Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Mwiba ni kwanini Kiti na Serikali wamewachezea shere watanzania kupitia Ripoti hizo? Zilitakiwa zijadiliwe bungeni halafu yatoke maazimio ya Bunge kwa serikali. Lakini kwa kuwa kilichomo kwenye ripoti kinawagusa akina Dk. Kalemani Kiti kimeziwahisha taarifa hizo bungeni ambako mjadala ungeweka wazi mambo ambayo yangewagusa akina Kalemani na wengine. Hii nchi bado sana!
Hata rais ni binadamu kama wengine ila akipita barabarani mnakaa pembeni so usilinganishe watu wa nchi fulani kua sawa wote kwenye shughuli tofauti labda na sheria au mahakamani huko ndo wanapaswa kua sawa umesikia dogoKwani waliopigwa risasi kibiti sio binadamu mbona hamkusema nao wakatibie nje? Na hata michango hamkuwachangia mngekuwa na huruma mngechanga kwa ndugu zetu wa kibiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo siyo ujinga ni uzwazwa kabisa mtu anakosa kazi na mb zakeSijui kwanini kiwango cha ujinga kinaongezeka kwa kasi sana awamu hii!
Jiongeze basi wasikosee siku zoote wanapotoa press release zao ila wakosee jana tu! kila kitokeacho hakitokei bure!Ni rahisi kukosea mwezi tarehe za mwanzo au kukosea mwaka miezi ya mwanzo.
It tells me that hii barua iliandaliwa kabla ya tukio....i guessBarua dated 7th August. This is September
Yuko NairobiMbona taarifa mchanganyo
Kwani kaanza kufuatiliwa leo? katoa taarifa vyombo vya usalama kimyaaaa, na je ulitaka aende wapi policcm?Maswali ni mengi sana. Unafuatiliwa toka bungeni na bado dereva anaamua kwenda nyumbani!
Sweet girl kuuwawa na wale wa....kupo sana na hakujaanza leo wamkumbuka sokoine, kolimba, sasa kama walidiriki kuwauwa wa ndani ya nyumba yao sembuse Lissu, tena aliyepanga hayo yote ni yule yule mwanzilishi wa lichama lao, kisa alihisi sokoine atachukua kiti chake soon!Duuuu nchi yangu jaman ndo tumefikia hapa????hiki ndicho kinachoniliza.why??mbona haya mambo sisi hatujazoea jamani??mbona sisi watanzania vita zetu na siasa zetu huishia kwenye maneno lkn jion tunakula pamoja,tunacheza mpira pamoja tunafuturu pamoja.ni nani huyo anataka kuharibu amani ya nchi yetu??Big NO!hatukubali!Tunamuomba Mungu atuondolee huyo adui.si mtanzania huyo.mtanzania sifa yake anakasirika kweli lakini mwisho wa siku anasemehe na hapendi kuona damu ikimwigika.utaratibu wetu ni kuzungumza na kuyamaliza.hiki kitu ni kipya.Big NOOOOO.hatukubali.damu zi kitu kizuri.damu ikimwagika inapiga kelele na inapanda mbegu ya chuki.jamani mataifa ya huko mashariki ya kati si mnaona yanayotendeka?ni kwasababu walianza kama ivi,damu ilimwagika kidogo kidogo hawakujali.tukemee hii hali kuanzia mdogo mpaka mkubwa.tusikubali uovu huu.tumwombe Mungu atuondolee mafedhuli hawa wanaotaka kuharibu nchi yetu na amani yetu.na sisi watanzania tutashinda.
Wewe ushapata hitimisho. Mimi sihitimishi.Jiongeze basi wasikosee siku zoote wanapotoa press release zao ila wakosee jana tu! kila kitokeacho hakitokei bure!
Kuna mahali nimesema hakufuatiliwa? Wewe ukigundua kuna gari inakufuata nyuma utakimbilia nyumbani kwako? Shida yako ushahitimisha.Kwani kaanza kufuatiliwa leo? katoa taarifa vyombo vya usalama kimyaaaa, na je ulitaka aende wapi policcm?