa ku discuss juu ya maendeleo ya Taifa ikiwemo matumizi ya new technology na Tz kuja kurusha chombo chake mwezini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ccm oyeeee oyeeeeeeeee......
 
Halafu anataka arudi jimboni na mapesa ili akawaringishie wananchi wa jimbo lake au? Ndicho wananchi walichomtuma? Shubamiti zake.
 
"Kuna manung'uniko maslahi ya Wabunge ni kidogo, wakati sijaingia humu nilikuwa nafikiria kuna posho za kutosha, nimeangalia Mabunge mengine wanalipa kwa dola, tusiwaogope Wananchi kwenye Ubunge hakuna kitu tunatukanwa tu mitandaoni”—-Mbunge wa Mbogwe, Maganga

====

Dodoma. Mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodamus Maganga amewataka wabunge kuwaeleza wananchi ukweli kuwa mishahara na posho wanazolipwa hazitoshi.

Maganga aliyasema hayo jana Jumatatu Juni 21, 2021 bungeni mjini Dodoma wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22.

“Nikiwa bado sijaingia humu nilikuwa nafikiria kuna posho za kutosha. Nimeangalia mabunge mengine Afrika ya Kusini pamoja na Kenya pamoja na mabunge mengine wanalipa kwa dola,” amesema huku akipigiwa makofi na wabunge wengine.

Amewataka wabunge kueleza ukweli wananchi kuhusu malipo yao, “tumekuwa tukitukanwa kwenye mitandao. Waziri na mimi hii kazi niliiomba kwa roho yangu moja na mimi nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko. Pesa inayolipwa posho, mishahara haitoshi,” amesema.

Huku akiitaka Serikali kuwaangalia ili wafanane na mabunge mengine amesema, “tusiwe wajanjawajanja, ninaujua utapeli wa kila aina lakini sitaki niwe tapeli wananchi wajue wana mbunge mwenye hela huku hakuna kitu kinachoendelea.”

Amesema Bunge la bajeti limebakiza siku tisa kumalizika na wananchi wanapoona wabunge wamerejea majimboni wasidhani kuwa wana fedha akisisitiza, “bungeni hakuna kitu.”

Chanzo: Mwananchi
View attachment 1826321

HUYU ANATAKA AONGEZEWE MSHAHARA , UNAMSHAURI NINI ?
Aache Ubunge akajiajiri... Kench taip
 
mjinga sana h
"Kuna manung'uniko maslahi ya Wabunge ni kidogo, wakati sijaingia humu nilikuwa nafikiria kuna posho za kutosha, nimeangalia Mabunge mengine wanalipa kwa dola, tusiwaogope Wananchi kwenye Ubunge hakuna kitu tunatukanwa tu mitandaoni”—-Mbunge wa Mbogwe, Maganga

====

Dodoma. Mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodamus Maganga amewataka wabunge kuwaeleza wananchi ukweli kuwa mishahara na posho wanazolipwa hazitoshi.

Maganga aliyasema hayo jana Jumatatu Juni 21, 2021 bungeni mjini Dodoma wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22.

“Nikiwa bado sijaingia humu nilikuwa nafikiria kuna posho za kutosha. Nimeangalia mabunge mengine Afrika ya Kusini pamoja na Kenya pamoja na mabunge mengine wanalipa kwa dola,” amesema huku akipigiwa makofi na wabunge wengine.

Amewataka wabunge kueleza ukweli wananchi kuhusu malipo yao, “tumekuwa tukitukanwa kwenye mitandao. Waziri na mimi hii kazi niliiomba kwa roho yangu moja na mimi nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko. Pesa inayolipwa posho, mishahara haitoshi,” amesema.

Huku akiitaka Serikali kuwaangalia ili wafanane na mabunge mengine amesema, “tusiwe wajanjawajanja, ninaujua utapeli wa kila aina lakini sitaki niwe tapeli wananchi wajue wana mbunge mwenye hela huku hakuna kitu kinachoendelea.”

Amesema Bunge la bajeti limebakiza siku tisa kumalizika na wananchi wanapoona wabunge wamerejea majimboni wasidhani kuwa wana fedha akisisitiza, “bungeni hakuna kitu.”

Chanzo: Mwananchi
View attachment 1826321

HUYU ANATAKA AONGEZEWE MSHAHARA , UNAMSHAURI NINI ?
uyo
"Kuna manung'uniko maslahi ya Wabunge ni kidogo, wakati sijaingia humu nilikuwa nafikiria kuna posho za kutosha, nimeangalia Mabunge mengine wanalipa kwa dola, tusiwaogope Wananchi kwenye Ubunge hakuna kitu tunatukanwa tu mitandaoni”—-Mbunge wa Mbogwe, Maganga

====

Dodoma. Mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodamus Maganga amewataka wabunge kuwaeleza wananchi ukweli kuwa mishahara na posho wanazolipwa hazitoshi.

Maganga aliyasema hayo jana Jumatatu Juni 21, 2021 bungeni mjini Dodoma wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22.

“Nikiwa bado sijaingia humu nilikuwa nafikiria kuna posho za kutosha. Nimeangalia mabunge mengine Afrika ya Kusini pamoja na Kenya pamoja na mabunge mengine wanalipa kwa dola,” amesema huku akipigiwa makofi na wabunge wengine.

Amewataka wabunge kueleza ukweli wananchi kuhusu malipo yao, “tumekuwa tukitukanwa kwenye mitandao. Waziri na mimi hii kazi niliiomba kwa roho yangu moja na mimi nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko. Pesa inayolipwa posho, mishahara haitoshi,” amesema.

Huku akiitaka Serikali kuwaangalia ili wafanane na mabunge mengine amesema, “tusiwe wajanjawajanja, ninaujua utapeli wa kila aina lakini sitaki niwe tapeli wananchi wajue wana mbunge mwenye hela huku hakuna kitu kinachoendelea.”

Amesema Bunge la bajeti limebakiza siku tisa kumalizika na wananchi wanapoona wabunge wamerejea majimboni wasidhani kuwa wana fedha akisisitiza, “bungeni hakuna kitu.”

Chanzo: Mwananchi
View attachment 1826321

HUYU ANATAKA AONGEZEWE MSHAHARA , UNAMSHAURI NINI ?
mjinga sana huyo mbunge mbona hawatetei watumishi wa umma ambao wanaishi kwa shida na mishahara yao hata haiwafikishi mwisho wa mwezi.halafu yeye na wenzake wanataka iongezeke tena ilipwe kwa dola.afrika kusini,kenya je uchumi wao uko sawa na wa tanzania.hao ndiyo wabunge wanafiki ambao wananchi tunapaswa kuwa nao makini.wao waongezewa wengine kodi ya PAYE juu halafu wao hamna kodi wanayokatwa je huo siyo usaliti kwa wananchi?anasema wanaowashambulia ni wa mitandaoni tu lkn si wananchi,je kuna utafiti gani alioufanya kuwa wananchi wanariddhia jambo hilo.wacha nao wasage benki ili akili ziwasogee.
 
Niliwahi kushauri Ubunge usiwe na mshahara, iwe kama kazi ya kujitolea na wawezeshwe wanapokua kikaoni kwa posho kidogo, humo tutapata Wabunge tunaowataka na watakaotutumikia sio hawa walionunua nafasi na sasa wanaona m. 12 ni kidogo kwakua wanadaiwa. Yaani mshahara na posho za Ubunge ambazo ni zaidi ya 10m ni ndogo anajilinganusha na mtumishi gani wa umma? Daltari, Nesi au Mwalimu?

Halafu kibaya zaidi wengine ni 7 ya msukuma
 
Niliwahi kushauri Ubunge usiwe na mshahara, iwe kama kazi ya kujitolea na wawezeshwe wanapokua kikaoni kwa posho kidogo, humo tutapata Wabunge tunaowataka na watakaotutumikia sio hawa walionunua nafasi na sasa wanaona m. 12 ni kidogo kwakua wanadaiwa. Yaani mshahara na posho za Ubunge ambazo ni zaidi ya 10m ni ndogo anajilinganusha na mtumishi gani wa umma? Daltari, Nesi au Mwalimu?
Ni kweli kabisa. Nafasi za ukuu wa Mkoa na wilaya zingefutwa na ubunge ukawa wa kujitolea tu kama udiwani upumbavu kama huu tusingeusikia. Alaaniwe dhalim kwa kutuharibia mfumo wa utawala katika nchi yetu
 
Kama ela haitoshi abeti ataongeza kipato ila ajue sisi wengine hata tuishi miaka 200 hatutarajii kuingiza kipato anachokipata kwa mwaka mmoja tu
SmartSelect_20210622-151859_YouTube.jpg
 
"Kuna manung'uniko maslahi ya Wabunge ni kidogo, wakati sijaingia humu nilikuwa nafikiria kuna posho za kutosha, nimeangalia Mabunge mengine wanalipa kwa dola, tusiwaogope Wananchi kwenye Ubunge hakuna kitu tunatukanwa tu mitandaoni”—-Mbunge wa Mbogwe, Maganga

====

Dodoma. Mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodamus Maganga amewataka wabunge kuwaeleza wananchi ukweli kuwa mishahara na posho wanazolipwa hazitoshi.

Maganga aliyasema hayo jana Jumatatu Juni 21, 2021 bungeni mjini Dodoma wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22.

“Nikiwa bado sijaingia humu nilikuwa nafikiria kuna posho za kutosha. Nimeangalia mabunge mengine Afrika ya Kusini pamoja na Kenya pamoja na mabunge mengine wanalipa kwa dola,” amesema huku akipigiwa makofi na wabunge wengine.

Amewataka wabunge kueleza ukweli wananchi kuhusu malipo yao, “tumekuwa tukitukanwa kwenye mitandao. Waziri na mimi hii kazi niliiomba kwa roho yangu moja na mimi nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko. Pesa inayolipwa posho, mishahara haitoshi,” amesema.

Huku akiitaka Serikali kuwaangalia ili wafanane na mabunge mengine amesema, “tusiwe wajanjawajanja, ninaujua utapeli wa kila aina lakini sitaki niwe tapeli wananchi wajue wana mbunge mwenye hela huku hakuna kitu kinachoendelea.”

Amesema Bunge la bajeti limebakiza siku tisa kumalizika na wananchi wanapoona wabunge wamerejea majimboni wasidhani kuwa wana fedha akisisitiza, “bungeni hakuna kitu.”

Chanzo: Mwananchi
View attachment 1826321

HUYU ANATAKA AONGEZEWE MSHAHARA , UNAMSHAURI NINI ?
Atakuwa mutheing huyu
 
Watu wanalipwa laki sita na kodi wanalipa yy anachukua mshahara huo hata kodi halipi halafu analeta Maneno ya ajabu kabisa nashauri apimwe akili
 
Ni ombi lilioshangiliwa sana bungeni baada ya kutolewa na Mbunge wa Mbogwe akiwa amevaa suti ya ki-kongo, alisema mengi na nimeona mambo kadhaa:

1. Alishangiliwa na Bunge zima
2. Naibu spika naye aka-smile kwa wema wa mbunge
3. Mifano ya kuigwa ni nchi za Kenya na Afrika ya kusini
4. Anaomba walipwe kwa dola
5. Anaomba wabunge wasiwaogope wananchi

Wana JF hili linahitaji mjadala. Mbunge asiyewaogopa wananchi anawezaje kulisaidia taifa? Mifano ya malipo ya wabunge bila kutoa mifano ya malipo ya waalimu, madaktari, n.k anawasaidia nini wa-TZ? Binafsi nahisi ni ombi la makusudi, la kutengeza ndani ya Bunge na kumsukumia mmoja wao mwenye akili za hivyo, aseme.

Hofu yangu ni udhaifu wa rais wetu ambaye katika kutafuta support ya chama aonekane ni mwema kwa wenzake wa CCM, tutajikuta wameongezwa kimya kimya.
 
Siyo makosa yake! Alipewa ubunge bure anastahili kudai posho ziongezwe.
Hajui gharama za kupata ubunge kwenye sanduku la kura.
 
Back
Top Bottom