Dodoma: Spika Ndugai awapa mbinu CHADEMA ili awafukuze akina Halima Mdee

Dodoma: Spika Ndugai awapa mbinu CHADEMA ili awafukuze akina Halima Mdee

Kwani wao NEC wanasemaje?
Au niendelee kuamini wale Civid 19 wamepata wakili nguli, mkuu wa mhimili?
 
Kwa sasa chadema wamefirisika, badala ya kuja na mtazamo mpana kupigania mazingira huru na haki ya chaguzi wanakimbizana na akina mama 19, hii ni aibu kwa chama kikubwa kama chadema...
 
Huyu kweli hajitambui maana naona mpaka amesahau hata kwamba aliwahi kumfutia Ubunge Tundu Lissu bila ya kumpa haki ya kujitetea? Mwaka 2017 aliwahi kuridhia kufukuzwa kwa Wabunge wanane wanawake wa CUF na madiwani wawili, pia wanawake, kwa kimemo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama Profesa Ibrahim Lipumba? Hii ndio inaitwa double Standard, na inavyoonekana anataka kuwakomesha Chadema tu.
Anataka kuuaminisha umma kuwa adui namba moja wa nchi hii ni CDM...

Anaamini kuwa yeye ndiye mwenye akili kuliko watanzania wote asee!
 
Spika wa Bunge Job Ndugai, amemuagiza Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika, kuandika barua ambayo ataambatanisha na katiba ya chama chake pamoja muhtasari wa kikao kilichofanya maamuzi ya kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa chama hicho.

"Aandike barua aambatanishe na katiba ya chama chake, aniambatanishie na muhtasari wa hicho kikao kilichofanya hayo maamuzi, inawezekana huyo Katibu Mkuu kaamka tu kaandika halafu na mimi nakurupuka nachukua hatua, nitakua ni Spika au kitu cha ajabu, hivyo andika ili ile barua niwape watalam waangalie, halafu namuuliza msajili wa chama hawa wajumbe walioorodheshwa ndiyo wajumbe halisi?", amesema Spika Ndugai

"Pia naangalia kwenye muhtasari ule je hawa wabunge wanaotuhumiwa kufukuzwa walipata nafasi hata ya kujieleza na walisikilizwa?, nifukuze watu ambao hawakusikilizwa popote, yaani mbunge hujawahi kusikilizwa wanandika tu fukuza hawa, viko vyama vimejaa mfumo dume, kundi la wanaume wamekaa wanafukuza wanawake 19 kwa mpigo hata kama barua hiyo inatoka CCM lazima nitawaambia 'stop' kwanza taratibu", ameongeza Spika Ndugai.



Hiyo sio kazi ya spika kujua wajumbe waliohudhuria kikao cha Chama kuwafukuza wanachama wao, hiyo ni kazi ya mahakama.
 
Chadema achaneni na HAO wabunge.waendelee maisha Yao na nyie Mfanye yenu.
 
Tulilia na nduli wa chato MUNGU akatuondelea mtu yyle dhalimu Kati Taifa letu adhimu

Nafikiri na huyu mjivuni wa kongwa hatustahili anaisigina Sheria wazi wazi anakojolea KATIBA yetu

Amekalia kitu Cha mamlaka huku akitenda kwa ubatili

Najua hatuwezi shika bunduki ,Wala hatuna ubavu wa kupanda na mtu yule basi kwakua Bwana ndio mtoaji wa vyeo na mamlaka hapa dunia je ,si kusema anamuona mtu dhalimu akiwa mfano mbaya kwa ustawi wa nchi.

Bwana afanye lililo jema macho pake(Wala hatuna uwezo kwa kumshurutisha).

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Anainyea katiba hatoshi kusema anaikojolea
 
yes nimepitia comments zako mbalimbali kwenye majukwaa ya siasa nimeona umbumbumbu wako haswaa.
Huwa na comment reality wakati siasa siyo real. I know the inside of both parties. Even the current covid-19 issue. Kwahiyo msikaze sana mishipa kutetea sanaa
 
Ndugai anajitoa fahamu sana hivi kipindi kile wakati wanamkatili Tundu Lisu kwa kumvua ubunge na mambo mengine kibao walimwita ajitetee?
Akili za mataga hazijawahi kua na akili!
 
Kama ule ushahidi wa barua Ile ya KM chadema iliyoletwa hapa mitandaoni imeanda hivyohivyo bungeni, hata angelikuwa Mbowe spika awafukuze wabunge wa CCM Kwa barua hiyo, nafsi ingemsuta.

Tuweni wakweli, Ile barua ya kuwafukuza ubunge 19, iliandikwa kitoto saana!! haikuwa na nidhamu hata kidogo

Kwa kuwa siku hizi, ukweli sio nshu Sana, basi kelele ziendelee.
Kwa uandishi na taaluma chadema bado sana
Ni watu wa mzaha mzaha
Pia barua inaamrisha Mamlaka nyingine wakati barua inahitaji ushirikiano kuliko amri
Hapo ndo mnapogeli chadema mjifunze kuandika
 
Spika wa Bunge Job Ndugai, amemuagiza Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika, kuandika barua ambayo ataambatanisha na katiba ya chama chake pamoja muhtasari wa kikao kilichofanya maamuzi ya kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa chama hicho.

"Aandike barua aambatanishe na katiba ya chama chake, aniambatanishie na muhtasari wa hicho kikao kilichofanya hayo maamuzi, inawezekana huyo Katibu Mkuu kaamka tu kaandika halafu na mimi nakurupuka nachukua hatua, nitakua ni Spika au kitu cha ajabu, hivyo andika ili ile barua niwape watalam waangalie, halafu namuuliza msajili wa chama hawa wajumbe walioorodheshwa ndiyo wajumbe halisi?", amesema Spika Ndugai

"Pia naangalia kwenye muhtasari ule je hawa wabunge wanaotuhumiwa kufukuzwa walipata nafasi hata ya kujieleza na walisikilizwa?, nifukuze watu ambao hawakusikilizwa popote, yaani mbunge hujawahi kusikilizwa wanandika tu fukuza hawa, viko vyama vimejaa mfumo dume, kundi la wanaume wamekaa wanafukuza wanawake 19 kwa mpigo hata kama barua hiyo inatoka CCM lazima nitawaambia 'stop' kwanza taratibu", ameongeza Spika Ndugai.

Kumbe ufupi wake haujaishia kwenye kiwiliwili tu; hadi kwenye utashi!

Hivi anaweza kuelezea umakini aliouzingatia kujiridhisha juu ya uhalili wa utaratibu uliofuatwa hata akamuapisha Mdee aliyegombea jimboni kuwa mbunge wa viti maalum?

Anaweza kuleta uthibitisho kuonesha majina na idadi ya wajumbe waliohudhuria na tarehehe ya kikao cha CHADEMA kilichopendekeza majina19 ya hao aliowaapisha kuwa wabunge wa viti maalum?
 
Lengo la chadema kuwafuka kina Halima ni nini? nyie kila siku mnasema uongozi tufuate hekima katika maamuzi , mnataka kufukuza kwa kuwa ni wabunge wanakula pesa za ubunge au kwa kuwa sisi hatukupata hiyo nafasi? huo sio u dictator kweli kuamuka usiku na kufukuza wana chama wenu? tumieni busara sio kila mara mnakuwa na sintofahamu ambazo hazileti tija katika chama chenu, mnajizoofisha.
Ninavyojua chadema wamewatimua hawa wabunge kwa kuwa hawakuchaguliwa kama sheria ya uchaguzi inavyotaka kwa kuwa kila chama huwa kinawasilisha list ya majina ya wabunge wa viti maalum kwa tume kabla ya uchaguzi wa majimbu. So uchaguzi ukiisha wanaangalia idadi ya kura za uraisi ndio wanawaambia kila chama kina wabunge wangapi wanaqualified kuingia bungeni.Tume ya uchaguzi inachagua kutoka kwenye hiyo list.Mfano wameambiwa ni wabunge 10 ,ina maana tume ya uchaguzi itachangua numba 1 mpaka 10 kwenye list iliyowasilishwa kwao.Pili Chadema hawakukubaliana na mwenendo wa uchaguzi wa urais na wabuge so waligomea bunge .Serikali waliamua kuchagua wabunge ambao walikubaliana na spika na sio waliokuwa kwenye list.Na hii ni ili wapate hela za UN kwa hali iliyokuwepo ya majimbo ambako vyama wahakupata wabunge inamaana Tanzania wasinge qualify kupatafedha kwa ajili ya kuendesha bunge .
 
Hii ni dalili ya ile safari inayoogopwa na watu wote - safari ambayo ni futi 6 chini udongoni.

Yule mshikaji wake siku chache kabla hajarudisha namba naye alikuwa akiweweseka hivi hivi!
Mnafikia kutishia maisha wazi wazi sasa
 
Back
Top Bottom