DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Ndiyo awe msimulizi wa kilichotokea kwa maana ndiyo main suspect
Mkumbushe kwanza kusimulia kuhusu bomu la Arusha walilolitengeneza.. Wakalipigia kisha akatuthibitishia kuwa hadi mkanda anao!!!!!
Siku akisimulia dakika chache zitakazofuata RC Dsm naye anasimulia upendavyo!!!!!!

By the way Ushahidi aliokuwa nao Lissu na Mnyika ambao hata mbingu walidai zinathibitisha kuwa ni kweli nikuombe uwakumbushe wasimulie ili kumsaidia LOWASSA asitishe wazo lake la Kugombea Urais(NJIA AMBAYO NI NZURI NA RAIS KULIKO KUJITEKA NA KUJIPIGA RISASI)

ukisikia Paaaaaaa jua limempata!!!!!!!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkumbushe kwanza kusimulia kuhusu bomu la Arusha walilolitengeneza.. Wakalipigia kisha akatuthibitishia kuwa hadi mkanda anao!!!!!
Siku akisimulia dakika chache zitakazofuata RC Dsm naye anasimulia upendavyo!!!!!!

By the way Ushahidi aliokuwa nao Lissu na Mnyika ambao hata mbingu walidai zinathibitisha kuwa ni kweli nikuombe uwakumbushe wasimulie ili kumsaidia LOWASSA asitishe wazo lake la Kugombea Urais(NJIA AMBAYO NI NZURI NA RAIS KULIKO KUJITEKA NA KUJIPIGA RISASI)

ukisikia Paaaaaaa jua limempata!!!!!!!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijakuelewa unataka kusema.nini.wakati Mwigulu alisema anaushahidi mpaka.wa.Mbinguni.

WM Pinda ithibitisha Bomu lile lilorushwa limenunuliwa China na Lilitoka Kwenye ghala la Jeshi. Muulize na Linda anaweza akaqa na ushahidi kuhusu hilo
 
Kaona aliowatuma humu kutuzuga Watanzania wameelemewa kwa hoja nzito sasa kaamua kuingia mwenyewe lakini kishakimbia kwa kukosa hoja zenye nguvu kuhusu alikokuwa siku ya tukio. Bashite ni muuaji.

Kamuulize RC Dar siku ya tukio alikuwa wapi??
 
CHADEMA wamejifunza kuwa "Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu Mchungu"

Ile tabia ya vijana wa CHADEMA kushangilia na kuchekelea kila kiongozi wa CCM, mwanachama wa CCM au mtumishi wa serikali kufariki au kupata matatizo ya kiafya nadhani sasa itafika ukomo baada ya kupata machungu kwa namna baadhi ya vijana wa CCM kuwakumbusha zile comment zao kwa Mh. Tundu Lissu.

Vijana wa CHADEMA walishangilia sana vifo vya baadhi ya wanachama wa CCM wakisema kuwa walimtukana sana Lowassa eti na bado wacha tu waendelee kufa, mauaji ya Kibiti Vijana wa CHADEMA walishangilia sana, mauaji ya maaskari wetu mbalimbali Vijana wa CHADEMA walishangilia sana. Kifo cha comrade Peter Kalihose, vijana wa CHADEMA walishangilia sana.

Juzi tu Vijana wa CHADEMA walishangilia kifo cha Mbunge mteule wa CUF baadae wakashangilia vifo vya viongozi wa4 wa CUF vilivyotokana na ajali ya gari pale
pwani. Sishangai wala sitakaa kushangaa vijana ambao sio wafuasi wa CHADEMA kushangilia tukio la kupigwa risasi bwana Lissu na hata wengine wakipongeza alifanya hivyo na hata baadhi wakitaka Tundu Lissu aondoke tu Duniani. Na kwa bahati mbaya leo wamesahau unyama wao na roho zao za hovyo.

WANATAKA ETI WATANZANIA WOTE WAUNGANE NAO KATIKA KUMUOMBEA TUNDU LISSU APONE, Shame.

Leo ndo mjifunze sasa na komenti zenu za hovyo pale wenzenu wapokuwa kwenye matatizo kwasababu mmejua machungu yanayopatikana mioyoni mwao. Makamanda wenzangu, tubadilike

NB: MKUKI NI MCHUNGU MPAKA KWA NGURUWE.
BUT ALL IN ALL LETS PRAY FOR LISSU
Huwezi kumlinganisha Lissu na upumbavu wako. Hushangai Balozi za kikataifa na mashirika ya kimataifa yakituma salamu za pole? Hao nao ni vijana wa Chadema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mleta uzi umepuyanga

Send via Quan dong fen from north Korea
 
Kaona aliowatuma humu kutuzuga Watanzania wameelemewa kwa hoja nzito sasa kaamua kuingia mwenyewe lakini kishakimbia kwa kukosa hoja zenye nguvu kuhusu alikokuwa siku ya tukio. Bashite ni muuaji.

Nimempa moja tu akaamua kusema.Hawa hatutakiwi kuwaonea haya.Mwingine kaonekana viunga vya NRB
 
  • Thanks
Reactions: BAK
CHADEMA wamejifunza kuwa "Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu Mchungu"

Ile tabia ya vijana wa CHADEMA kushangilia na kuchekelea kila kiongozi wa CCM, mwanachama wa CCM au mtumishi wa serikali kufariki au kupata matatizo ya kiafya nadhani sasa itafika ukomo baada ya kupata machungu kwa namna baadhi ya vijana wa CCM kuwakumbusha zile comment zao kwa Mh. Tundu Lissu.

Vijana wa CHADEMA walishangilia sana vifo vya baadhi ya wanachama wa CCM wakisema kuwa walimtukana sana Lowassa eti na bado wacha tu waendelee kufa, mauaji ya Kibiti Vijana wa CHADEMA walishangilia sana, mauaji ya maaskari wetu mbalimbali Vijana wa CHADEMA walishangilia sana. Kifo cha comrade Peter Kalihose, vijana wa CHADEMA walishangilia sana.

Juzi tu Vijana wa CHADEMA walishangilia kifo cha Mbunge mteule wa CUF baadae wakashangilia vifo vya viongozi wa4 wa CUF vilivyotokana na ajali ya gari pale
pwani. Sishangai wala sitakaa kushangaa vijana ambao sio wafuasi wa CHADEMA kushangilia tukio la kupigwa risasi bwana Lissu na hata wengine wakipongeza alifanya hivyo na hata baadhi wakitaka Tundu Lissu aondoke tu Duniani. Na kwa bahati mbaya leo wamesahau unyama wao na roho zao za hovyo.

WANATAKA ETI WATANZANIA WOTE WAUNGANE NAO KATIKA KUMUOMBEA TUNDU LISSU APONE, Shame.

Leo ndo mjifunze sasa na komenti zenu za hovyo pale wenzenu wapokuwa kwenye matatizo kwasababu mmejua machungu yanayopatikana mioyoni mwao. Makamanda wenzangu, tubadilike

NB: MKUKI NI MCHUNGU MPAKA KWA NGURUWE.
BUT ALL IN ALL LETS PRAY FOR LISSU
Unamaanisha ngoma droo asante kwa kufikiri
 
Kudhani kuwa CHADEMA wote wanasikitika kwa kilichotokea kwa Tundu ni oversimplicity. Tusubiri uchunguzi ufanyike. Sitashangaa nikisikia ni CHADEMA wenyewe kwa wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimelipokea tukio la Mh Tundu Lisu la kupigwa lisasi kwa uzuni kubwa, na ni tendo baya la kulaaniwa na kila mtu ndani na nje ya nchi.
Na ni maombi ya ngu na duwa apone haraka na kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

Lakini nataka kuwakumbusha kuwa haya mambo yavume yatakavyo vuma, sarakasi zirukwe na mavuvuzera ya siasa yavume TANZANIA itabaki kama kawaida na maisha yataendelea kama kawaida.
Ratiba za serikali zitaendelea kama kawaida kwasababu wenyejukumu la mwisho kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni polisi ambao watachunguza na kuwatafuta waarifu na kuwakamata na kuwafikisha katika vyimbo vinavyohusika.

Na taharifa tulizosikia katika mitandao ya kijamii kutoka Nairobi kuwa Tanzania si salama tena, hii inashangaza sana tena ni aibu kwa kiongozi huyu kwani hata Marehemu Eduwad Moringe alipata ajali ya gari na kufariki ghafla akiwa wazirimkuu na nchi iliendelea.

Kibiti wamekufa watu na viongozi zaidi ya 30 lakini nchi imeendelea.

Mpendwa wetu Chachawangwe alipata ajali mbaya wakati joto lilikuwa kali akitangaza kugombea uwenyekiti wa taifa chadema lakini nchi iliendelea.

Mpendwa wetu mwingine Marehemu Kristopha Mtikila alifaliki katika ajali ya gari tulipata mstuko nchi ikaendelea.

Mimi namshukuru Mungu Tundu Lisu kapona na polisi watafanya kazi yao vizuri na nchi itaendelea kwani inakadiliwa Tanzania ina watu kama milioni 50.

Tanzania ni salama salimini hawa waharifu watatafutwa na kushughulikiwa.
Semeni Amina.
 
Nimelipokea tukio la Mh Tundu Lisu la kupigwa lisasi kwa uzuni kubwa, na ni tendo baya la kulaaniwa na kila mtu ndani na nje ya nchi.
Na ni maombi ya ngu na duwa apone haraka na kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

Lakini nataka kuwakumbusha kuwa haya mambo yavume yatakavyo vuma, sarakasi zirukwe na mavuvuzera ya siasa yavume TANZANIA itabaki kama kawaida na maisha yataendelea kama kawaida.
Ratiba za serikali zitaendelea kama kawaida kwasababu wenyejukumu la mwisho kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni polisi ambao watachunguza na kuwatafuta waarifu na kuwakamata na kuwafikisha katika vyimbo vinavyohusika.

Na taharifa tulizosikia katika mitandao ya kijamii kutoka Nairobi kuwa Tanzania si salama tena, hii inashangaza sana tena ni aibu kwa kiongozi huyu kwani hata Marehemu Eduwad Moringe alipata ajali ya gari na kufariki ghafla akiwa wazirimkuu na nchi iliendelea.

Kibiti wamekufa watu na viongozi zaidi ya 30 lakini nchi imeendelea.

Mpendwa wetu Chachawangwe alipata ajali mbaya wakati joto lilikuwa kali akitangaza kugombea uwenyekiti wa taifa chadema lakini nchi iliendelea.

Mpendwa wetu mwingine Marehemu Kristopha Mtikila alifaliki katika ajali ya gari tulipata mstuko nchi ikaendelea.

Mimi namshukuru Mungu Tundu Lisu kapona na polisi watafanya kazi yao vizuri na nchi itaendelea kwani inakadiliwa Tanzania ina watu kama milioni 50.

Tanzania ni salama salimini hawa waharifu watatafutwa na kushughulikiwa.
Semeni Amina.

Mtuhumiwa anajichunguza hii iko Bongo tu.
 
Hivi nchi zingine ambazo zina Vitengo vya kuchunguza miendo na utendaji wa Polisi huwa tunaona hawana akili?
 
Tarehe 07/09/2017 huko Mjini Dodoma Mbunge wa Singida Mashariki ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Mh. Tundu Lissu alishambuliwa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.

Tukio hilo limeibua hisia na mitazamo tofauti miongoni mwa wanajamii ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Baadhi ya watu wameituhumu serikali moja kwa moja kwamba imehusika na shambulio hilo, lakini swali langu ni “Je Lissu ameikosea serikali kiasi cha kustahili adhabu hiyo?”

Ni kweli kuwa tukio hilo linaweza kuwa limesabashwa na sababu mbalimbali, lakini kwa hatua hizi za mwanzo tukitanguliza sana hisia, tunaweza kumpa ushindi mhalifu aliyetekeleza uhalifu huo, kwa kumtengenezea kichaka cha hisia zetu ambamo ataweza kujificha.

Wachambuzi wengi walioweka hisia zao pembeni wamekuja na mitazamo tofauti. Kwa mfano mchambuzi maarufu wa masuala ya kiintelijensia EVARIST CHAHALI katika makala yake yenye kichwa “Uchambuzi wa Kiintelijensia Kuhusu Jaribio la Kumuua Lissu: Wahusika Kina Nani?” (Uchambuzi wa Kiintelijensia Kuhusu Jaribio la Kumuua Lissu: Wahusika Kina Nani ? ~ Kulikoni Ughaibuni) ametoa dhana tatu zinazoweza kuibua wahusika wa shambulio hilo ambazo ni mkono wa dola, mbio za urais 2020, na rogue elements. Na wachambuzi wengine wengi wameegemea katika mlengo huo huo.

Katika bandiko langu hili naipa uzito mdogo sana dhana ya kwanza inayodai kuwa serikali imehusika. Kwa nini? Ni kwamba uzalendo wa Lissu kwa nchi hii hauna mashaka hata kidogo (His patriotism is indisputable). Ni kati ya watu wachache ambao kwa muda mrefu wamekuwa mstari wa mbele kupigania maslahi mapana ya nchi yetu katika nyanja mbalimbali ikiwemo ile ya uchumi.

Kuna wachambuzi waliosema kumekuwa na misigano ya mara kwa mara kati serikali na Lissu hivyo serikali yaweza kuwa imehusika. Natofautiana na dhana hii, kwani lazima tukumbuke kuwa serikali inaongozwa na wanasiasa, ambao mbali na kuangalia maslahi ya nchi lakini pia kuna maslahi ya chama chao ambacho kimsingi ni utekelezaji wa ilani yao. Lissu ni mwanasiasa pia ambaye naye anaangalia namna bora ambavyo chama chake kinaweza kujijenga (To get political mileage) na hivyo kushika dola siku za usoni. Ndiyo maana mara zote amekuwa akiangalia udhaifu wa serikali iliyopo madarakani na kuutaja waziwazi. Kwa serikali iliyopo madarakani kupinga hoja za wapinzani ni kitu cha kawaida kwani lengo lake ni kutaka kuendelea kubaki madarakani.

Mara kadhaa tumewasikia wapinzani wakisema “MAGUFULI ANATEKELEZA HOJA ZETU”. Hiyo inamaanisha kuwa licha ya kuwa Rais hasemi waziwazi kwamba anakubaliana na hoja zao lakini kama anazitekeleza, uadui unatoka wapi kiasi cha kustahili kifo?

Kwa mtazamo wangu, dhana ya pili na ya tatu (According to Chahali) zina uzito mkubwa sana. Lissu ni mwanasiasa aliyejijengea umaarufu mkubwa sana, kiasi cha watu wengine kuonesha hisia zao waziwazi na kumuita Rais wa Tanzania hapo 2020. Tukumbuke kuwa ndani ya chama chake cha CHADEMA kunaweza kuwa na watu ambao wana lengo la kupeperusha bendera katika uchaguzi wa 2020, na hivyo kugeuka kuwa maadui zake wa ndani. Kushushana kisiasa ndani ya chama kimoja kwa maslahi ya mtu au kikundi fulani, na hata kuuana sometimes si kitu kigeni ndani ya ulingo wa siasa. Tukumbuke kuwa ndani ya chama hicho yalishatokea mambo kadhaa hapo awali ambayo yalionekana kuwa na lengo hilo, mfano kifo cha mwanasiasa nguli Marehemu CHACHA WANGWE kiliibua hisia hizo. Aidha mara kadhaa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho enzi hizo ndugu Zitto Kabwe alipoonesha dalili za kupanda kisiasa wote tunajua nini kilitokea, na mara nyingine yeye mwenyewe alinena kwa kinywa chake kwamba anatishiwa maisha. Si hao tu na wengine wengi yamewakuta ya kuwakuta. Je hili la Lissu haliwezi kuwa katika mlengo huo ikizingatiwa kuwa kwa sasa ndiye pekee anayeonekana kukibeba chama hicho?

Tukija kwenye dhana ya tatu nayo ina uzito mkubwa sana kwani Rais kwa sasa ni wazi kuwa anapigana vita vigumu sana, vita dhidi ya wahujumu uchumi. Kwa kuzingatia kuwa “Kisisasa” Lissu ameonekana kuwa anapinga sana hoja na maamuzi ya serikali kumekuwa na mitazamo kwa baadhi ya watu kuwa Lissu ni adui wa serikali. Katika muktadha huo, maadui wa serikali “WAHUJUMU UCHUMI” wanaweza kuja na mbinu za kuhahikisha kwamba serikali iliyopo madarakani inaua wanaoipinga, na hivyo kujenga chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao, na mwaka 2020 wamuweke mgombea ambaye atatimiza matakwa yao, ambayo kimsingi ni kuifilisi nchi na watu wake. Dhana hii si ya kupuuza hata kidogo kwa watu walio na uelewa mzuri wa namna vita hiyo ilivyo. Kuinyooshea kidole serikali, maana yake ni kwamba tumekubali kuwapa ushindi hawa wezi wa mali zetu, ambao wametuingiza kwenye dimbwi la umaskini na kumwangusha Rais ambaye ndiye kiongozi wetu katika mapambano dhidi ya wezi hao.

WITO WANGU

Hima Watanzania tushirikiane na serikali yetu katika hii vita kubwa na ngumu dhidi ya wezi hawa wa maliasili zetu, wasiojali shida za Mtanzania wa chini na kutaka kujinufaisha wao na familia zao huku majority wakitaabika katika dimbwi la umaskini. Tukishikamana kwa pamoja, na kuweka hisia pembeni tutaushidha udhalimu huu.


BenMpo
 
Back
Top Bottom