UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Mnamwita rais ndo maana kaskaziners wanataka kummaliza kabla hata ya kuteuliwa kugombea. Acha kucheza na mwenyekiti.na Rais ajaye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamwita rais ndo maana kaskaziners wanataka kummaliza kabla hata ya kuteuliwa kugombea. Acha kucheza na mwenyekiti.na Rais ajaye
Hivi sasa hivi ni august??
HAMA KWELI HARAKATI ZA KUPATA NAFASI YA KUGOMBEA KITI CHA URAISI mwaka 2020 KWENYE CHAMA CHA WACHAGA ZIMEANZA ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
MNA RUHUSIWA KUNIPONDA.
That is Good news, japo nahisi atakuwa terrified ile mbaya. Pia anabidi awe makini na usalama wake.Dereva Mzima kabisa. Hana jeraha. Ni blood stains kwenye nguo alizovaa.
Mambo na vijambo.Hivi sasa hivi ni august??
Nasikia Leo jamaa hakuwepo kwenye upokeaji wa RipotiNape Alitolewa/tishiwa bastola hadharani tukakomaa na mbio za harmorapa.. Hatujaambiwa aliyefanya silaha kachukuliwa hata gani mpaka Leo.. Kitu cha clouds kilivamiwa na watu we nye silaha za kijeshi wakiongozwa na princess Hatujaambiwa hatua yoyote iliyochukuliwa! Kapotea Ben saanane mwaka unaenda Sasa.. Tumefikaje hapa? Eeeh mungu kama upo tuokoe
Sent using Jamii Forums mobile app
Du, mi sikuishtukia. Kumbe walitoa pole na kulaani kabla ya tukio. Pole Pole ni hatari. Alijuaje kama haya yangetokea? Mmmmmmmmmm!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Vipi tena mbona hiyo taarifa ya pole kutoka Lumumba ni 7/08/2017.... duh out of deadline...
Kabisa Mkuu kauli zake huyu zilizojaa chuki za kutisha dhidi ya wapinzani na sasa kuanza kuigwa na baadhi ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya ni hatari sana kwa mshikamano wa Taifa. Akemee mara moja hizi chuki anazoeneza nchini kwa kasi ya kutisha.
Bora huko nje hamuwezi kupandikiza virus kirahisiKuna watu walienda Uingereza,India South RSA, Canada hawakurudi wakiwa hai.
First Aid kapewa Dodoma. Kama kumalizwa ingeshindikana?
Tuache utoto.
Kama ulijua vile !!CHEZEA MWENYEKITI WEWE YA CHACHA WANGWE YANATAKA KUJIRUDIA
Mkuu mambo haya yanasikitisha sana!Nape Alitolewa/tishiwa bastola hadharani tukakomaa na mbio za harmorapa.. Hatujaambiwa aliyefanya silaha kachukuliwa hata gani mpaka Leo.. Kitu cha clouds kilivamiwa na watu we nye silaha za kijeshi wakiongozwa na princess Hatujaambiwa hatua yoyote iliyochukuliwa! Kapotea Ben saanane mwaka unaenda Sasa.. Tumefikaje hapa? Eeeh mungu kama upo tuokoe
Ccm walijua nini kitatokea Angalia Hata barua yaoWalijua tukio litatokea!!
Relax brother. Huku Arusha pande za Ngarnaa tulikua tunaambiwa kachomoa ila haisemwi.Utakufa wewe lkn Lissu atapoma nyama
Maana sio kwa wingi ule wa matundu. Kweli jamaa ana Mungu. Acha tuzidi kumuombea. Watanyooka tu hao CCMScrowIli uhakikishee kamaa zile risasi zimempataa kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](jocking)
Whoever planned this, considering the number of shots fired hakutegemea kama Lissu angetoka mzima so hakuwa na muda wa kupanga counter attack endapo angepelekwa hospital, trust me ( i am a detective)Kwanini mnapenda kutunga story, hao waliompa huduma ya kwanza pale dodoma ni nani kama sio ma dr wa serikali. Tuchunge uandishi wetu.