Dodoma: Spika Ndugai awapa mbinu CHADEMA ili awafukuze akina Halima Mdee

Dodoma: Spika Ndugai awapa mbinu CHADEMA ili awafukuze akina Halima Mdee

CHADEMA mambo mengi huwa mnakurupuka na mara zote hii huwa inawacost. tumieni brain zenu vizuri, badala ya kutumia hisia na munkari.
 
Ya Sofia Simba ilikuja na muhtasari wa kikao na katiba ya chama? Tangu lini barua ya taarifa inaambatishwa na Katiba?
CDM waachane na wakina Halima. Ni kupotezeana wakati tu.

Amandla...
kwahiyo kwamfano tuseme haikuambatanishwa hiyo ya sofia (pamoja na kwamba sidhani), na akawa alifanya makosa kwa sofia kwenda haraka, unafikiri hiyo ni sababu tosha ya kufanya makosa tena? ukifanya makosa mara ya kwanza unatakiwa kufanya makosa tena mara ya pili?
 
Hii ni dalili ya ile safari inayoogopwa na watu wote - safari ambayo ni futi 6 chini udongoni.

Yule mshikaji wake siku chache kabla hajarudisha namba naye alikuwa akiweweseka hivi hivi!
Kabla ajarenew!!hahahaahhahhaha
 
Ni dhahiri sasa Tz ina utajiri wa mambo mengi na huyu spika ni miongoni mwa 'utajiri' wetu na huenda anapatikana kwetu tu duniani kote!
ni kweli ni kivutio tosha...watanzanyia tuitumie hii fursa kuwa ya kitalii, watu waje kuona maajabu haya yanayopatikana Tanzania tu.
 
My conviction ni kuwa mama Samia ataliingilia hili. Akiliacha litamwekea doa kubwa. Làbda kwa vile Tanzania ni kichwa Cha mwenda wazimu anaweza akapotezea waswahili wanasema
Hana mamlaka ya kuingilia. Subirini apatikane spika mwingine kama mnavyomwombea wa sasa aende
 
KWani taratibu za wabunge wa viti maalumu hadi kufikia hatua ya kuapishwa IKOJE!? Ilifuatwa???? Angejibu hilo bwana spika angeonekana kweli anawapenda wanawake, otherwise tuendelee tu kutokuheshimu hata kanuni zetu wenyewe.
Nakubaliana na wewe. Hapa suala la msingi si wao kufukuzwa uanachama. Ni je taratibu zilifuatwa za uteuzi wao? CDM wanasema hawakupeleka majina. NEC walisema hawakupokea majina. Spika ndie anayepaswa kuweka hadharani barua ya uteuzi kutoka CDM, fomu husika na minutes za kikao kilichowateua.

Zaidi ya hapo ni kupotezeana wakati.

Amandla...
 
Nakubaliana na wewe. Hapa suala la msingi si wao kufukuzwa uanachama. Ni je taratibu zilifuatwa za uteuzi wao? CDM wanasema hawakupeleka majina. NEC walisema hawakupokea majina. Spika ndie anayepaswa kuweka hadharani barua ya uteuzi kutoka CDM, fomu husika na minutes za kikao kilichowateua.

Zaidi ya hapo ni kupotezeana wakati.

Amandla...
Wanatuonaga wananchi kama mabwege fulani hivi, yaani hadi WAGOGO nao wanatudharau, khaa!
 
kwahiyo kwamfano tuseme haikuambatanishwa hiyo ya sofia (pamoja na kwamba sidhani), na akawa alifanya makosa kwa sofia kwenda haraka, unafikiri hiyo ni sababu tosha ya kufanya makosa tena? ukifanya makosa mara ya kwanza unatakiwa kufanya makosa tena mara ya pili?
Kuna kitu kinaitwa precedence. Kama kila wakati ulikuwa unafanyia kazi barua bila kudai viambatisho hivyo, ukija vidai kwa mtu mwingine ni dhahiri utaonekana una lake jambo.

Na taratibu ni kuwa unapopokea barua kama hiyo ambayo unaona imekosa viambatisho ni kuwa unamwandikia aliyekuandikia ile barua kuwa hauwezi kuifanyia kazi kwa sababu ina mapungufu kadha wa kadha. Kukaa kimya bila kuijibu maana yake ni kuwa umeipokea na umeridhika kuwa imekamilika. Hii kuamka bungeni na kutoa sababu zisizo na kichwa wale mbele ni kutaka kuonyesha ubabe tu. Hawasaidii wakina Halima bali anazidi kuwafukia

Aidha, haya majibu yanatakiwa yatoke NEC sio kwake. NEC ndio wanaomtangaza mtu kuwa mbunge au la. Yeye alitakiwa awaambie NEC na hao ndio waseme kuwa wanawatambua wakina Halima kuwa wabunge halalali kwa sababu kadha wa kadha.

Amandla...
 
chama kinapomfukuza mtu uanachama kwa sababu binafsi za chama kinapashwa tu kutoa taarifa kwenye jamii ikiwa na official stamp + signature juu ya maamuzi.

Kinapashwa kutoa taarifa kwenye taasisi zote ambazo mhusika anahudumu kwa niaba ya chama...na taasisi husika zitaangalia sheria zake zinasemaje.

Ni vyema CHADEMA ikafungua kesi juu ya hili kama sheria zimevunjwa, kama kweli CHADEMA ilitimua hawa akina mama bila shaka wanaweza kufungua kesi mahakamani wakiwatuhumu kufanya kazi za chama wakati si wanachama CHADEMA muache kupoteza muda kwenye vyombo vya habari na makelele huku na kule ni vyema mkafungua kesi juu ya hili.
 
Lengo la chadema kuwafuka kina Halima ni nini? nyie kila siku mnasema uongozi tufuate hekima katika maamuzi , mnataka kufukuza kwa kuwa ni wabunge wanakula pesa za ubunge au kwa kuwa sisi hatukupata hiyo nafasi? huo sio u dictator kweli kuamuka usiku na kufukuza wana chama wenu? tumieni busara sio kila mara mnakuwa na sintofahamu ambazo hazileti tija katika chama chenu, mnajizoofisha.
Tunawafukuza kwakuwa chadeam hakijawateuwa kuwa wabunge wa viti maalumu.
Busara pekee ni kufata katiba ya chama, hufati katiba tunakutimua kama mbwa koko.
 
Spika wa Bunge Job Ndugai, amemuagiza Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika, kuandika barua ambayo ataambatanisha na katiba ya chama chake pamoja muhtasari wa kikao kilichofanya maamuzi ya kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa chama hicho...
Kwani nini kinaendelea Kati ya hao aka COVID-19 na Ndugai?

Nchi si inaongozwa kwa sheria, kwa nini zisifuatwe?

Haiwezekan kuwepo na mkanganyiko kwa suala lile lile,

KUNA NAMNA SI BURE
 
Ndugai hajielewi kabisa, anajidai kuwafundisha Chadema nini cha kufanya kama vile hiyo ndio mara ya kwanza jambo kama hilo kutokea, lakini ukimsoma mbele zaidi anadai hawezi kufukuza watu ambao hawakupewa nafasi ya kujitetea, kama waliitwa wakagoma kwenda alitaka wabebwe mgongoni?...
kamwambie babayako ajiuzuru kwanza kwa familia yenu ndiyo uje umwambie na ndugai acheni ushabiki maandazi wenu nyie hamchelewi kugeuka leo afanye hivyo akija kubanwa nasheria nyingine ya kufukuza watu bila kufuata katiba mje tena na kingine wahuni nyie tunawajuwa sana mmfundishwa sasa fuateni alichosema kama mnania ya kuwaondoa bungeni mkiendelea kubisha msubiri 2025 tena mpigwe chini mpaka mtazeeka
 
Back
Top Bottom