DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Way maker
Miracle worker
Promise keeper
Light in the darkness
That's who you are.
Mighty God....

Imeandikwa watapigana lakini hawatashida yer 1:19

Get well soon Hon Lissu.
Wasipoteze muda kumtafuta TUNDU ANDIPAS LUSU LAITI WANGEJUA NYUMA YAKE WAPO MAMILION YA WATU WANAMPENDA WASINGEHANGAIKA.
Wakimzimisha watainuka wengine zaidi na huu ni unabii wa Biblia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao watu waliojaribu kumuua lissu nafsi zitawasuta Hadi umauti wao
 
Jukumu letu nikumuombea Lissu kwasasa,waliomshambulia Mungu anawaona na itawakost maana damu ya mtu haijawahi kumuacha mtesi salama
 
Hapa naona point. Umenikumbusha the chaos theory...kwamba Habari zinahamia kwa tukio la Tundu Lissu na kuacha kuangazia issue ya Tanzanite. Makes sense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…