lightning
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 355
- 597
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu vioo vya siti za mbele ni transparent hata mimi naona usukaniNi Hatari Sana,tusifike huko......Shindanane kwa hoja lakini hiyo gari ni full tinted hauwezi kujua kama ni tundu lissue labda ni car jacking kama Luck dube.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wewe una receive!!!I hope ni kick ambayo na weza Sema imekuwa kicked off. Uhuni wa CDM ili tu kuichafua nchi
mnatuchanganya kwa vile hatupo huko, mliopo dodoma mtujuze manake kuna memba hapa anasema Lissu kakataa yupo dar , watu washahack account ya lisu hivyo wanakanusha kwa niaba ya lisu wakati lisu mwenyewe anapigania uhai wake dodomelaUngekwoti ulichokisoma jwa Lisu
Ndo tuende zimbabwe sasa, bado mnangoja nn??Wakuu,
Inadaiwa Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ajeruhiwa kwa risasi.
Kwa sasa wapo hospitali ya Mkoa, mjini Dodoma.
Ameshambuliwa kwa risasi wakati akishuka nyumbani kwake Area D Mjini Dodoma, alikuwa akitokea Bungeni na alienda Nyumbani kula chakula cha mchana.
Lissu amepigwa risasi 5, miguuni na tumboni.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hali ya Mbunge huyo aliye hospitalini sasa ni mbaya!
![]()
![]()
Updates to follow
Hisia zinanituma hili tukio wamefanya Chadema wenyewe. Mungu anisamehe sanaRoma alisema mshindane kwa hoja na sio bunduki.
Mkuu mbona unacheka wewe ndio ulitumwa??Hahahaha
Kazi ipo