Mkuu kwa Africa hasa hivi vinchi vinavyoongozwa kiujanja ujanja na watu wasiojiamini{yaani kila wakati kiongozi anataka aonekane mzuri yeye,mtendaji mzuri yeye mara malaika yeye}haya yanawezekana.ukiwa mpinzani Africa upinzani wako jitahidi uwe na kiasi lah ukubali kuishi kishujaa kama Mh Lissu.mkulu alitegemea aibue kick kwa kupokea report ya tume yake bahati mbaya Lissu kampiga pasi japo ni kwa maumivu makubwa.jamaa katushtua sana watanzania kwa lililompata,sijawahi kuamini kuwa ni kweli binadamu anaweza kudhamilia kuutoa uhai wa mwenzie kisa siasa...
hayo ni maoni yako mkuu sikatai, ila nimesema kinachoujaza moyo wangu Mungu shahidi wewe baki hivyohivyo. namuangalia Lissu sio kama mwanachadema bali binadamu,baba wa familia,ambaye anahaki ya msingi ya mwanadamu yoyote ile kuishi.Acha unafki....nyie Hamna tofauti na wachawi
Ova
Kaka nmekuwa askari wa uokovu sehemu fulani n.kweli helicopter inauwezo wakubeba mgonjwa! Nimefunga wagonjwa kwenye helicopter za flying doctor kutoka Kenya nlipokuwa mlima kilimanjaro juu above 4320mMkuu kwa akili ya kuvukia barabara haingii akilini kabisa kwanza helicopter ina space ya kutosha kubeba machela ile na vitu kibao
Na haiwezi kutokea
Ndugu huwez fika hatua hiyo,kiongozi ni kiongozi,Kwani waliopigwa risasi kibiti sio binadamu mbona hamkusema nao wakatibie nje? Na hata michango hamkuwachangia mngekuwa na huruma mngechanga kwa ndugu zetu wa kibiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unajua?Ni kila binaadamu, bila kujali mamlaka na nguvu aliyonayo hapa duniani!
Kuna viongozi wa ccm walipigwa risasi kibiti pamoja na police wengi tu lakin hatukuona rambirambi wala kusema chochote ila lisu sababu yeye ni mbunge ndiyo tuwe mbele kwake haipo hiyoNdugu huwez fika hatua hiyo,kiongozi ni kiongozi,
Mbona bibi yako alipokufa watu hawakusema kwenye allazeera?au BBC?
Sasa ujue kiongozi ni kiongozi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Isije kuwa ndio mpango mzima, kwamba hizo ripoti za kamati za bunge, baada ya kutolewa jana bungeni zimekuwa mwiba kwa wahusika!!Baada Ya Sakata La Lissu Kupigwa
Risasi Na Watu Wasiojulikana Mapema Leo Hii Watanzania Wengi
Mno Ikiwemo Na Mimi ...
Habari Ya Lissu Imefika Pahala
Mpaka Ile Ripoti Ya Madini Imesahaulika Kabisa...
Na mliyala kweli kweli.Kumbe mchana tulilishwa matango Koromije eee
Uonavyo mpendwa,akili ni nywele....hapo siwezi kukuingilia kuhusu hilo!!!Kuna viongozi wa ccm walipigwa risasi kibiti pamoja na police wengi tu lakin hatukuona rambirambi wala kusema chochote ila lisu sababu yeye ni mbunge ndiyo tuwe mbele kwake haipo hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasiasa wetu WaPo kwaajili ya maslahi Yao binafsi tu.....ndo maana huwa waongo sana..ukijitokeza hadharani kusema na kupinga uhovu anakuwa adui namba1jamaa katushtua sana watanzania kwa lililompata,sijawahi kuamini kuwa ni kweli binadamu anaweza kudhamilia kuutoa uhai wa mwenzie kisa siasa...
Wataisingizia serikar sana wakati wenyewe hata kubadirishana uwenyekiti wanashindwa sasa kwa nini wasiuwane kama wanaona kuna mtu anakiherehere!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku nyingine jitahidi kuficha ujinga wako! Hasa wakati unapoona watu wako serious!Uliwahi sikia lini ccm ikatangaza mgombea uraisi kabla ya miaka mitatu ya uchaguzi?
Sent using Jamii Forums mobile app