DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

waliompiga risasi Tundu Lissu inaezekana wakawa wanajulikana na watu wa serekali maana Lissu alishawahi kulalamika kuhusian na vijana wa Toyota premio T 460CQV
 
Hii sasa mtauona ukweli na kukimbia ma kujionea aibu kubwaaaa... haya ya kupangwa na kutendwa na wenyewe.. ila pia labda maagizo yameenda mbali hawakuelewa ni kupiga gari tu.. wakaamua kutaka kummaliza..
kumbe unayajua maagizo ilikuwa ni kupiga gari tu...shetani mkubwa wewe
 
Pole sana kwa kamanda Lissu familia yake, ndugu, jamaa na marafiki zake, wanachama wote wa Chadema, chama cha Mawakili Tz na wapenda haki wote. Mungu mkubwa atapata nafuu na kupona kabisa. Kwa kazi yake anastahili kuwa na ulinzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi ilikua kisiwa cha amani tangu enzi za mwalimu ila sasa ndio basi tena. Umekuja wakati wa kuchagua upande wa jirani zetu Rwana na Burundi.
Sisi raia tutayainua macho yetu juu kuelekea mbinguni akaapo mwenye haki, naye ndie atakayelipa kisasi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wasiojulikana..... Ninachukia sana hayo maneno. Ni ya kipimbavu kutamkwa

Get well soon Tundu Lissu. Mungu atakuinua [emoji1431]
 
Hivi yule mkoa fulani hivi, aah nimekumbuka Mara alikujaga juu walimfanyaje kweli! Ukiwa hutokei Ile kanda basi unajisumbua kutunisha misuli! Ila very sad!

SIJUI KESHO.
 
====

Unavyoandika utadhani ulipanga na wauaji au ulikuwa katika kikao cha kuidhinisha mpango huu.
Mkatengeneza theories fulani za damage control na ndizo unazomwaga hapa kuwazubaisha watu.

Ndugu yangu, jifiche nyuma ya kioo cha kompyuta yako lakini mfanyacho ni sawa na ngedere anayecheka msitu unaoteketea asijue jioni itafika na atahitaji msitu kujisetiri. Kosa la Tundu Lissu ni nini kustahili risasi tano?
 
Sina tusi la kukutukana Ila kwasasa niseme tu
NIMEKUDHARAU SANA.
 
We can not accept this at all.Mungu mpiganie Lissu apone. We need him.Nilikuwaga nasikia tu Mobutu alivyokuwa anauwa wapinzani. Now it is happening in my country Tanzania. Wapi amani?Tanzania stand up.
Mkuu, is it confirmed kwamba nani amefanya hili tukio?
 
Muda wakutafta bastola ikae kiunoni iwe mwendo wakujibidhana maana tutakufa wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…