Dodoma: Spika Ndugai awapa mbinu CHADEMA ili awafukuze akina Halima Mdee

Dodoma: Spika Ndugai awapa mbinu CHADEMA ili awafukuze akina Halima Mdee

Ndugai ajaongea kwa bahati mbaya , ni mkakati CCM imemuandalia HalimaMdee na wenzake hao wanawake 19, media press, ni mpango wakumshambulia Mbowe kama kawaida yao CCM.
Halima Mdee atasema anautaka uenyekiti wa Mbowe, ndio sababu amefukuzwa.

CCM inamuogopa sana Mbowe.

Yale yale ya CUF tunaletewa CHADEMA.
Watashindwa kwa uwezo wa Allah.. Inshaallah
 
Kama ule ushahidi wa barua Ile ya KM chadema iliyoletwa hapa mitandaoni imeanda hivyohivyo bungeni, hata angelikuwa Mbowe spika awafukuze wabunge wa CCM Kwa barua hiyo, nafsi ingemsuta.

Tuweni wakweli, Ile barua ya kuwafukuza ubunge 19 kutoka KM kwenda Kwa Sipika, Jamani Ile barua haikuwa na nidhamu aisee.

Kwa kuwa siku hizi, ukweli sio nshu Sana, basi kelele ziendelee.
Ndugu, barua ni taarifa tu.

Mimi ninaweza kumwelewa kidogo Spika Ndugai kama akisema, haamini kama barua ile imetoka CHADEMA...

Lakini kwa ishu ya kufutwa uanachama, wanaweza kufutwa hata kwa kauli ya mdomo tu na ikawa vile..

Lakini kwa sababu ni lazima kuwe na documentation, CHADEMA wameandika barua rasmi kumpa huyu mtu...

Anachotaka, hakitatokea. Kama wanataka kuendelea kuvunja katiba, sheria na kanuni aendelee kufanya vile lakini akumbuke kuwa KARMA IS A BITCH, na yenyewe haina cha mswalia mtume, hushughulika vizuri na watu kama hawa...!!
 
Ndugai hajielewi kabisa, anajidai kuwafundisha Chadema nini cha kufanya kama vile hiyo ndio mara ya kwanza jambo kama hilo kutokea.

Lakini ukimsoma mbele zaidi anadai hawezi kufukuza watu ambao hawakupewa nafasi ya kujitetea, sasa kama waliitwa wakagoma kwenda alitaka wabebwe mgongoni?

Anaonesha wazi alivyoamua kuwalinda hao wanawake kwa gharama yoyote, ila ajue kwa hiki alichofanya anajiondolea heshima.

Amejidhalilisha mwenyewe, amelidhalilisha bunge kama taasisi inayotunga sheria, zaidi ameonesha hizo sheria zinazotungwa na bunge hazina maana, pia kaidharau Katiba ya nchi, ni bora ajiuluzu ili kulirudishia bunge letu na yeye mwenyewe heshima yake.
Ndio utaratibu uliotumika kwa Sophia Simba? Wanaume.wote walionywa au walipewa karipio (Emmanuel Nchimbi).
 
La Sophia hulijui weweeeeee! Ungelikuwa unalijua ungelijua kuwa aliitwa kwenye vikao HALALI vya CCM na kujieleza kabla hajachukuliwa hatua.
Kwan Covid-19 hawakuitwa na kukaidi? Au kikao kile kilikuwa haramu??

Tujaribu kufuatilia mambo kwa ukaribu zaid
 
Katika mihimili mitatu, kiongoz wa hovyo amebaki ni Kifupi nyundo ndugai,Anataka barua kuuubwa page 121 ndio aelewe.Ameshafanya kosa hatak kukubali. Sijui naye akifa tutaweka siku za maombolezo doooh.
 
"untouchable"
Ameanza kupanik sio polepole,
Anatafuta tundu la kutokea Kama panya wengine walivyo
 
Kama ule ushahidi wa barua Ile ya KM chadema iliyoletwa hapa mitandaoni imeanda hivyohivyo bungeni, hata angelikuwa Mbowe spika awafukuze wabunge wa CCM Kwa barua hiyo, nafsi ingemsuta.

Tuweni wakweli, Ile barua ya kuwafukuza ubunge 19 kutoka KM kwenda Kwa Sipika, Jamani Ile barua haikuwa na nidhamu aisee.

Kwa kuwa siku hizi, ukweli sio nshu Sana, basi kelele ziendelee.
Muhutasari ni mali ya chama husika maana muhutasari huo unabeba mambo mengine!.

Hivyo yeye anapaswa kupokea azimio la kikao, na kama haamini kuwa sio maamzi halali yeye sio mamlaka ya kuhoji uhalali wa maamzi hayo!.
 
La Sophia hulijui weweeeeee! Ungelikuwa unalijua ungelijua kuwa aliitwa kwenye vikao HALALI vya CCM na kujieleza kabla hajachukuliwa hatua.
Hata wakina Halima wanakiri kuwa walipokea mwaliko wa kwenda kwenye kikao HALALI cha Chadema ila hawakwenda.
Waliishajua mchezo utaendaje. Watafukuzwa, watakata rufaa, rufaa yao itatupwa mbali halafu wao wataenda Mahakamani ambako Mahakama itasimamisha uamuzi wa Baraza Kuu mpaka 2025. Chadema wamewastukia.

Swali ni Mheshimiwa Spika aliwaapisha kwa kutumia vigezo gani? Kwa nini anapata kigugumizi kuweka wazi barua aliyopokea kutoka NEC ikiwatambulisha wakina Halima kama wabunge walioteuliwa mwa mujibu wa sheria na chama chao? Mpira uko kwake, sio kwa Chadema.

Amandla...
 
Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!

Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
Mkuu mbona unachanganya mafile yani ukiamka tu ni lisu,soma kwanza Uzi unahusu nini.
 
Kwani ile barua ya mwanzo(ambayo spika anadai ni kipeperushi)kule mwanzo aliipokea ya nini kama alikuwa anajua ilikosewa
 
Lengo la chadema kuwafuka kina Halima ni nini? nyie kila siku mnasema uongozi tufuate hekima katika maamuzi , mnataka kufukuza kwa kuwa ni wabunge wanakula pesa za ubunge au kwa kuwa sisi hatukupata hiyo nafasi? huo sio u dictator kweli kuamuka usiku na kufukuza wana chama wenu? tumieni busara sio kila mara mnakuwa na sintofahamu ambazo hazileti tija katika chama chenu, mnajizoofisha.
NDUGU YANGU SI UMEAMBIWA TARATIBU ZA KICHAMA KUWAIDHINISHA KUINGIA BUNGENI HAZIKUFUATWA?
 
TL walimsikiliza wapi wakati mashinikizo ya kumvua ubunge yakitolewa?

Ndugai ni spika wa hovyo sana, Hukumu hutolewa kwa reference pia, yeye kila anachokisema kinapingana na alichosema mwanzo au alichowahi kufanya mwanzo.
 
Ni dhahiri sasa Tanzania ina utajiri wa mambo mengi na huyu spika ni miongoni mwa 'utajiri' wetu na huenda anapatikana kwetu tu duniani kote!
hii ni fursa tunaweza kuongeza kivutio kingine kwa watalii kuja kumuona huyu mzee tu pale bungeni tutaingiza pesa za kigeni hata za ndani. Simba huku nyuma waandike COME SEE JOB NDUNGAI.
 
KWani taratibu za wabunge wa viti maalumu hadi kufikia hatua ya kuapishwa IKOJE!? Ilifuatwa???? Angejibu hilo bwana spika angeonekana kweli anawapenda wanawake, otherwise tuendelee tu kutokuheshimu hata kanuni zetu wenyewe.
Nadhani anatumia karata yake ya mwisho udhalilishaji wa kijinsia kutaka tuamini kuwa kuna udhalilishaji, nadhani huyu inabidi apigwe stop haraka sana huku anakotaka kutupeleka sio kuzuri. Naamini CCM uongozi huu mpya watampiga stop kama kajisahau yeye ni mwanachama tu wa CCM na mbunge wa kawaida kabisa.
 
kamwambie babayako ajiuzuru kwanza kwa familia yenu ndiyo uje umwambie na ndugai acheni ushabiki maandazi wenu nyie hamchelewi kugeuka leo afanye hivyo akija kubanwa nasheria nyingine ya kufukuza watu bila kufuata katiba mje tena na kingine wahuni nyie tunawajuwa sana mmfundishwa sasa fuateni alichosema kama mnania ya kuwaondoa bungeni mkiendelea kubisha msubiri 2025 tena mpigwe chini mpaka mtazeeka
Ubaya wa kurukia gari ambalo hujui limetokea wapi ndio huu. Umekuwa kichekesho.
 
Huu ufisadi wa ndugai kuna siku utampalia
Ndio tayari hivyo.
Anatakiwa arudi kwa wazee akina Msekwa, akatubu kwanza.
Ama sivyo itambidi afe haraka haraka kama yule mungu wa Burigi, ili kuepusha aibu inayomkabili.
Amen
 
Nakubaliana na aliyesema Tanzania tuna 'utajiri' mwingi sana na Spika wetu ni miongoni mwa 'utajiri' tulionao
 
Back
Top Bottom