DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Maguuuuuuuu!!!!! Dr...............!!!!!!!!! Umeyasikia haya ? Siroooooooo na kipilimbaaaaaaaa tafadhali wekeni mguu chini kieleweke wahusika Ni nani ? Maaana alitaja kufuatliwa au alikuwa analindwa??? Je Leo walikuwa wapi mpaka wakora wakapata mwanya ?????
 


Huyu nae anajijua kuwa ni binadamu.



Shame on you malparida [emoji35] [emoji35]
 
Get well soon Tundu Lissu
 
Mkono wako ni mkono wenye uweza
Mkono wako una nguvu
Mkono wako wa kuume umetukuka
Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu wa jeuri.
Unilinde nafsi yangu na kuniponya, Nisiaibike, maana nakukimbilia Wewe .
''IN TL PRAYING Voice's...''
ameni
 
Anaitaji ulinzi mkali hata huko walipo mpeleka maana hawa killer wanaonekana walikuwa na nia ya dhati ya kummaliza, wasiwaamini sana hata hao madocta jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
<br /><br />Huyu nae anajijua kuwa ni binadamu.<br /><br /> <br /><br />Shame on you malparida [emoji35] [emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…