Dodoma: Nicodamus Maganga (Mbunge) adai Mishahara na Posho haiwatoshi Wabunge. Ashangiliwa...

 
Wananchi wampumzishe aende ziliko posho
 
Wasitukorofishe,wameshindwa kwa muda mrefu kuwasaidia wenye njaa,wakati wao hawakuwahi kupatwa na njaa.Tena kuwakumbusha tu wapo walionyiwa haki za msingi,miaka 6,kuelekea saba,wengi wao kwanza wasitake tuwakumbushe wamefikaje hapo na kuona Wana haki ya kujiombea maslahi bora,wakati wapo wengi wasiojua maslahi japo ya kawaida ni yapi,licha ya liyokuwa bora.
 
Kwa kilichofanyika kwa kilichoitwa chaguzi,wanajiwakilisha wao.
 
Tusiwaogope Wananchi kasema! alafu anasema siku zimebaki chache arejee jimboni wananchi wanajua anahela hivyo anawaogopa... Bunge lifanane kimasilahi kama la South Africa aisee... hivi uchumi pia aseme ufanane pia basi
 
Wabunge hela zote hizo bado tu hawatosheki? Mbunge anayeona fedha ndogo aache ubunge, kwani huo ni ufisadi
 
Watu wanapigania masilahi yao nyie mnawaona wabaya sasa sijui mlitaka wasipiganie masilahi yao.
 

Kweli wanalipwa kidogo sana:-

Mashahara - 12m
Posho - laki 3 kwa siku
Posho Kamati - Laki 5
Mkopo - Mil 600
Lobbying - 3m mpaka 10m
Kiinua Mgongo - 250m
Kifuta Jasho cha gari - 90m
Fedha ya Jimbo - 250m

Napendekeza waongezewe mshahara wawe wanalipwa 100m kwa mwezi na Posho kila kikao 2m.
 
Wabunge waanze kuchangiwa posho kutoka majimboni kwao, ili wapunguze kujikombakomba kwa serikali kuhusu malipo....matokeo yake wamegeuzwa kuwa rubber stamp ya serikali kwa kuendekeza njaa...
 
Sasa huyu mbona anakosa akili na maarifa basi alinganishe Tanzania na Afrika Kusini kiuchumi, kama mishahara haitoshi si aache ubunge? kama analinganisha mishahara basi hata walimu,waganga na waajiriwa wengine walinganishiwe mishahara yao na Afrika Kusini na si wabunge peke yao, hapo ndipo nitazidi kumkumbuka mwendazake kwa kuwapuuza waleta upuzi bungeni.
 
Sawa tu kwani kuna tatizo. Maana nchi ni yao wengine sisi ni wahamiaji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…