Alikuwa area D DodomaKamuulize RC Dar siku ya tukio alikuwa wapi??
Kisha haraka sana akarudi Dsm ila akapumzika Moro kusikilizia
So.. What next??????
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa area D DodomaKamuulize RC Dar siku ya tukio alikuwa wapi??
Alikuwa area D Dodoma
Kisha haraka sana akarudi Dsm ila akapumzika Moro kusikilizia
So.. What next??????
Sent using Jamii Forums mobile app
CHADEMA wamejifunza kuwa "Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu Mchungu"
Ile tabia ya vijana wa CHADEMA kushangilia na kuchekelea kila kiongozi wa CCM, mwanachama wa CCM au mtumishi wa serikali kufariki au kupata matatizo ya kiafya nadhani sasa itafika ukomo baada ya kupata machungu kwa namna baadhi ya vijana wa CCM kuwakumbusha zile comment zao kwa Mh. Tundu Lissu.
Vijana wa CHADEMA walishangilia sana vifo vya baadhi ya wanachama wa CCM wakisema kuwa walimtukana sana Lowassa eti na bado wacha tu waendelee kufa, mauaji ya Kibiti Vijana wa CHADEMA walishangilia sana, mauaji ya maaskari wetu mbalimbali Vijana wa CHADEMA walishangilia sana. Kifo cha comrade Peter Kalihose, vijana wa CHADEMA walishangilia sana.
Juzi tu Vijana wa CHADEMA walishangilia kifo cha Mbunge mteule wa CUF baadae wakashangilia vifo vya viongozi wa4 wa CUF vilivyotokana na ajali ya gari pale
pwani. Sishangai wala sitakaa kushangaa vijana ambao sio wafuasi wa CHADEMA kushangilia tukio la kupigwa risasi bwana Lissu na hata wengine wakipongeza alifanya hivyo na hata baadhi wakitaka Tundu Lissu aondoke tu Duniani. Na kwa bahati mbaya leo wamesahau unyama wao na roho zao za hovyo.
WANATAKA ETI WATANZANIA WOTE WAUNGANE NAO KATIKA KUMUOMBEA TUNDU LISSU APONE, Shame.
Leo ndo mjifunze sasa na komenti zenu za hovyo pale wenzenu wapokuwa kwenye matatizo kwasababu mmejua machungu yanayopatikana mioyoni mwao. Makamanda wenzangu, tubadilike
NB: MKUKI NI MCHUNGU MPAKA KWA NGURUWE.
BUT ALL IN ALL LETS PRAY FOR LISSU
Taratibu mkuu, mkono wa Mungu hujafunuliwa wewe!unani wewe uhukumuye.Shida ya vijana upande wa CCM na government kwa ujumla, ni kushindwa kutofautisha mapenzi ya Mungu na mapenzi ya wanadaamu. Lisu kama ilivyo com Mawazo walikuwa wanalazimishwa kufa kwa sababu tu ya ulevi wa watu wa madaraka. Tofauti na hao unaowasema CDM haijawahi kuwadhuru kwa namna yoyote ile isipokuwa mapenzi ya Mungu. Huku upande wao wakishambuliwa kama swala ktk kundi la mbwa mwitu. INAUMA
Cairo's
Wewe mjingaKamuulize RC Dar siku ya tukio alikuwa wapi??
Wewe mjinga
Baba Ndayilagije Olasitti Arusha hawa jamaa wamerushiwa bomu na kuuliwa wanne, Tarime Nyamongo hawa jamaa wamefanyiwa ambush na kuuliwa 4, Mbeya ambush wakati wa campaign na kucharangwa mashoka na kuuliwa 2, Geita Alphonse Mawazo anacharangwa mashoka na kuuliwa, Leo Tundu Lissu anamiminiwa risasi zaidi ya 32 bado huoni na unadai kuhukumiwa?! Hebu sema hata sehemu moja ambayo CDM imefanya harakati zake na kusababisha kifo au majeraha upande wa pili?! Vinginevyo unasumbuliwa na mahaba kupindukiaTaratibu mkuu, mkono wa Mungu hujafunuliwa wewe!unani wewe uhukumuye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu,mie niko neutral tu,ila kujihesabia haki hakumpi Mungu utukufu isipokuwa unatafuta utukufu wako mwenyewe tu. Sipendi,sitaki,sitamani hata mmoja wetu apotee na ninahakika 100% hata mabaya pasi kibali cha Mungu hayawi.Baba Ndayilagije Olasitti Arusha hawa jamaa wamerushiwa bomu na kuuliwa wanne, Tarime Nyamongo hawa jamaa wamefanyiwa ambush na kuuliwa 4, Mbeya ambush wakati wa campaign na kucharangwa mashoka na kuuliwa 2, Geita Alphonse Mawazo anacharangwa mashoka na kuuliwa, Leo Tundu Lissu anamiminiwa risasi zaidi ya 32 bado huoni na unadai kuhukumiwa?! Hebu sema hata sehemu moja ambayo CDM imefanya harakati zake na kusababisha kifo au majeraha upande wa pili?! Vinginevyo unasumbuliwa na mahaba kupindukia
Cairo's
CHADEMA wamejifunza kuwa "Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu Mchungu"
Ile tabia ya vijana wa CHADEMA kushangilia na kuchekelea kila kiongozi wa CCM, mwanachama wa CCM au mtumishi wa serikali kufariki au kupata matatizo ya kiafya nadhani sasa itafika ukomo baada ya kupata machungu kwa namna baadhi ya vijana wa CCM kuwakumbusha zile comment zao kwa Mh. Tundu Lissu.
Vijana wa CHADEMA walishangilia sana vifo vya baadhi ya wanachama wa CCM wakisema kuwa walimtukana sana Lowassa eti na bado wacha tu waendelee kufa, mauaji ya Kibiti Vijana wa CHADEMA walishangilia sana, mauaji ya maaskari wetu mbalimbali Vijana wa CHADEMA walishangilia sana. Kifo cha comrade Peter Kalihose, vijana wa CHADEMA walishangilia sana.
Juzi tu Vijana wa CHADEMA walishangilia kifo cha Mbunge mteule wa CUF baadae wakashangilia vifo vya viongozi wa4 wa CUF vilivyotokana na ajali ya gari pale
pwani. Sishangai wala sitakaa kushangaa vijana ambao sio wafuasi wa CHADEMA kushangilia tukio la kupigwa risasi bwana Lissu na hata wengine wakipongeza alifanya hivyo na hata baadhi wakitaka Tundu Lissu aondoke tu Duniani. Na kwa bahati mbaya leo wamesahau unyama wao na roho zao za hovyo.
WANATAKA ETI WATANZANIA WOTE WAUNGANE NAO KATIKA KUMUOMBEA TUNDU LISSU APONE, Shame.
Leo ndo mjifunze sasa na komenti zenu za hovyo pale wenzenu wapokuwa kwenye matatizo kwasababu mmejua machungu yanayopatikana mioyoni mwao. Makamanda wenzangu, tubadilike
NB: MKUKI NI MCHUNGU MPAKA KWA NGURUWE.
BUT ALL IN ALL LETS PRAY FOR LISSU
subiri mother yako afe utamla nyamaCHADEMA wamejifunza kuwa "Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu Mchungu"
Ile tabia ya vijana wa CHADEMA kushangilia na kuchekelea kila kiongozi wa CCM, mwanachama wa CCM au mtumishi wa serikali kufariki au kupata matatizo ya kiafya nadhani sasa itafika ukomo baada ya kupata machungu kwa namna baadhi ya vijana wa CCM kuwakumbusha zile comment zao kwa Mh. Tundu Lissu.
Vijana wa CHADEMA walishangilia sana vifo vya baadhi ya wanachama wa CCM wakisema kuwa walimtukana sana Lowassa eti na bado wacha tu waendelee kufa, mauaji ya Kibiti Vijana wa CHADEMA walishangilia sana, mauaji ya maaskari wetu mbalimbali Vijana wa CHADEMA walishangilia sana. Kifo cha comrade Peter Kalihose, vijana wa CHADEMA walishangilia sana.
Juzi tu Vijana wa CHADEMA walishangilia kifo cha Mbunge mteule wa CUF baadae wakashangilia vifo vya viongozi wa4 wa CUF vilivyotokana na ajali ya gari pale
pwani. Sishangai wala sitakaa kushangaa vijana ambao sio wafuasi wa CHADEMA kushangilia tukio la kupigwa risasi bwana Lissu na hata wengine wakipongeza alifanya hivyo na hata baadhi wakitaka Tundu Lissu aondoke tu Duniani. Na kwa bahati mbaya leo wamesahau unyama wao na roho zao za hovyo.
WANATAKA ETI WATANZANIA WOTE WAUNGANE NAO KATIKA KUMUOMBEA TUNDU LISSU APONE, Shame.
Leo ndo mjifunze sasa na komenti zenu za hovyo pale wenzenu wapokuwa kwenye matatizo kwasababu mmejua machungu yanayopatikana mioyoni mwao. Makamanda wenzangu, tubadilike
NB: MKUKI NI MCHUNGU MPAKA KWA NGURUWE.
BUT ALL IN ALL LETS PRAY FOR LISSU
wanajf,thread kama hizi zinaonesha jinsi seikali ya ccm inavyofunda viongozi wa baadae,Biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kuks maarifa, nilini kiongozi makini akaongea hoja ya kitoto kama hii,wakati mtoto na mwanachama wa Democrat akiongea uchumi ,wanaccm wanaongea siasa mfilisi kama hii,TUJISAHIHISHE Haya mambo ya mizengwe yamekita mizizi ndani ya vijana wa ccm
Kwani ni uongo?wanajf,thread kama hizi zinaonesha jinsi seikali ya ccm inavyofunda viongozi wa baadae,Biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kuks maarifa, nilini kiongozi makini akaongea hoja ya kitoto kama hii,wakati mtoto na mwanachama wa Democrat akiongea uchumi ,wanaccm wanaongea siasa mfilisi kama hii,TUJISAHIHISHE Haya mambo ya mizengwe yamekita mizizi ndani ya vijana wa ccm
CHADEMA wamejifunza kuwa "Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu Mchungu"
Ile tabia ya vijana wa CHADEMA kushangilia na kuchekelea kila kiongozi wa CCM, mwanachama wa CCM au mtumishi wa serikali kufariki au kupata matatizo ya kiafya nadhani sasa itafika ukomo baada ya kupata machungu kwa namna baadhi ya vijana wa CCM kuwakumbusha zile comment zao kwa Mh. Tundu Lissu.
Vijana wa CHADEMA walishangilia sana vifo vya baadhi ya wanachama wa CCM wakisema kuwa walimtukana sana Lowassa eti na bado wacha tu waendelee kufa, mauaji ya Kibiti Vijana wa CHADEMA walishangilia sana, mauaji ya maaskari wetu mbalimbali Vijana wa CHADEMA walishangilia sana. Kifo cha comrade Peter Kalihose, vijana wa CHADEMA walishangilia sana.
Juzi tu Vijana wa CHADEMA walishangilia kifo cha Mbunge mteule wa CUF baadae wakashangilia vifo vya viongozi wa4 wa CUF vilivyotokana na ajali ya gari pale
pwani. Sishangai wala sitakaa kushangaa vijana ambao sio wafuasi wa CHADEMA kushangilia tukio la kupigwa risasi bwana Lissu na hata wengine wakipongeza alifanya hivyo na hata baadhi wakitaka Tundu Lissu aondoke tu Duniani. Na kwa bahati mbaya leo wamesahau unyama wao na roho zao za hovyo.
WANATAKA ETI WATANZANIA WOTE WAUNGANE NAO KATIKA KUMUOMBEA TUNDU LISSU APONE, Shame.
Leo ndo mjifunze sasa na komenti zenu za hovyo pale wenzenu wapokuwa kwenye matatizo kwasababu mmejua machungu yanayopatikana mioyoni mwao. Makamanda wenzangu, tubadilike
NB: MKUKI NI MCHUNGU MPAKA KWA NGURUWE.
BUT ALL IN ALL LETS PRAY FOR LISSU
Matukio hayafanani. Kwani hao wana ccm waliokufa na CHADEMA kushangilia kwani waliuawa kwa kupigwa risasi?CHADEMA wamejifunza kuwa "Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu Mchungu"
Ile tabia ya vijana wa CHADEMA kushangilia na kuchekelea kila kiongozi wa CCM, mwanachama wa CCM au mtumishi wa serikali kufariki au kupata matatizo ya kiafya nadhani sasa itafika ukomo baada ya kupata machungu kwa namna baadhi ya vijana wa CCM kuwakumbusha zile comment zao kwa Mh. Tundu Lissu.
Vijana wa CHADEMA walishangilia sana vifo vya baadhi ya wanachama wa CCM wakisema kuwa walimtukana sana Lowassa eti na bado wacha tu waendelee kufa, mauaji ya Kibiti Vijana wa CHADEMA walishangilia sana, mauaji ya maaskari wetu mbalimbali Vijana wa CHADEMA walishangilia sana. Kifo cha comrade Peter Kalihose, vijana wa CHADEMA walishangilia sana.
Juzi tu Vijana wa CHADEMA walishangilia kifo cha Mbunge mteule wa CUF baadae wakashangilia vifo vya viongozi wa4 wa CUF vilivyotokana na ajali ya gari pale
pwani. Sishangai wala sitakaa kushangaa vijana ambao sio wafuasi wa CHADEMA kushangilia tukio la kupigwa risasi bwana Lissu na hata wengine wakipongeza alifanya hivyo na hata baadhi wakitaka Tundu Lissu aondoke tu Duniani. Na kwa bahati mbaya leo wamesahau unyama wao na roho zao za hovyo.
WANATAKA ETI WATANZANIA WOTE WAUNGANE NAO KATIKA KUMUOMBEA TUNDU LISSU APONE, Shame.
Leo ndo mjifunze sasa na komenti zenu za hovyo pale wenzenu wapokuwa kwenye matatizo kwasababu mmejua machungu yanayopatikana mioyoni mwao. Makamanda wenzangu, tubadilike
NB: MKUKI NI MCHUNGU MPAKA KWA NGURUWE.
BUT ALL IN ALL LETS PRAY FOR LISSU