DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Hizi ni figisufigisu za watu kutoka ng'ambo ,,vita ya kugombanisha Serikali na wapinzani mwisho ihamie kwa wananchi..

Imeanza rasmi.
Wenye maslahi na madini washaaanza kufanya kazi yao..kama ambavyo wanafanyaga katika nchi zenye Rasilmali..Ya Gas,Mafuta,na Madini.

Kuwagombanisha wananchi wauane wenyewe kwa wenyewe wao wakwapue mali.
Vita hii ishindwe kwa jina la Yesu.

Tumeshawabaini.
Tutasimma kwenye zamu zetu.
Eeh Mungu Mponye Tundu maadui waibie
 
hata akifa maneno yake yataishi na kila mwenye jukumu la kufanya atasimama kwenye eneo lake
 
Vita ya uenyekiti ndani ya chadema haijawai kumuacha mtu salama..tumuombee uzima tu

Upotoshaji huu..Kuna vita gani CHADEMA, kwanini tusifikiri labda ni wezi au kitu kingine
 
Ukiambiwa umtaje huyo anayetaka kumuua utamtaja?that's my point mkuu!
Hivi wewe ni mzima kwel?,inshu siyo kutaja inshu ni tukio lenyewe lilivyotokea,kwa hiyo unataka kutuambia alikuwa anasalimiwa na risas,Watu wengine bhana ni hasara kwa kwel,Mtu kapigwa risas maana yake nini?,au risas ni Maj au kitu kisichoweza kuutoa uhai wa Mtu?,duuh...!,bora nguo iraruke lakini siyo kuraruka akili,kwa hiyo wewe ikitokea umepigwa risas,hao waliokupga risas walikuwa hawana lengo la kutaka kukua!,au haujui risas itakuwa,unaisikia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali impe ulinzi pamoja na kwamba ni mkosoaji mkubwa wa serikali lakini ni Mbunge wa Bunge la JMT.
Unbelievable. Shocking. Tunakuombea Kamanda upone mapemna na urudi kwa mapambano. Waliodhani wanakunyamazisha wamekosea.
 
Tunakuombea Mh. Lissu wewe ni mpigania haki huru
 
Hapana wewe si wa kawaida... Hiyo chuki unayoionesha hapa na kum link TL na hicho unachokiita usaliti kinaku implicate kuwa upo ndani ya cycle hiyo hiyo... Maandiko yanatuambia tuwaombee watu wenye roho mbaya ili siku moja mshuhudie ukuu wake...
 
Reactions: Gut
Get well soon Tundu Lissu!
 
Kuna tetesi siyo nzuri..! Tuwe na vifua la sivyo yaweza kuwa simanzi kuu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…