Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Tulilia na nduli wa chato MUNGU akatuondelea mtu yyle dhalimu Kati Taifa letu adhimu
Nafikiri na huyu mjivuni wa kongwa hatustahili anaisigina Sheria wazi wazi anakojolea KATIBA yetu
Amekalia kitu Cha mamlaka huku akitenda kwa ubatili
Najua hatuwezi shika bunduki ,Wala hatuna ubavu wa kupanda na mtu yule basi kwakua Bwana ndio mtoaji wa vyeo na mamlaka hapa dunia je ,si kusema anamuona mtu dhalimu akiwa mfano mbaya kwa ustawi wa nchi.
Bwana afanye lililo jema macho pake(Wala hatuna uwezo kwa kumshurutisha).
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Nafikiri na huyu mjivuni wa kongwa hatustahili anaisigina Sheria wazi wazi anakojolea KATIBA yetu
Amekalia kitu Cha mamlaka huku akitenda kwa ubatili
Najua hatuwezi shika bunduki ,Wala hatuna ubavu wa kupanda na mtu yule basi kwakua Bwana ndio mtoaji wa vyeo na mamlaka hapa dunia je ,si kusema anamuona mtu dhalimu akiwa mfano mbaya kwa ustawi wa nchi.
Bwana afanye lililo jema macho pake(Wala hatuna uwezo kwa kumshurutisha).
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app