DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

very sad, get well soon
 
nilishangaa sana walipong'ang'ania kutaka kumpeleka Mh Antipas hospitali ya Muhimbili...eti watuhumiwa wanamuamuliwa mhanga mahali pa kwenda kutibiwa...nchi hii ina mijitu ya ajabu sana.
 
Ngoja angalau wamalizie kuzichomoa risasi mlizomiminia, hivi hata hamna huruma kwa familia yake? Sasa Familia yake inshitaji upendo zaidi na siyo kuendelea kumtumia Tundu Lisu kama mtaji wenu!
kila mtu anajuwa wewe na wengine wengi ni mmoja wao na nakuhakikishia kwamba maisha yako yatakuwa mabaya sana milele namilele machozi ya wengi damu yake iliyomwagika ita wa hunt forever
 
Ha ha spin doctor kwa hio pati yenu imeingia kitumbuwa munajianika sana wauaji nyie watu wa Kibiti walivyoanza kuuwa wawa nani walisema mwanzo ccm bashite na mwenyekiti wenu simulitengeneza movie ya kibitz ika back fire mulidhani watanzania ni stunt brain kwani sasa si mumekataza vyombo vya habari visitangaze mbona mauaji yanaendelea na nyie daamu za wananchi mumegeuza mvinyo
 
si kweli..labda unazungumzia sinema..hata hvo haya maneno yako yanatokana na nini,mbona hayana uhusiano na lolote
Ki akili-ccm huwezi kujua nini kinaendeleana nini matokeo zaidi ya kuimba ulicholishwa pasi na kuwaza nje ya boksi. Kwa anaeiwaza leo hana haja na kesho.
Mchawi huwa haishii kuwaroga asiowajua
 
Kalagabaho! Kwani Chacha Wangwe aliuliwa na serikali ya ccm?
Hivi ule mgogoro wa mgodi wa Nyamongo alipouongelea bungeni alikuwa anagusa mikataba walioingia ni CDM au ilikuwa wazee wa makinikia kina msituseme?
au mnadhani sote ni akili kusahau?
 
Huyu [HASHTAG]#malisa[/HASHTAG] ameandika "GIZA KUU" katika facebook account yake, sijui anaanisha nini, presha zinapanda tu
 
Hivi ule mgogoro wa mgodi wa Nyamongo alipouongelea bungeni alikuwa anagusa mikataba walioingia ni CDM au ilikuwa wazee wa makinikia kina msituseme?
au mnadhani sote ni akili kusahau?
Wangwe alipotangaza kugombea uenyekiti wa chama - yakampata yaliyompata.
Zitto alipotangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama - akapigwa panga kwenye chama.
Lissu amejifanya yeye ndo Zitto kabwe (act) wa chadema - tutashangaaje kupatwa na yaliyompata ??
 

Yesu alichapa watu bakora hekaluni na kupindua meza zao waluofanya biashara hekaluni. Hicho kilikuwa kisasi? Hiii hiii hii
 
Ilikuwaje geti likawa wazi ili wauwaji waingia na kutoka pasina kizuizi? Hivi walinzi wa maeneo ya tukio la kupigwa risasi Mh. TL walikuwa wapi muda huo? ama silaha zilizotumika zilikuwa na viwambo vya kuzuia sauti?
 
Wale baadhi ya Mawakili waliosema hawamwelewi Lissu kwa kuitisha Mgomo wa Mawakili wakati ule kupinga kulipuliwa kwa ofisi ya Uwakili ya IMMA, sasa baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi wamemwelewa?

Wamekuwa jasiri, waoga ama ndiyo watarudi kule kule walikokuwa kuachia chama chao kuwa tawi la Wizara ya Sheria?

CC:

Petro E. Mselewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…