Dodoma: Tundu Lissu afuata gari lake lililoshambuliwa ofisini kwa RPC Muroto. Ashangaa hadi sasa hajahojiwa yeye na Dereva wake

Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
Mbona unacheka cheka tu?
 
Hii kesi ina moto!! Robert katishia kuwaomba UN waje kupeleleza pamoja na mambo mengine ya waliopotea na wengine kutekwa.

Kinachosubiriwa ni trigger tu ili mambo yaanze rasmi.

Hii si habari nzuri!!
Alipotea Kashogi Ubalozini, unakumbuka? Dunia hadaa ulimwengu shujaa
 
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
Weye huwa unakua lijingalijinga sana.Propagations won't bring you to an end, fantasiaz!
 
Hana gari Chadema wamechukua magari Yao Polisi mpeni tu apeleke gereji Hana gari ya kampeni

Wenzie wameanza kampeni yeye gari Hana
 
Wagombea Uraisi Wenzie wako kampeni Lisu anahangaika na gari bovu kupeleleka gereji
 
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
Serikali haiwezi poteza rasilimali adimu kurushiana maneno na Tundu.
Atumie muda wake kushikiana na vyombo husika kuwaona waliotaka kumuua yeye kama mwanasheria anajua taratibu aache propaganda uchwara
 
Wanamkomesha kweli..,[emoji2][emoji2] uso wa mbuzi tu mpaka mwisho.na mzee baba akiapishwa tu,hakuna shughuli za kisiasa tena mpaka miaka mitano.ukikaidi tu.."ndani".muda wake huu acha ahangaike
 
Aende na Dereva wake. Asiseme tu ushahidi atakaoutoa yeye unatosha.
 
Nenda kamtumikie jobless wenzako Bashite
 
Lissu ni mwananchi tuu wa kawaida hawezi pata attention ya mambo ya ajabuajabu toka kwa serikali
 
Hakuenda kuhojiwa alienda kulifuata gari lake.
 
Ulitaka wampe Kiki bi mdashi wako?
 
LIssu hata kupona kwake ni Mwenyezi Mungu ana makusudi flani. Tumpe kura za ndio Lissu ili 'unabii' utimie.
 
Kinachofuata atajipiga kisu huyu ili kuamsha hisia tu,maana kila anapogusa watu wamemchunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…